Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Somalia

  • Magaidi 115 wa Al Shabab wauawa Somalia

    Magaidi 115 wa Al Shabab wauawa Somalia

    Mar 28, 2016 09:10

    Jeshi la Somalia limefanikiwa kuwaua magaidi zaidi ya 115 wa kundi la kitakfiri la Al Shabab katika jimbo la Galmudug nchini humo.

  • Ash Shabab 60 wauawa mashariki mwa Somalia

    Ash Shabab 60 wauawa mashariki mwa Somalia

    Mar 27, 2016 00:09

    Wapiganaji 60 wa kundi la kigaidi la ash-Shabab nchini Somalia wameuawa mashariki mwa nchi hiyo.

  • Wanamgambo 23 wa al Shabab wauliwa na askari wa Somalia

    Wanamgambo 23 wa al Shabab wauliwa na askari wa Somalia

    Mar 26, 2016 12:27

    Kwa akali wanachama 23 wa kundi la kigaidi la ash-Shabab la Somalia wameuliwa na askari wa serikali ya nchi hiyo.

  • Wanachama 156 wa ash-Shabab watiwa mbaroni na polisi ya Somalia

    Wanachama 156 wa ash-Shabab watiwa mbaroni na polisi ya Somalia

    Mar 25, 2016 02:26

    Polisi ya Somalia imetangaza kuwatia mbaroni watu 156 kwa tuhuma za kuwa wanachama wa kundi la kigaidi la ash-Shabab. Kwa mujibu wa polisi ya nchi hiyo, watu hao wametiwa nguvuni katika jimbo la Puntland kaskazini mwa Somalia.

  • Magaidi 70 wa al Shabab wauawa na jeshi la Somalia

    Magaidi 70 wa al Shabab wauawa na jeshi la Somalia

    Mar 22, 2016 03:34

    Magaidi zaidi ya 70 wa kundi la kitakfiri la al Shabab wameuawa katika mapigano na Jeshi la Somalia kaskazini mwa nchi hiyo.

  • Al-Shabaab: Tumeua wanajeshi 73 wa Somalia, Lower Shabelle

    Al-Shabaab: Tumeua wanajeshi 73 wa Somalia, Lower Shabelle

    Mar 21, 2016 11:45

    Kundi la kigaidi na kitakfiri la al-Shabaab limedai kuwaua askari 73 wa jeshi la taifa la Somalia, katika makabiliano makali yaliyotokea jana huko Shabelle ya Chini, yapata kilomita 60 kusini mwa mji mkuu, Mogadishu.

  • Wapiganaji watatu wa al-Shabab watiwa mbaroni nchini Somalia

    Wapiganaji watatu wa al-Shabab watiwa mbaroni nchini Somalia

    Mar 21, 2016 03:42

    Wanachama watatu wa kundi la kigaidi la al-Shabab wametiwa mbaroni nchini Somalia.

  • Jeshi la Kenya laua magaidi 34 wa al-Shabab Somalia-MPYA UPDATE 2

    Jeshi la Kenya laua magaidi 34 wa al-Shabab Somalia-MPYA UPDATE 2

    Mar 20, 2016 12:22

    Jeshi la Kenya limewaangamiza magaidi 21 wa kundi la kitakfiri la al Shabab kufuatia mapigano makali katika nchi jirani ya Somalia.

  • Al-Shabab washambulia mji wa Kismayo watatu wauawa

    Al-Shabab washambulia mji wa Kismayo watatu wauawa

    Mar 19, 2016 23:35

    Watu watatu wameripotiwa kuuawa na wengine sita kujeruhiwa kufuatia shambulio lililofanywa na kundi la kigaidi la ash-Shabab katika eneo lililo karibu na mji wa Kismayo nchini Somalia.

  • Magaidi 19 wa al Shabab wauawa Somalia

    Magaidi 19 wa al Shabab wauawa Somalia

    Mar 17, 2016 03:48

    Jeshi la Kenya limetangaza kuwa wapiganaji 19 wa kund la kigaidi la al Shabab wameuawa huko kusini mwa Somalia.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS