Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Somalia

  • Somalia yaitaka UN iiondolee vikwazo vya silaha

    Somalia yaitaka UN iiondolee vikwazo vya silaha

    Sep 30, 2018 10:35

    Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Somalia ameutaka Umoja wa Mataifa kuondoa vikwazo vya muda mrefu vya silaha dhidi ya nchi hiyo ya Pembe ya Afrika.

  • UN yataka nchi za dunia ziwasaidie Wasomali walioathirika na migogoro na ukame

    UN yataka nchi za dunia ziwasaidie Wasomali walioathirika na migogoro na ukame

    Sep 04, 2018 23:12

    Mjumbe wa Umoja wa Mataifa nchini Somalia ameitaka jamii ya kimataifa kuendelea kutoa misaada kwa watu walioathirika na migogoro, ukame wa mwaka 2017 pamoja na mafuriko na kimbunga nchini Somalia hivi karibuni.

  • Sita wauawa katika hujuma ya kigaidi Mogadishu, Somalia

    Sita wauawa katika hujuma ya kigaidi Mogadishu, Somalia

    Sep 02, 2018 08:53

    Watu wasiopungua sita wameuawa baada ya gaidi mmoja kushambulia kwa bomu ofisi ya serikali za mitaa katika mji mkuu wa Somalia, Mogadishu.

  • Idadi ya Wasomali waliofukuzwa makwao yaongezeka maradufu

    Idadi ya Wasomali waliofukuzwa makwao yaongezeka maradufu

    Aug 28, 2018 08:23

    Idadi ya Wasomali waliolazimika kukimbia makazi yao imeongezeka mwaka huu na maelfu miongoni mwao wamekuwa wakimbizi tena kutoka kwenye makazi yao ya muda walikokimbilia kutokana na vita, ukame na mafuriko.

  • Rais wa Somalia auzulu na kuteua maafisa wapya wa nyadhifa mbalimbali

    Rais wa Somalia auzulu na kuteua maafisa wapya wa nyadhifa mbalimbali

    Aug 17, 2018 11:01

    Rais Mohamed Abdullahi Mohamed wa Somalia amefanya mabadiliko mapya kwa kumteua mkuu mpya wa majeshi pamoja na mkuu wa idara ya upelelezi ya nchi hiyo.

  • Wanajeshi 3 Wasomali wauawa katika hujuma ya kigaidi nje ya Mogadishu

    Wanajeshi 3 Wasomali wauawa katika hujuma ya kigaidi nje ya Mogadishu

    Aug 05, 2018 11:03

    Wanajeshi wasiopungua watatu wa Somalia wameuawa kufuatia hujuma ya kigaidi katika wilaya ya Afgoye iliyo kilomita 30 kaskaini magharibi mwa mji mkuu, Mogadishu.

  • Askari usalama wavamia jengo la wizara ya mambo ya nje ya Somalia

    Askari usalama wavamia jengo la wizara ya mambo ya nje ya Somalia

    Aug 04, 2018 22:03

    Duru za habari Somalia zimeripoti kuwa askari usalama wamevamia jengo la Wizara ya Mambo ya Nje katika mji mkuu Mogadishu kwa lengo la kumtia nguvuni Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa nchi hiyo.

  • Djibouti yakasirishwa na ombi la Somalia la kutaka Eritrea iondolewe vikwazo vya silaha

    Djibouti yakasirishwa na ombi la Somalia la kutaka Eritrea iondolewe vikwazo vya silaha

    Aug 03, 2018 11:03

    Ubalozi wa Djibouti mjini Mogadishu, Somalia umetangaza kushutushwa na wito wa Rais Mohammad Abdullahi Farmajo wa kutaka Eritrea iondolewe vikwazo vya silaha.

  • Umoja wa Mataifa waongeza muda wa kuhudumu AMISOM nchini Somalia

    Umoja wa Mataifa waongeza muda wa kuhudumu AMISOM nchini Somalia

    Jul 31, 2018 23:56

    Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa limeongeza muda wa kuhudu wanajeshi wa kulinda amani wa Umoja wa Afrika, AMISOM, nchini Somalia.

  • Eritrea na Somalia zasaini makubaliano ya kuhuisha uhusiano kati ya pande mbili

    Eritrea na Somalia zasaini makubaliano ya kuhuisha uhusiano kati ya pande mbili

    Jul 30, 2018 23:44

    Serikali ya Eritrea imetangaza kuwa imesaini makubaliano na Somalia kwa lengo la kuhuisha uhusiano wa kidiplomasia na kubadilishana mabalozi kati ya nchi mbili hizo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS