-
Jeshi la Uganda lafelisha mashambulio ya al Shabab, laua makamanda
Feb 19, 2016 23:38Wanajeshi wa Uganda wanaoshiriki kwenye operesheni za kijeshi za kikosi cha Umoja wa Afrika AMISOM nchini Somalia wamefanikiwa kuvunja mashambulio mawili ya kundi la kigaidi la al shabab katika kambi za AU kama ambavyo wamefanikiwa pia kuua makamanda wawili wa kundi hilo katika siku chache zilizopita.
-
Uchaguzi wa Somalia kufanyika mwezi Julai mwaka huu
Feb 17, 2016 22:41Mjumbe Maalumu wa Umoja wa Mataifa katika masuala ya Somalia amesema, viongozi wa baadhi ya majimbo nchini humo wamekubaliana na pendekezo la serikali kuu la kufanyika uchaguzi mwezi Julai mwaka huu.
-
Shambulizi la bomu Somalia laua waziri wa zamani
Feb 16, 2016 04:30Aliyekuwa Waziri wa Ulinzi wa Somalia ameuawa katika shambulizi la bomu lililofanywa na kundi la wanamgambo wa al-Shabaab. Shirika la habari la Reuters limemnukuu Sheikh Abdiaziz Abu Musab, msemaji wa kundi hilo la kigaidi ambaye amekiri kuwa wao ndio waliomuua Muhyiddin Muhammed katika shambulizi la bomu la kutegwa garini.
-
Tahadhari ya Umoja wa Afrika kwa wanamgambo wa al-Shabab
Feb 12, 2016 04:36Mjumbe maalumu wa Umoja wa Afrika nchini Somalia ametahadharisha kuhusiana na harakati za kundi la kigaidi la al-Shabab.