-
Magaidi wa Al Shabab wateka mji wa Garad, Somalia
Mar 15, 2016 11:24Magaidi wa Al Shabab wameuteka mji wa bandarini wa Garad katika eneo la Puntland lenye mamlaka ya ndani Somalia.
-
Washukiwa 30 wa al Shabab watiwa mbaroni katika oparesheni kubwa ya kiusalama Shabelle ya Chini
Mar 14, 2016 23:30Washukiwa wa kundi la wanamgambo la al Shabab wasiopungua 30 wametiwa mbaroni katika oparesheni kubwa ya kiusalama iliyofanywa na vikosi vya usalama vya Somalia katika mkoa wa Shabelle ya Chini.
-
Polisi 3 wauawa katika hujuma ya al-Shabab Somalia
Mar 09, 2016 04:34Kwa akali maafisa watatu wa polisi ya Somalia wameuawa katika shambulizi la bomu la kutegwa garini mapema leo Jumatano katika mji mkuu wa nchi hiyo Mogadishu.
-
Boti ya silaha zinazoaminiwa ni za ash Shabab yakamatwa na askari wa Australia
Mar 07, 2016 23:43Vyombo vya habari vya Australia vimeripoti kuwa, maafisa usalama wa nchi hiyo wamekamata boti ya uvuvi iliyokuwa imejaa silaha zilizokuwa zinapelekwa kwa wanamgambo wa ash Shabab nchini Somalia.
-
Qatar yampa hifadhi kamanda mwandamizi wa zamani wa al-Shabab
Mar 06, 2016 21:47Aliyekuwa kamanda wa ngazi za juu wa kundi la kitakfiri la al-Shabab, Muhammed Said Atam amepewa hifadhi na serikali ya Qatar.
-
Watu watatu wauawa katika mripuko wa bomu nchini Somalia
Mar 06, 2016 11:58Kwa akali watu watatu wameripotiwa kuuawa katika miripuko iliyotokea leo kusini mwa Somalia.
-
Makumi ya maelfu ya watoto nchini Somalia wakabiliwa na hatari ya kifo
Mar 04, 2016 23:33Mkuu wa Uratibu wa Misaada ya Kibinadamu wa Umoja wa Mataifa katika eneo la Pembe ya Afrika amesema watoto wapatao 60,000 nchini Somalia wanakabiliwa na hatari ya kifo kutokana na uhaba wa misaada ya kibinadamu.
-
Umoja wa Ulaya kupunguza misaada yake kwa AMISOM
Mar 02, 2016 04:49Umoja wa Ulaya umetangaza kuwa utapunguza misaada yake ya kifedha kwa kikosi cha kulinda amani cha Umoja wa Afrika AMISOM nchini Somalia.
-
Umoja wa Afrika walaani shambulio la wanamgambo wa al-Shabab Somalia lililoua raia wasiopungua 30 huko Baidoa
Feb 29, 2016 11:37Umoja wa Afrika umelaani vikali shambulio la kigaidi la wanamgambo wa al-Shabab lililopelekea watu wasiopungua 30 kuuawa huko Baidoa na wengine 42 kujeruhiwa.
-
Rais wa Somalia: Nilinukuliwa vibaya kuhusu idadi ya waliouawa El-Adde
Feb 28, 2016 04:36Rais wa Somalia Hassan Sheikh Mohamud amesema alinukuliwa vibaya na vyombo vya habari kuhusu idadi ya askari wa Jeshi la Ulinzi la Kenya KDF waliouawa mwezi uliopita katika hujuma ya kundi la al-Shabab katika kambi ya El-Adde.