-
Hali ya haki za binadamu Sudan yazidi kukosolewa
Jul 09, 2017 09:32Duru mbalimbali zinaripoti kuwa, faili la hali ya haki za binadamu na uhuru nchini Sudan limezusha utata mkubwa, na kwamba serikali ya nchi hiyo sasa inaandamwa vikali na jumuiya za kiraia na kimataifa.
-
Kuakhirishwa mazungumzo ya usalama kati ya Sudan na Sudan Kusini
Jul 03, 2017 23:14Mazungumzo ya amani kati ya Sudan na Sudan Kusini yameakhirishwa hadi wakati mwingine kutokana na matatizo ya kilojistiki.
-
Sudan yakaribisha azimio la UN la kupunguzwa askari wa kusimamia amani Darfur
Jul 01, 2017 23:43Wizara ya Mambo ya Nje ya Sudan imekaribisha uamuzi wa Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa la kupunguza taratibu askari wa kusimamia amani wa umoja huo katika eneo la Darfur.
-
Baraza la Usalama lapasisha azimio la kupunguza kikosi cha UNAMID Darfur
Jun 30, 2017 09:37Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa limepasisha azimio la kupunguza idadi ya askari wa kimataifa wa kusimamia amani katika jimbo la Darfur magharibi mwa Sudan.
-
UN: Ugonjwa wa kuharisha umeua watu 279 nchini Sudan
Jun 13, 2017 08:58Ofisi ya Kuratibu Masuala ya Kibinadamu ya Umoja wa Mataifa OCHA imesema kwa akali watu 279 wamepoteza maisha kutokana na mlipuko wa ugonjwa wa kuharisha nchini Sudan.
-
AU, UN zataka kupunguzwa askari wa kulinda amani Darfur, Sudan
Jun 07, 2017 03:03Umoja wa Afrika na Umoja wa Mataifa zimependekeza kupunguzwa idadi ya askari wanaohudumu kwenye Kikosi cha pamoja cha AU na UN huko Darfur, nchini Sudan UNAMID.
-
Rais wa Sudan: Ugaidi hauna mafungamano yoyote na Uislamu
Jun 04, 2017 02:53Rais Omar Hassan al-Bashir wa Sudan amesema mashambulizi ya kigaidi ya hivi karibuni katika nchi jirani ya Misri sawa na hujuma nyingine za kigaidi katika sehemu mbali mbali duniani hazina uhusiano wala mafungamano yoyote na dini ya Kiislamu.
-
Baraza la Usalama lalaani kuuawa askari wa UNAMID huko Darfur, Sudan
Jun 02, 2017 09:35Baraza la usalama la Umoja wa Mataifa limelaani shambulizi dhidi ya operesheni ya kikosi cha pamoja cha Umoja wa Afrika na Umoja wa Mataifa huko Darfur UNAMID.
-
Sudan na Chad zaafikiana kuhusu kurejea kwa hiari wakimbizi
Jun 01, 2017 09:23Serikali za Sudan na Chad zimetiliana saini makubaliano maalumu kuhusiana na kurejea nyumbani kwa hiari wakimbizi wa nchi hizo mbili.
-
Uhusiano wa Sudan na Misri wazidi kuvurugika
May 31, 2017 10:09Katika hali inayoonesha ni kuzidi kuharibika uhusiano wa nchi mbili jirani za Misri na Sudan, serikali ya Khartoum imepiga marufuku kuingizwa nchini Sudan bidhaa zote za kilimo na mifugo kutoka Misri.