Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Sudan

  • Hali ya haki za binadamu Sudan yazidi kukosolewa

    Hali ya haki za binadamu Sudan yazidi kukosolewa

    Jul 09, 2017 09:32

    Duru mbalimbali zinaripoti kuwa, faili la hali ya haki za binadamu na uhuru nchini Sudan limezusha utata mkubwa, na kwamba serikali ya nchi hiyo sasa inaandamwa vikali na jumuiya za kiraia na kimataifa.

  • Kuakhirishwa mazungumzo ya usalama kati ya Sudan na Sudan Kusini

    Kuakhirishwa mazungumzo ya usalama kati ya Sudan na Sudan Kusini

    Jul 03, 2017 23:14

    Mazungumzo ya amani kati ya Sudan na Sudan Kusini yameakhirishwa hadi wakati mwingine kutokana na matatizo ya kilojistiki.

  • Sudan yakaribisha azimio la UN la kupunguzwa askari wa kusimamia amani Darfur

    Sudan yakaribisha azimio la UN la kupunguzwa askari wa kusimamia amani Darfur

    Jul 01, 2017 23:43

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Sudan imekaribisha uamuzi wa Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa la kupunguza taratibu askari wa kusimamia amani wa umoja huo katika eneo la Darfur.

  • Baraza la Usalama lapasisha azimio la kupunguza kikosi cha UNAMID Darfur

    Baraza la Usalama lapasisha azimio la kupunguza kikosi cha UNAMID Darfur

    Jun 30, 2017 09:37

    Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa limepasisha azimio la kupunguza idadi ya askari wa kimataifa wa kusimamia amani katika jimbo la Darfur magharibi mwa Sudan.

  • UN: Ugonjwa wa kuharisha umeua watu 279 nchini Sudan

    UN: Ugonjwa wa kuharisha umeua watu 279 nchini Sudan

    Jun 13, 2017 08:58

    Ofisi ya Kuratibu Masuala ya Kibinadamu ya Umoja wa Mataifa OCHA imesema kwa akali watu 279 wamepoteza maisha kutokana na mlipuko wa ugonjwa wa kuharisha nchini Sudan.

  • AU, UN zataka kupunguzwa askari wa kulinda amani Darfur, Sudan

    AU, UN zataka kupunguzwa askari wa kulinda amani Darfur, Sudan

    Jun 07, 2017 03:03

    Umoja wa Afrika na Umoja wa Mataifa zimependekeza kupunguzwa idadi ya askari wanaohudumu kwenye Kikosi cha pamoja cha AU na UN huko Darfur, nchini Sudan UNAMID.

  • Rais wa Sudan: Ugaidi hauna mafungamano yoyote na Uislamu

    Rais wa Sudan: Ugaidi hauna mafungamano yoyote na Uislamu

    Jun 04, 2017 02:53

    Rais Omar Hassan al-Bashir wa Sudan amesema mashambulizi ya kigaidi ya hivi karibuni katika nchi jirani ya Misri sawa na hujuma nyingine za kigaidi katika sehemu mbali mbali duniani hazina uhusiano wala mafungamano yoyote na dini ya Kiislamu.

  • Baraza la Usalama lalaani kuuawa askari wa UNAMID huko Darfur, Sudan

    Baraza la Usalama lalaani kuuawa askari wa UNAMID huko Darfur, Sudan

    Jun 02, 2017 09:35

    Baraza la usalama la Umoja wa Mataifa limelaani shambulizi dhidi ya operesheni ya kikosi cha pamoja cha Umoja wa Afrika na Umoja wa Mataifa huko Darfur UNAMID.

  • Sudan na Chad zaafikiana kuhusu kurejea kwa hiari wakimbizi

    Sudan na Chad zaafikiana kuhusu kurejea kwa hiari wakimbizi

    Jun 01, 2017 09:23

    Serikali za Sudan na Chad zimetiliana saini makubaliano maalumu kuhusiana na kurejea nyumbani kwa hiari wakimbizi wa nchi hizo mbili.

  • Uhusiano wa Sudan na Misri wazidi kuvurugika

    Uhusiano wa Sudan na Misri wazidi kuvurugika

    May 31, 2017 10:09

    Katika hali inayoonesha ni kuzidi kuharibika uhusiano wa nchi mbili jirani za Misri na Sudan, serikali ya Khartoum imepiga marufuku kuingizwa nchini Sudan bidhaa zote za kilimo na mifugo kutoka Misri.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS