-
Magaidi 70 wa al Shabab wauawa na jeshi la Somalia
Mar 22, 2016 03:34Magaidi zaidi ya 70 wa kundi la kitakfiri la al Shabab wameuawa katika mapigano na Jeshi la Somalia kaskazini mwa nchi hiyo.
-
Al-Shabaab: Tumeua wanajeshi 73 wa Somalia, Lower Shabelle
Mar 21, 2016 11:45Kundi la kigaidi na kitakfiri la al-Shabaab limedai kuwaua askari 73 wa jeshi la taifa la Somalia, katika makabiliano makali yaliyotokea jana huko Shabelle ya Chini, yapata kilomita 60 kusini mwa mji mkuu, Mogadishu.
-
Wapiganaji watatu wa al-Shabab watiwa mbaroni nchini Somalia
Mar 21, 2016 03:42Wanachama watatu wa kundi la kigaidi la al-Shabab wametiwa mbaroni nchini Somalia.
-
Jeshi la Kenya laua magaidi 34 wa al-Shabab Somalia-MPYA UPDATE 2
Mar 20, 2016 12:22Jeshi la Kenya limewaangamiza magaidi 21 wa kundi la kitakfiri la al Shabab kufuatia mapigano makali katika nchi jirani ya Somalia.
-
Al-Shabab washambulia mji wa Kismayo watatu wauawa
Mar 19, 2016 23:35Watu watatu wameripotiwa kuuawa na wengine sita kujeruhiwa kufuatia shambulio lililofanywa na kundi la kigaidi la ash-Shabab katika eneo lililo karibu na mji wa Kismayo nchini Somalia.
-
Magaidi 19 wa al Shabab wauawa Somalia
Mar 17, 2016 03:48Jeshi la Kenya limetangaza kuwa wapiganaji 19 wa kund la kigaidi la al Shabab wameuawa huko kusini mwa Somalia.
-
Magaidi wa Al Shabab wateka mji wa Garad, Somalia
Mar 15, 2016 11:24Magaidi wa Al Shabab wameuteka mji wa bandarini wa Garad katika eneo la Puntland lenye mamlaka ya ndani Somalia.
-
Washukiwa 30 wa al Shabab watiwa mbaroni katika oparesheni kubwa ya kiusalama Shabelle ya Chini
Mar 14, 2016 23:30Washukiwa wa kundi la wanamgambo la al Shabab wasiopungua 30 wametiwa mbaroni katika oparesheni kubwa ya kiusalama iliyofanywa na vikosi vya usalama vya Somalia katika mkoa wa Shabelle ya Chini.
-
Polisi 3 wauawa katika hujuma ya al-Shabab Somalia
Mar 09, 2016 04:34Kwa akali maafisa watatu wa polisi ya Somalia wameuawa katika shambulizi la bomu la kutegwa garini mapema leo Jumatano katika mji mkuu wa nchi hiyo Mogadishu.
-
Boti ya silaha zinazoaminiwa ni za ash Shabab yakamatwa na askari wa Australia
Mar 07, 2016 23:43Vyombo vya habari vya Australia vimeripoti kuwa, maafisa usalama wa nchi hiyo wamekamata boti ya uvuvi iliyokuwa imejaa silaha zilizokuwa zinapelekwa kwa wanamgambo wa ash Shabab nchini Somalia.