-
Sudan yamtuhumu Rais wa Sudan Kusini kwa kufanya mazungumzo na waasi
Apr 25, 2017 03:46Sudan jana iliitaka nchi jirani ya Sudan Kusini isitishe uungaji mkono wake kwa makundi ya waasi wanaopigana vita na Khartoum na kumtuhumu Rais Kiir kuwa amekutana na kufanya mazungumzo na waasi wiki iliyopita.
-
Unicef yafikia maeneo yanakojiri mapigano huko Sudan
Apr 23, 2017 09:26Serikali ya Sudan imeruhusu kuingia wataalamu wa Mfuko wa Kuhudumia Watoto wa Umoja wa Mataifa (Unicef) katika maeneo yanayojiri mapigano.
-
Hitilafu kati ya Misri na Sudan zapamba moto zaidi
Apr 21, 2017 11:26Sudan imewasilisha malalamiko yake dhidi ya Misri katika Umoja wa Mataifa kuhusu umiliki wa maeneo ya Hala'ib na Shalatiin.
-
Marekani yalegeza misimamo yake kwa Sudan
Apr 19, 2017 21:57Tangu baada ya Rais Omar al Bashir wa Sudan kujiunga na Saudi Arabia katika mashambulizi dhidi ya raia wasio na ulinzi wa Yemen, nchi za Magharibi zimeonekana kulegeza misimamo yao kuhusu serikali ya Khartoum. Kwa mara ya kwanza Sudan imeruhusiwa kushiriki katika kikao cha wakuu wa kikosi cha pamoja cha kundi la nchi za Marekani, Ulaya na Afrika, maarufu kwa jina la Africom.
-
Wafanya magendo ya binadamu watiwa mbaroni Sudan
Apr 12, 2017 09:26Kamanda wa ngazi ya juu wa jeshi la Sudan ametangaza habari ya kutiwa nguvuni watu watano wanaojihusisha na magendo ya binadamu karibu na mpaka wa nchi hiyo na Libya.
-
Wasi wasi wa Sudan kuhusu kuongezeka wimbi la wakimbizi wa Sudan Kusini
Apr 07, 2017 23:44Serikali ya Sudan imeonyesha wasi wasi wake mkubwa juu ya mgogoro unaotokana na ongezeko la wakimbizi wa Sudan Kusini wanaoingia nchi hiyo.
-
Afrika Kusini kizimbani ICC leo kwa kutomkamata Rais wa Sudan
Apr 07, 2017 02:27Afrika Kusini hii leo inatazamiwa kupanda kizimbani katika Mahakama ya Kimataifa ya Jinai ICC kutoa sababu za kutomkamata Rais Omar al-Bashir wa Sudan alipoitembelea nchi hiyo miaka miwili iliyopita.
-
Maafisa usalama wa Afrika watahadharisha kuhusu hatari ya makundi ya kigaidi
Apr 06, 2017 10:04Maafisa wa upelelezi na vyombo vya usalama wa nchi 30 za Afrika walioshiriki katika mkutano wa amani nchini Sudan wametahadharisha kuhusu vitisho vya makundi ya kigaidi barani humo.
-
Watu wenye silaha wawafyatulia risasi raia wakiwa sokoni nchini Sudan, saba wauawa
Apr 03, 2017 00:12Watu wenye silaha wasiojulikana wametekeleza shambulizi katika soko nchini Sudan na kuua watu saba na wengine kadhaa kujeruhiwa.
-
Kamisheni ya Haki za Binadamu yaikosoa Jordan kwa kumkaribisha al Bashir
Mar 31, 2017 23:17Kamisheni Kuu ya Haki za Binadamu ya Umoja wa Mataifa imeikemea serikali ya Jordan kwa kumkaribisha nchini humo Rais Omar Hassan al Bashir wa Sudan anayesakwa na Mahakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC).