• Jeshi la Uganda lafelisha mashambulio ya al Shabab, laua makamanda

    Jeshi la Uganda lafelisha mashambulio ya al Shabab, laua makamanda

    Feb 19, 2016 23:38

    Wanajeshi wa Uganda wanaoshiriki kwenye operesheni za kijeshi za kikosi cha Umoja wa Afrika AMISOM nchini Somalia wamefanikiwa kuvunja mashambulio mawili ya kundi la kigaidi la al shabab katika kambi za AU kama ambavyo wamefanikiwa pia kuua makamanda wawili wa kundi hilo katika siku chache zilizopita.

  • Uchaguzi wa Somalia kufanyika mwezi Julai mwaka huu

    Uchaguzi wa Somalia kufanyika mwezi Julai mwaka huu

    Feb 17, 2016 22:41

    Mjumbe Maalumu wa Umoja wa Mataifa katika masuala ya Somalia amesema, viongozi wa baadhi ya majimbo nchini humo wamekubaliana na pendekezo la serikali kuu la kufanyika uchaguzi mwezi Julai mwaka huu.

  • Shambulizi la bomu Somalia laua waziri wa zamani

    Shambulizi la bomu Somalia laua waziri wa zamani

    Feb 16, 2016 04:30

    Aliyekuwa Waziri wa Ulinzi wa Somalia ameuawa katika shambulizi la bomu lililofanywa na kundi la wanamgambo wa al-Shabaab. Shirika la habari la Reuters limemnukuu Sheikh Abdiaziz Abu Musab, msemaji wa kundi hilo la kigaidi ambaye amekiri kuwa wao ndio waliomuua Muhyiddin Muhammed katika shambulizi la bomu la kutegwa garini.

  • Tahadhari ya Umoja wa Afrika kwa wanamgambo wa al-Shabab

    Tahadhari ya Umoja wa Afrika kwa wanamgambo wa al-Shabab

    Feb 12, 2016 04:36

    Mjumbe maalumu wa Umoja wa Afrika nchini Somalia ametahadharisha kuhusiana na harakati za kundi la kigaidi la al-Shabab.