-
Watu zaidi ya 50 wauawa katika mapigano baina ya koo huko Somaliland, Somalia
Oct 24, 2018 13:01Mapigano yaliyojiri kati ya koo hasimu katika kijiji cha Dhumey eneo la Somaliland lililojitenga na Somalia yamesababisha vifo vya watu zaidi ya 50.
-
Idadi ya vifo katika miripuko wa Somalia yaongezeka
Oct 15, 2018 04:21Idadi ya wahanga wa mashambulio mawili ya kujiripua kwa mabomu iliyotokea kusini magharibi mwa Somalia imeongezeka. Taarifa zinasema kuwa watu 20 wamepoteza maisha na wengine 40 wamejeruhiwa katika miripuko hiyo miwili iliyopishana kwa dakika chache tu.
-
Watu 16 wauawa katika shambulizi la kigaidi Somalia
Oct 14, 2018 03:36Kwa akali watu 16 wameuawa katika shambulizi la bomu lililofanywa na kundi la kigaidi na kitakfiri la al-Shabaab katika mji wa Baidoa nchini Somalia.
-
Al-Shabaab ya Somalia yaua 5 kwa tuhuma za ujasusi
Oct 10, 2018 11:19Kundi la kigaidi na kitakfiri la al-Shabaab la Somalia lenye mfungamano na mtandao wa kigaidi wa al-Qaeda limewaua kwa kuwamiminia risasi watu watano kwa tuhuma za kufanya ujasusi kwa niaba ya vyombo vya kiintelejensia vya Marekani, Uingereza na Somalia.
-
Aliyekuwa kamanda wa al-Shabaab anyimwa idhini ya kuwania urais Somalia
Oct 06, 2018 00:20Serikali ya Mogadishu imemnyima kibali cha kugombea urais wa jimbo moja la Somalia, aliyekuwa Naibu Kiongozi wa kundi la kigaidi na kitakfiri la al-Shabaab na pia msemaji wa zamani wa genge hilo la ukufurishaji, Mukhtar Robow Abu Mansur, ambaye mwaka jana alijisalimisha kwa jeshi la nchi hiyo ya Pembe ya Afrika.
-
Al Shabab washambulia msafara wa Umoja wa Ulaya, watu 3 wauawa Mogadishu
Oct 01, 2018 11:07Watu watatu wameuawa katika shambulizi la kujilipua kwa bomu lililofanywa na wanachama wa kundi la kigaidi la al Shabab dhidi ya msafara wa Umoja wa Ulaya mjini Mogadishu.
-
Somalia yaitaka UN iiondolee vikwazo vya silaha
Sep 30, 2018 10:35Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Somalia ameutaka Umoja wa Mataifa kuondoa vikwazo vya muda mrefu vya silaha dhidi ya nchi hiyo ya Pembe ya Afrika.
-
UN yataka nchi za dunia ziwasaidie Wasomali walioathirika na migogoro na ukame
Sep 04, 2018 23:12Mjumbe wa Umoja wa Mataifa nchini Somalia ameitaka jamii ya kimataifa kuendelea kutoa misaada kwa watu walioathirika na migogoro, ukame wa mwaka 2017 pamoja na mafuriko na kimbunga nchini Somalia hivi karibuni.
-
Sita wauawa katika hujuma ya kigaidi Mogadishu, Somalia
Sep 02, 2018 08:53Watu wasiopungua sita wameuawa baada ya gaidi mmoja kushambulia kwa bomu ofisi ya serikali za mitaa katika mji mkuu wa Somalia, Mogadishu.
-
Idadi ya Wasomali waliofukuzwa makwao yaongezeka maradufu
Aug 28, 2018 08:23Idadi ya Wasomali waliolazimika kukimbia makazi yao imeongezeka mwaka huu na maelfu miongoni mwao wamekuwa wakimbizi tena kutoka kwenye makazi yao ya muda walikokimbilia kutokana na vita, ukame na mafuriko.