-
20 wameuawa katika hujuma ya kigaidi Al Shabab Mogadishi
Feb 27, 2016 13:19Watu 20 wamebainika kuuawa katika hujuma ya kundi la kigaidi la Al Shabab mjini Mogadishi.
-
Al Shabab yashambulia tena ikulu ya Rais Somalia
Feb 25, 2016 22:32Kundi la kigaidi la al Shabab limeshambulia ikulu ya Rais wa Somalia na kuua watu kadhaa.
-
Rais wa Somalia: Askari 200 wa Kenya waliuwa na al-Shabaab, El-Adde
Feb 25, 2016 13:01Rais wa Somalia Hassan Sheikh Mohamud amesema askari wapatao 200 wa Jeshi la Ulinzi la Kenya KDF waliuawa katika shambulio la kundi la kigaidi na kitakfiri la al-Shabaab katika kambi ya El-Adde mwezi uliopita.
-
Somalia yalalamikia hatua ya Kenya ya kuwati mbaroni wabunge wake
Feb 23, 2016 10:12Serikali ya Somalia imelalamikia hatua ya Kenya ya kuwatia mbaroni wabunge wake wanaoishi nchini humo.
-
Jeshi la Uganda lafelisha mashambulio ya al Shabab, laua makamanda
Feb 19, 2016 23:38Wanajeshi wa Uganda wanaoshiriki kwenye operesheni za kijeshi za kikosi cha Umoja wa Afrika AMISOM nchini Somalia wamefanikiwa kuvunja mashambulio mawili ya kundi la kigaidi la al shabab katika kambi za AU kama ambavyo wamefanikiwa pia kuua makamanda wawili wa kundi hilo katika siku chache zilizopita.
-
Uchaguzi wa Somalia kufanyika mwezi Julai mwaka huu
Feb 17, 2016 22:41Mjumbe Maalumu wa Umoja wa Mataifa katika masuala ya Somalia amesema, viongozi wa baadhi ya majimbo nchini humo wamekubaliana na pendekezo la serikali kuu la kufanyika uchaguzi mwezi Julai mwaka huu.
-
Shambulizi la bomu Somalia laua waziri wa zamani
Feb 16, 2016 04:30Aliyekuwa Waziri wa Ulinzi wa Somalia ameuawa katika shambulizi la bomu lililofanywa na kundi la wanamgambo wa al-Shabaab. Shirika la habari la Reuters limemnukuu Sheikh Abdiaziz Abu Musab, msemaji wa kundi hilo la kigaidi ambaye amekiri kuwa wao ndio waliomuua Muhyiddin Muhammed katika shambulizi la bomu la kutegwa garini.
-
Tahadhari ya Umoja wa Afrika kwa wanamgambo wa al-Shabab
Feb 12, 2016 04:36Mjumbe maalumu wa Umoja wa Afrika nchini Somalia ametahadharisha kuhusiana na harakati za kundi la kigaidi la al-Shabab.