-
Juhudi za viongozi wa Umoja wa Afrika kuhusu mazungumzo ya kitaifa Sudan
May 29, 2017 09:31Viongozi wa Umoja wa Afrika AU wameanzisha juhudi za kufufua mazungumzo ya kitaifa nchini Sudan ambayo yamekuwa na mwendo wa kusuasua.
-
Misri yakanusha kuingilia masuala ya ndani ya Sudan
May 24, 2017 23:57Rais Abdel Fattah el Sisi wa Misri amekanusha madai kwamba Cairo inaingilia masuala ya ndani ya Sudan.
-
Sudan yaituhumu Misri kuwa inaunga mkono magenge ya waasi
May 24, 2017 03:21Rais wa Sudan, Omar Hassan al-Bashir ameituhumu serikali ya Misri kuwa inaunga mkono magenge ya waasi yanayoipiga vita serikali ya Khartoum.
-
Sudan yaongeza idadi ya askari wake katika mpaka wa pamoja na Libya
May 22, 2017 22:46Sudan imeanza kutuma askari zaidi katika mpaka wake wa pamoja na Libya katika eneo la Darfur.
-
Ripoti: Watoto wakimbizi wa Sudan wanakabiliwa na lishe duni nchini Chad
May 18, 2017 22:56Mashirika ya utoaji misaada ya kibinadamu nchini Chad yametangaza kuwa, watoto wakimbizi wa Sudan walioko katika kambi za wakimbizi nchini humo wanakabiliwa na hali mbaya ya lishe duni.
-
Wakimbizi wa Sudan wanaishi katika hali mbaya nchini Chad
May 18, 2017 09:42Mashirika ya misaada yaliyoko nchini Chad yametangaza kuwa, wakimbizi wa Sudan wanaoishi katika kambi nne za wakimibizi nchini Chad wako katika hali mbaya huku watoto wadogo wa wakimbizi wakiteseka kwa lishe duni.
-
Wakimbizi wa Sudan Kusini wamiminika Sudan kwa maelfu
May 12, 2017 01:55Maelfu ya wakimbizi wa Sudan Kusini wanaendelea kumiminika nchi jirani ya Sudan wakitafuta mahala salama katika nchi ambayo walijitenga nayo miaka kadhaa iliyopita.
-
Makumi ya Wasudan watangaza himaya yao kwa mateka wa Palestina
May 11, 2017 02:52Makumi ya wananchi wa Sudan wameandamana na kukusanyika katika makao makuu ya Umoja wa Mataifa katika mji mkuu wa nchi hiyo Khartoum na kutangaza himaya na uungaji mkono wao kwa mateka wa Kipalestina.
-
Majeshi ya Ethiopia na Sudan yawekwa katika hali ya tahadhari kukabiliana na shambulio tarajiwa la Misri
May 08, 2017 23:50Vikosi vya mpakani vya majeshi ya Sudan na Ethiopia katika mpaka wa pamoja na Misri vimewekwa katika hali ya tahadhari kwa lengo la kuzima shambulio linaloweza kufanywa na nchi hiyo dhidi ya bwana la Ethiopia la Al-Nahdhah (Renaissance).
-
HRW yaitaka US iishinikize Sudan ikomeshe ukiukaji wa haki za binadamu
May 04, 2017 03:16Shirika la kutetea haki za binadamu la Human Rights Watch limeitaka serikali ya Marekani iishinikize Sudan ikomeshe uvunjaji wa haki za binadamu.