-
Magaidi 115 wa Al Shabab wauawa Somalia
Mar 28, 2016 09:10Jeshi la Somalia limefanikiwa kuwaua magaidi zaidi ya 115 wa kundi la kitakfiri la Al Shabab katika jimbo la Galmudug nchini humo.
-
Ash Shabab 60 wauawa mashariki mwa Somalia
Mar 27, 2016 00:09Wapiganaji 60 wa kundi la kigaidi la ash-Shabab nchini Somalia wameuawa mashariki mwa nchi hiyo.
-
Wanamgambo 23 wa al Shabab wauliwa na askari wa Somalia
Mar 26, 2016 12:27Kwa akali wanachama 23 wa kundi la kigaidi la ash-Shabab la Somalia wameuliwa na askari wa serikali ya nchi hiyo.
-
Wanachama 156 wa ash-Shabab watiwa mbaroni na polisi ya Somalia
Mar 25, 2016 02:26Polisi ya Somalia imetangaza kuwatia mbaroni watu 156 kwa tuhuma za kuwa wanachama wa kundi la kigaidi la ash-Shabab. Kwa mujibu wa polisi ya nchi hiyo, watu hao wametiwa nguvuni katika jimbo la Puntland kaskazini mwa Somalia.
-
Magaidi 70 wa al Shabab wauawa na jeshi la Somalia
Mar 22, 2016 03:34Magaidi zaidi ya 70 wa kundi la kitakfiri la al Shabab wameuawa katika mapigano na Jeshi la Somalia kaskazini mwa nchi hiyo.
-
Al-Shabaab: Tumeua wanajeshi 73 wa Somalia, Lower Shabelle
Mar 21, 2016 11:45Kundi la kigaidi na kitakfiri la al-Shabaab limedai kuwaua askari 73 wa jeshi la taifa la Somalia, katika makabiliano makali yaliyotokea jana huko Shabelle ya Chini, yapata kilomita 60 kusini mwa mji mkuu, Mogadishu.
-
Wapiganaji watatu wa al-Shabab watiwa mbaroni nchini Somalia
Mar 21, 2016 03:42Wanachama watatu wa kundi la kigaidi la al-Shabab wametiwa mbaroni nchini Somalia.
-
Jeshi la Kenya laua magaidi 34 wa al-Shabab Somalia-MPYA UPDATE 2
Mar 20, 2016 12:22Jeshi la Kenya limewaangamiza magaidi 21 wa kundi la kitakfiri la al Shabab kufuatia mapigano makali katika nchi jirani ya Somalia.
-
Al-Shabab washambulia mji wa Kismayo watatu wauawa
Mar 19, 2016 23:35Watu watatu wameripotiwa kuuawa na wengine sita kujeruhiwa kufuatia shambulio lililofanywa na kundi la kigaidi la ash-Shabab katika eneo lililo karibu na mji wa Kismayo nchini Somalia.
-
Magaidi 19 wa al Shabab wauawa Somalia
Mar 17, 2016 03:48Jeshi la Kenya limetangaza kuwa wapiganaji 19 wa kund la kigaidi la al Shabab wameuawa huko kusini mwa Somalia.