-
Makumi ya maelfu ya watoto nchini Somalia wakabiliwa na hatari ya kifo
Mar 04, 2016 23:33Mkuu wa Uratibu wa Misaada ya Kibinadamu wa Umoja wa Mataifa katika eneo la Pembe ya Afrika amesema watoto wapatao 60,000 nchini Somalia wanakabiliwa na hatari ya kifo kutokana na uhaba wa misaada ya kibinadamu.
-
Umoja wa Ulaya kupunguza misaada yake kwa AMISOM
Mar 02, 2016 04:49Umoja wa Ulaya umetangaza kuwa utapunguza misaada yake ya kifedha kwa kikosi cha kulinda amani cha Umoja wa Afrika AMISOM nchini Somalia.
-
Umoja wa Afrika walaani shambulio la wanamgambo wa al-Shabab Somalia lililoua raia wasiopungua 30 huko Baidoa
Feb 29, 2016 11:37Umoja wa Afrika umelaani vikali shambulio la kigaidi la wanamgambo wa al-Shabab lililopelekea watu wasiopungua 30 kuuawa huko Baidoa na wengine 42 kujeruhiwa.
-
Rais wa Somalia: Nilinukuliwa vibaya kuhusu idadi ya waliouawa El-Adde
Feb 28, 2016 04:36Rais wa Somalia Hassan Sheikh Mohamud amesema alinukuliwa vibaya na vyombo vya habari kuhusu idadi ya askari wa Jeshi la Ulinzi la Kenya KDF waliouawa mwezi uliopita katika hujuma ya kundi la al-Shabab katika kambi ya El-Adde.
-
20 wameuawa katika hujuma ya kigaidi Al Shabab Mogadishi
Feb 27, 2016 13:19Watu 20 wamebainika kuuawa katika hujuma ya kundi la kigaidi la Al Shabab mjini Mogadishi.
-
Al Shabab yashambulia tena ikulu ya Rais Somalia
Feb 25, 2016 22:32Kundi la kigaidi la al Shabab limeshambulia ikulu ya Rais wa Somalia na kuua watu kadhaa.
-
Rais wa Somalia: Askari 200 wa Kenya waliuwa na al-Shabaab, El-Adde
Feb 25, 2016 13:01Rais wa Somalia Hassan Sheikh Mohamud amesema askari wapatao 200 wa Jeshi la Ulinzi la Kenya KDF waliuawa katika shambulio la kundi la kigaidi na kitakfiri la al-Shabaab katika kambi ya El-Adde mwezi uliopita.
-
Somalia yalalamikia hatua ya Kenya ya kuwati mbaroni wabunge wake
Feb 23, 2016 10:12Serikali ya Somalia imelalamikia hatua ya Kenya ya kuwatia mbaroni wabunge wake wanaoishi nchini humo.
-
Jeshi la Uganda lafelisha mashambulio ya al Shabab, laua makamanda
Feb 19, 2016 23:38Wanajeshi wa Uganda wanaoshiriki kwenye operesheni za kijeshi za kikosi cha Umoja wa Afrika AMISOM nchini Somalia wamefanikiwa kuvunja mashambulio mawili ya kundi la kigaidi la al shabab katika kambi za AU kama ambavyo wamefanikiwa pia kuua makamanda wawili wa kundi hilo katika siku chache zilizopita.
-
Uchaguzi wa Somalia kufanyika mwezi Julai mwaka huu
Feb 17, 2016 22:41Mjumbe Maalumu wa Umoja wa Mataifa katika masuala ya Somalia amesema, viongozi wa baadhi ya majimbo nchini humo wamekubaliana na pendekezo la serikali kuu la kufanyika uchaguzi mwezi Julai mwaka huu.