Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Somalia

  • 20 wameuawa katika hujuma ya kigaidi Al Shabab Mogadishi

    20 wameuawa katika hujuma ya kigaidi Al Shabab Mogadishi

    Feb 27, 2016 13:19

    Watu 20 wamebainika kuuawa katika hujuma ya kundi la kigaidi la Al Shabab mjini Mogadishi.

  • Al Shabab yashambulia tena ikulu ya Rais Somalia

    Al Shabab yashambulia tena ikulu ya Rais Somalia

    Feb 25, 2016 22:32

    Kundi la kigaidi la al Shabab limeshambulia ikulu ya Rais wa Somalia na kuua watu kadhaa.

  • Rais wa Somalia: Askari 200 wa Kenya waliuwa na al-Shabaab, El-Adde

    Rais wa Somalia: Askari 200 wa Kenya waliuwa na al-Shabaab, El-Adde

    Feb 25, 2016 13:01

    Rais wa Somalia Hassan Sheikh Mohamud amesema askari wapatao 200 wa Jeshi la Ulinzi la Kenya KDF waliuawa katika shambulio la kundi la kigaidi na kitakfiri la al-Shabaab katika kambi ya El-Adde mwezi uliopita.

  • Somalia yalalamikia hatua ya Kenya ya kuwati mbaroni wabunge wake

    Somalia yalalamikia hatua ya Kenya ya kuwati mbaroni wabunge wake

    Feb 23, 2016 10:12

    Serikali ya Somalia imelalamikia hatua ya Kenya ya kuwatia mbaroni wabunge wake wanaoishi nchini humo.

  • Jeshi la Uganda lafelisha mashambulio ya al Shabab, laua makamanda

    Jeshi la Uganda lafelisha mashambulio ya al Shabab, laua makamanda

    Feb 19, 2016 23:38

    Wanajeshi wa Uganda wanaoshiriki kwenye operesheni za kijeshi za kikosi cha Umoja wa Afrika AMISOM nchini Somalia wamefanikiwa kuvunja mashambulio mawili ya kundi la kigaidi la al shabab katika kambi za AU kama ambavyo wamefanikiwa pia kuua makamanda wawili wa kundi hilo katika siku chache zilizopita.

  • Uchaguzi wa Somalia kufanyika mwezi Julai mwaka huu

    Uchaguzi wa Somalia kufanyika mwezi Julai mwaka huu

    Feb 17, 2016 22:41

    Mjumbe Maalumu wa Umoja wa Mataifa katika masuala ya Somalia amesema, viongozi wa baadhi ya majimbo nchini humo wamekubaliana na pendekezo la serikali kuu la kufanyika uchaguzi mwezi Julai mwaka huu.

  • Shambulizi la bomu Somalia laua waziri wa zamani

    Shambulizi la bomu Somalia laua waziri wa zamani

    Feb 16, 2016 04:30

    Aliyekuwa Waziri wa Ulinzi wa Somalia ameuawa katika shambulizi la bomu lililofanywa na kundi la wanamgambo wa al-Shabaab. Shirika la habari la Reuters limemnukuu Sheikh Abdiaziz Abu Musab, msemaji wa kundi hilo la kigaidi ambaye amekiri kuwa wao ndio waliomuua Muhyiddin Muhammed katika shambulizi la bomu la kutegwa garini.

  • Tahadhari ya Umoja wa Afrika kwa wanamgambo wa al-Shabab

    Tahadhari ya Umoja wa Afrika kwa wanamgambo wa al-Shabab

    Feb 12, 2016 04:36

    Mjumbe maalumu wa Umoja wa Afrika nchini Somalia ametahadharisha kuhusiana na harakati za kundi la kigaidi la al-Shabab.

Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS