Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Sudan

  • Vyama 32 vya siasa barani Afrika vyakutana mjini Khartoum, Sudan

    Vyama 32 vya siasa barani Afrika vyakutana mjini Khartoum, Sudan

    Aug 20, 2017 12:12

    Wawakilishi wa vyama 32 vya siasa vya nchi za Afrika wamekutana katika mji mkuu wa Sudan Khartoum kujadili njia za kustawisha uhusiano wa kisiasa barani humo.

  • Wasudan wapinga kutumwa askari wa nchi hiyo kuua watu wa Yemen

    Wasudan wapinga kutumwa askari wa nchi hiyo kuua watu wa Yemen

    Aug 10, 2017 02:38

    Wananchi na vyama vingi vya siasa nchini Sudan vimepinga na kulaani hatua ya serikali ya nchi hiyo ya kutuma kundi jingine la askari wa nchi hiyo kwa ajili ya kushirikiana na wavamizi wa Saudi Arabia na washirika wake wanaoendelea kuua watu wa Yemen.

  • Wanaharakati watahadharisha kushadidi machafuko mashariki mwa Sudan

    Wanaharakati watahadharisha kushadidi machafuko mashariki mwa Sudan

    Jul 30, 2017 03:34

    Wanaharakati za asasi za kiraia nchini Sudan wametahadharisha kuhusiana na uwezekano wa kushadidi machafuko na ukosefu wa amani katika maeneo ya mashariki mwa nchi hiyo.

  • Makumi wauawa na kujeruhiwa katika mapigano ya kikabila magharibi mwa Sudan

    Makumi wauawa na kujeruhiwa katika mapigano ya kikabila magharibi mwa Sudan

    Jul 24, 2017 02:44

    Watu 28 wameuawa na kujeruhiwa katika mapigano ya kikabila katika eneo la Darfur magharibi mwa Sudan.

  • Askari wa kulinda amani wa Burkina Faso waanza kuondoka Darfur, Sudan

    Askari wa kulinda amani wa Burkina Faso waanza kuondoka Darfur, Sudan

    Jul 20, 2017 03:18

    Waziri wa Ulinzi wa Burkina Faso amesema kuwa, askari wa kulinda amani wa nchi hiyo waliotumwa katika jimbo la Darfur, Sudan wamerejeshwa nyumbani ili kuimarisha usalama nchini mwao.

  • Wasudan elfu 50 watimuliwa Saudia kwa sababu ya matatizo ya kiuchumi ya Riyadh

    Wasudan elfu 50 watimuliwa Saudia kwa sababu ya matatizo ya kiuchumi ya Riyadh

    Jul 18, 2017 11:04

    Jumla ya Wasudan elfu 50 wanaoishi nchini Saudia, wametakiwa kuondoka nchi hiyo kabla ya muda waliopewa na serikali ya Riyadh kumalizika.

  • Sudan yalaani hatua ya Marekani ya kuongeza muda wa vikwazo dhidi ya nchi hiyo

    Sudan yalaani hatua ya Marekani ya kuongeza muda wa vikwazo dhidi ya nchi hiyo

    Jul 13, 2017 23:41

    Serikali ya Sudan imelaani vikali hatua ya serikali ya Marekani ya kuongeza muda wa vikwazo vyake dhidi ya nchi hiyo ya Kiafrika, licha ya kutolewa miito mbalimbali ya kuondoa kikamilifu vikwazo hivyo.

  • Hali ya haki za binadamu Sudan yazidi kukosolewa

    Hali ya haki za binadamu Sudan yazidi kukosolewa

    Jul 09, 2017 09:32

    Duru mbalimbali zinaripoti kuwa, faili la hali ya haki za binadamu na uhuru nchini Sudan limezusha utata mkubwa, na kwamba serikali ya nchi hiyo sasa inaandamwa vikali na jumuiya za kiraia na kimataifa.

  • Kuakhirishwa mazungumzo ya usalama kati ya Sudan na Sudan Kusini

    Kuakhirishwa mazungumzo ya usalama kati ya Sudan na Sudan Kusini

    Jul 03, 2017 23:14

    Mazungumzo ya amani kati ya Sudan na Sudan Kusini yameakhirishwa hadi wakati mwingine kutokana na matatizo ya kilojistiki.

  • Sudan yakaribisha azimio la UN la kupunguzwa askari wa kusimamia amani Darfur

    Sudan yakaribisha azimio la UN la kupunguzwa askari wa kusimamia amani Darfur

    Jul 01, 2017 23:43

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Sudan imekaribisha uamuzi wa Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa la kupunguza taratibu askari wa kusimamia amani wa umoja huo katika eneo la Darfur.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS