Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Somalia

  • Watu zaidi ya 50 wauawa katika mapigano baina ya koo huko Somaliland, Somalia

    Watu zaidi ya 50 wauawa katika mapigano baina ya koo huko Somaliland, Somalia

    Oct 24, 2018 13:01

    Mapigano yaliyojiri kati ya koo hasimu katika kijiji cha Dhumey eneo la Somaliland lililojitenga na Somalia yamesababisha vifo vya watu zaidi ya 50.

  • Idadi ya vifo katika miripuko wa Somalia yaongezeka

    Idadi ya vifo katika miripuko wa Somalia yaongezeka

    Oct 15, 2018 04:21

    Idadi ya wahanga wa mashambulio mawili ya kujiripua kwa mabomu iliyotokea kusini magharibi mwa Somalia imeongezeka. Taarifa zinasema kuwa watu 20 wamepoteza maisha na wengine 40 wamejeruhiwa katika miripuko hiyo miwili iliyopishana kwa dakika chache tu.

  • Watu 16 wauawa katika shambulizi la kigaidi Somalia

    Watu 16 wauawa katika shambulizi la kigaidi Somalia

    Oct 14, 2018 03:36

    Kwa akali watu 16 wameuawa katika shambulizi la bomu lililofanywa na kundi la kigaidi na kitakfiri la al-Shabaab katika mji wa Baidoa nchini Somalia.

  • Al-Shabaab ya Somalia yaua 5 kwa tuhuma za ujasusi

    Al-Shabaab ya Somalia yaua 5 kwa tuhuma za ujasusi

    Oct 10, 2018 11:19

    Kundi la kigaidi na kitakfiri la al-Shabaab la Somalia lenye mfungamano na mtandao wa kigaidi wa al-Qaeda limewaua kwa kuwamiminia risasi watu watano kwa tuhuma za kufanya ujasusi kwa niaba ya vyombo vya kiintelejensia vya Marekani, Uingereza na Somalia.

  • Aliyekuwa kamanda wa al-Shabaab anyimwa idhini ya kuwania urais Somalia

    Aliyekuwa kamanda wa al-Shabaab anyimwa idhini ya kuwania urais Somalia

    Oct 06, 2018 00:20

    Serikali ya Mogadishu imemnyima kibali cha kugombea urais wa jimbo moja la Somalia, aliyekuwa Naibu Kiongozi wa kundi la kigaidi na kitakfiri la al-Shabaab na pia msemaji wa zamani wa genge hilo la ukufurishaji, Mukhtar Robow Abu Mansur, ambaye mwaka jana alijisalimisha kwa jeshi la nchi hiyo ya Pembe ya Afrika.

  • Al Shabab washambulia msafara wa Umoja wa Ulaya, watu 3 wauawa Mogadishu

    Al Shabab washambulia msafara wa Umoja wa Ulaya, watu 3 wauawa Mogadishu

    Oct 01, 2018 11:07

    Watu watatu wameuawa katika shambulizi la kujilipua kwa bomu lililofanywa na wanachama wa kundi la kigaidi la al Shabab dhidi ya msafara wa Umoja wa Ulaya mjini Mogadishu.

  • Somalia yaitaka UN iiondolee vikwazo vya silaha

    Somalia yaitaka UN iiondolee vikwazo vya silaha

    Sep 30, 2018 10:35

    Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Somalia ameutaka Umoja wa Mataifa kuondoa vikwazo vya muda mrefu vya silaha dhidi ya nchi hiyo ya Pembe ya Afrika.

  • UN yataka nchi za dunia ziwasaidie Wasomali walioathirika na migogoro na ukame

    UN yataka nchi za dunia ziwasaidie Wasomali walioathirika na migogoro na ukame

    Sep 04, 2018 23:12

    Mjumbe wa Umoja wa Mataifa nchini Somalia ameitaka jamii ya kimataifa kuendelea kutoa misaada kwa watu walioathirika na migogoro, ukame wa mwaka 2017 pamoja na mafuriko na kimbunga nchini Somalia hivi karibuni.

  • Sita wauawa katika hujuma ya kigaidi Mogadishu, Somalia

    Sita wauawa katika hujuma ya kigaidi Mogadishu, Somalia

    Sep 02, 2018 08:53

    Watu wasiopungua sita wameuawa baada ya gaidi mmoja kushambulia kwa bomu ofisi ya serikali za mitaa katika mji mkuu wa Somalia, Mogadishu.

  • Idadi ya Wasomali waliofukuzwa makwao yaongezeka maradufu

    Idadi ya Wasomali waliofukuzwa makwao yaongezeka maradufu

    Aug 28, 2018 08:23

    Idadi ya Wasomali waliolazimika kukimbia makazi yao imeongezeka mwaka huu na maelfu miongoni mwao wamekuwa wakimbizi tena kutoka kwenye makazi yao ya muda walikokimbilia kutokana na vita, ukame na mafuriko.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS