Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Somalia

  • Eneo la Puntland la Somalia lapata rais mpya

    Eneo la Puntland la Somalia lapata rais mpya

    Jan 08, 2019 21:31

    Bunge la eneo lenye mamlaka ya ndani la Puntland limemchagua Said Abdullahi Deni kuwa rais eneo hilo, kuchukua nafasi ya Abdiweli Mohamed Ali Gaas.

  • Somalia yakataa ombi la kuangalia upya uamuzi wa kumfukuza mjumbe wa UN

    Somalia yakataa ombi la kuangalia upya uamuzi wa kumfukuza mjumbe wa UN

    Jan 05, 2019 04:14

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa ameeleza kusikitishwa kwake na hatua ya kufukuzwa nchini Somalia, Nicholas Haysom, mjumbe maalumu wa umoja huo katika nchi hiyo ya Pembe ya Afrika, lakini amesisitiza kuwa nafasi hiyo itajazwa katika siku chache zijazo.

  • Somaliland yalalamikia hatua ya Somalia kumtimua mjumbe wa UN

    Somaliland yalalamikia hatua ya Somalia kumtimua mjumbe wa UN

    Jan 03, 2019 23:20

    Jamhuri iliyojitangazia uhuru ya Somaliland nchini Somalia imekosoa vikali hatua ya serikali ya Mogadishu ambayo Jumanne iliyopita ilimfukuza nchini humo Nicholas Haysom, mjumbe maalumu wa Umoja wa Mataifa, kutokana na kile ilichokitaja kama mienendo yake mibaya na kuingilia kwake waziwazi mambo ya ndani ya nchi hiyo ya Pembe ya Afrika.

  • Somalia yamfukuza mjumbe wa Umoja wa Mataifa nchini humo

    Somalia yamfukuza mjumbe wa Umoja wa Mataifa nchini humo

    Jan 01, 2019 23:40

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Somalia imesema kuwa Nicholas Haysom, mwakilishi maalumu wa Umoja wa Mataifa hatakiwi nchini humo na imemtaka aondoke haraka Somalia.

  • IFJ: Waandishi habari karibu mia moja wameuawa mwaka 2018 duniani

    IFJ: Waandishi habari karibu mia moja wameuawa mwaka 2018 duniani

    Jan 01, 2019 23:20

    Shirikisho la Kimataifa la Waandishi wa Habari (IFJ) limetangaza kuwa, waandishi habari 94 waliuawa mwaka uliomalizika wa 2018 katika maeneo mbalimbali ya dunia.

  • Mratibu wa mashambulizi yaliyoua makumi ya watu Mogadishu auawa Somalia

    Mratibu wa mashambulizi yaliyoua makumi ya watu Mogadishu auawa Somalia

    Dec 24, 2018 10:17

    Mratibu wa mashambulizi ya kigaidi yaliyoua makumi ya raia na kujeruhi wengine wasiopungua 40 mwaka 2017 mjini Mogadishu ameuawa leo nchini Somalia.

  • Watu 16 wapoteza maisha katika hujuma ya kigaidi Mogadishu, Somalia

    Watu 16 wapoteza maisha katika hujuma ya kigaidi Mogadishu, Somalia

    Dec 22, 2018 11:45

    Watu 16 wamepoteza maisha kufuatia hujuma ya kigaidi katika mji mkuu wa Somalia, Mogadishu.

  • AU yaitaka Burundi ipunguze askari wake Somalia

    AU yaitaka Burundi ipunguze askari wake Somalia

    Dec 21, 2018 11:13

    Umoja wa Afrika umeitaka Burundi ipunguze askari wake katika kikosi cha kulinda amani cha umoja huo, maarufu kama AMISOM, nchini Somalia.

  • Magaidi 62 wa Al Shabab waangamizwa Somalia

    Magaidi 62 wa Al Shabab waangamizwa Somalia

    Dec 18, 2018 03:51

    Jeshi la Kitaifa la Somalia limetangaza kuwa magaidi 62 wa Al Shabab wameangamizwa katika oparesheni iliyofanyika kwenye eneo la Gandarsh katika jimbo la Banaadir la kusini mwa nchi hiyo.

  • Jeshi la Somalia na AU zafanya operesheni ya pamoja dhidi ya al Shabab

    Jeshi la Somalia na AU zafanya operesheni ya pamoja dhidi ya al Shabab

    Dec 17, 2018 11:52

    Mkuu wa mipango ya opereshenei ya kikosi cha Umoja wa Afrika cha kulinda amani Somalia (AMISOM) amesema kuwa, askari wa kikosi hicho na wale wa serikali wanaendesha kwa pamoja operesheni ya kupambana na magaidi wa al Shabab kusini mwa Somalia.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS