Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Somalia

  • Rais wa Somalia auzulu na kuteua maafisa wapya wa nyadhifa mbalimbali

    Rais wa Somalia auzulu na kuteua maafisa wapya wa nyadhifa mbalimbali

    Aug 17, 2018 11:01

    Rais Mohamed Abdullahi Mohamed wa Somalia amefanya mabadiliko mapya kwa kumteua mkuu mpya wa majeshi pamoja na mkuu wa idara ya upelelezi ya nchi hiyo.

  • Wanajeshi 3 Wasomali wauawa katika hujuma ya kigaidi nje ya Mogadishu

    Wanajeshi 3 Wasomali wauawa katika hujuma ya kigaidi nje ya Mogadishu

    Aug 05, 2018 11:03

    Wanajeshi wasiopungua watatu wa Somalia wameuawa kufuatia hujuma ya kigaidi katika wilaya ya Afgoye iliyo kilomita 30 kaskaini magharibi mwa mji mkuu, Mogadishu.

  • Askari usalama wavamia jengo la wizara ya mambo ya nje ya Somalia

    Askari usalama wavamia jengo la wizara ya mambo ya nje ya Somalia

    Aug 04, 2018 22:03

    Duru za habari Somalia zimeripoti kuwa askari usalama wamevamia jengo la Wizara ya Mambo ya Nje katika mji mkuu Mogadishu kwa lengo la kumtia nguvuni Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa nchi hiyo.

  • Djibouti yakasirishwa na ombi la Somalia la kutaka Eritrea iondolewe vikwazo vya silaha

    Djibouti yakasirishwa na ombi la Somalia la kutaka Eritrea iondolewe vikwazo vya silaha

    Aug 03, 2018 11:03

    Ubalozi wa Djibouti mjini Mogadishu, Somalia umetangaza kushutushwa na wito wa Rais Mohammad Abdullahi Farmajo wa kutaka Eritrea iondolewe vikwazo vya silaha.

  • Umoja wa Mataifa waongeza muda wa kuhudumu AMISOM nchini Somalia

    Umoja wa Mataifa waongeza muda wa kuhudumu AMISOM nchini Somalia

    Jul 31, 2018 23:56

    Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa limeongeza muda wa kuhudu wanajeshi wa kulinda amani wa Umoja wa Afrika, AMISOM, nchini Somalia.

  • Eritrea na Somalia zasaini makubaliano ya kuhuisha uhusiano kati ya pande mbili

    Eritrea na Somalia zasaini makubaliano ya kuhuisha uhusiano kati ya pande mbili

    Jul 30, 2018 23:44

    Serikali ya Eritrea imetangaza kuwa imesaini makubaliano na Somalia kwa lengo la kuhuisha uhusiano wa kidiplomasia na kubadilishana mabalozi kati ya nchi mbili hizo.

  • Magaidi 87 wa al Shabab wauawa kusini mwa Somalia

    Magaidi 87 wa al Shabab wauawa kusini mwa Somalia

    Jul 24, 2018 11:41

    Serikali ya Somalia imetangaza kuwa imewaangamiza magaidi 87 wa kundi la al Shabab katika mapigano yaliyotokea jana kusini mwa nchi hiyo.

  • Kundi la al Shabab lashambulia kambi ya jeshi na kuuwa wanajeshi 27 Somalia

    Kundi la al Shabab lashambulia kambi ya jeshi na kuuwa wanajeshi 27 Somalia

    Jul 23, 2018 03:38

    Kundi la wanamgambo wa al Shabab lenye makao yake nchini Somalia limetangaza hii leo kuwa limeshambulia kambi moja ya jeshi kwa kulipua bomu lililotegwa garini huko kusini mwa nchi hiyo na kuuwa wanajeshi 27.

  • Al-Shabaab yateka mji muhimu katika eneo la Puntland, Somalia

    Al-Shabaab yateka mji muhimu katika eneo la Puntland, Somalia

    Jul 20, 2018 09:48

    Kundi la kigaidi na ukufurishaji la al-Shabaab la Somalia limeteka mji mdogo lakini wa kistratajia ulioko karibu na eneo la milima ya Galgala, kusini mwa jiji la Bosaso katika eneo lenye mamlaka ya ndani la Puntland.

  • Mripuko wa bomu watokea karibu na ikulu ya rais wa Somalia

    Mripuko wa bomu watokea karibu na ikulu ya rais wa Somalia

    Jul 07, 2018 09:55

    Polisi ya Somalia imetangaza habari ya kutokea mripuko wa bomu karibu na ikulu ya Rais Mohamed Abdullahi Mohamed wa nchi hiyo mjini Mogadishu.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS