Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Somalia

  • Magaidi 70 wa al Shabab wauawa na jeshi la Somalia

    Magaidi 70 wa al Shabab wauawa na jeshi la Somalia

    Mar 22, 2016 03:34

    Magaidi zaidi ya 70 wa kundi la kitakfiri la al Shabab wameuawa katika mapigano na Jeshi la Somalia kaskazini mwa nchi hiyo.

  • Al-Shabaab: Tumeua wanajeshi 73 wa Somalia, Lower Shabelle

    Al-Shabaab: Tumeua wanajeshi 73 wa Somalia, Lower Shabelle

    Mar 21, 2016 11:45

    Kundi la kigaidi na kitakfiri la al-Shabaab limedai kuwaua askari 73 wa jeshi la taifa la Somalia, katika makabiliano makali yaliyotokea jana huko Shabelle ya Chini, yapata kilomita 60 kusini mwa mji mkuu, Mogadishu.

  • Wapiganaji watatu wa al-Shabab watiwa mbaroni nchini Somalia

    Wapiganaji watatu wa al-Shabab watiwa mbaroni nchini Somalia

    Mar 21, 2016 03:42

    Wanachama watatu wa kundi la kigaidi la al-Shabab wametiwa mbaroni nchini Somalia.

  • Jeshi la Kenya laua magaidi 34 wa al-Shabab Somalia-MPYA UPDATE 2

    Jeshi la Kenya laua magaidi 34 wa al-Shabab Somalia-MPYA UPDATE 2

    Mar 20, 2016 12:22

    Jeshi la Kenya limewaangamiza magaidi 21 wa kundi la kitakfiri la al Shabab kufuatia mapigano makali katika nchi jirani ya Somalia.

  • Al-Shabab washambulia mji wa Kismayo watatu wauawa

    Al-Shabab washambulia mji wa Kismayo watatu wauawa

    Mar 19, 2016 23:35

    Watu watatu wameripotiwa kuuawa na wengine sita kujeruhiwa kufuatia shambulio lililofanywa na kundi la kigaidi la ash-Shabab katika eneo lililo karibu na mji wa Kismayo nchini Somalia.

  • Magaidi 19 wa al Shabab wauawa Somalia

    Magaidi 19 wa al Shabab wauawa Somalia

    Mar 17, 2016 03:48

    Jeshi la Kenya limetangaza kuwa wapiganaji 19 wa kund la kigaidi la al Shabab wameuawa huko kusini mwa Somalia.

  • Magaidi wa Al Shabab wateka mji wa Garad, Somalia

    Magaidi wa Al Shabab wateka mji wa Garad, Somalia

    Mar 15, 2016 11:24

    Magaidi wa Al Shabab wameuteka mji wa bandarini wa Garad katika eneo la Puntland lenye mamlaka ya ndani Somalia.

  • Washukiwa 30 wa al Shabab watiwa mbaroni katika oparesheni kubwa ya kiusalama Shabelle ya Chini

    Washukiwa 30 wa al Shabab watiwa mbaroni katika oparesheni kubwa ya kiusalama Shabelle ya Chini

    Mar 14, 2016 23:30

    Washukiwa wa kundi la wanamgambo la al Shabab wasiopungua 30 wametiwa mbaroni katika oparesheni kubwa ya kiusalama iliyofanywa na vikosi vya usalama vya Somalia katika mkoa wa Shabelle ya Chini.

  • Polisi 3 wauawa katika hujuma ya al-Shabab Somalia

    Polisi 3 wauawa katika hujuma ya al-Shabab Somalia

    Mar 09, 2016 04:34

    Kwa akali maafisa watatu wa polisi ya Somalia wameuawa katika shambulizi la bomu la kutegwa garini mapema leo Jumatano katika mji mkuu wa nchi hiyo Mogadishu.

  • Boti ya silaha zinazoaminiwa ni za ash Shabab yakamatwa na askari wa Australia

    Boti ya silaha zinazoaminiwa ni za ash Shabab yakamatwa na askari wa Australia

    Mar 07, 2016 23:43

    Vyombo vya habari vya Australia vimeripoti kuwa, maafisa usalama wa nchi hiyo wamekamata boti ya uvuvi iliyokuwa imejaa silaha zilizokuwa zinapelekwa kwa wanamgambo wa ash Shabab nchini Somalia.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS