Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Sudan

  • Baraza la Usalama lapasisha azimio la kupunguza kikosi cha UNAMID Darfur

    Baraza la Usalama lapasisha azimio la kupunguza kikosi cha UNAMID Darfur

    Jun 30, 2017 09:37

    Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa limepasisha azimio la kupunguza idadi ya askari wa kimataifa wa kusimamia amani katika jimbo la Darfur magharibi mwa Sudan.

  • UN: Ugonjwa wa kuharisha umeua watu 279 nchini Sudan

    UN: Ugonjwa wa kuharisha umeua watu 279 nchini Sudan

    Jun 13, 2017 08:58

    Ofisi ya Kuratibu Masuala ya Kibinadamu ya Umoja wa Mataifa OCHA imesema kwa akali watu 279 wamepoteza maisha kutokana na mlipuko wa ugonjwa wa kuharisha nchini Sudan.

  • AU, UN zataka kupunguzwa askari wa kulinda amani Darfur, Sudan

    AU, UN zataka kupunguzwa askari wa kulinda amani Darfur, Sudan

    Jun 07, 2017 03:03

    Umoja wa Afrika na Umoja wa Mataifa zimependekeza kupunguzwa idadi ya askari wanaohudumu kwenye Kikosi cha pamoja cha AU na UN huko Darfur, nchini Sudan UNAMID.

  • Rais wa Sudan: Ugaidi hauna mafungamano yoyote na Uislamu

    Rais wa Sudan: Ugaidi hauna mafungamano yoyote na Uislamu

    Jun 04, 2017 02:53

    Rais Omar Hassan al-Bashir wa Sudan amesema mashambulizi ya kigaidi ya hivi karibuni katika nchi jirani ya Misri sawa na hujuma nyingine za kigaidi katika sehemu mbali mbali duniani hazina uhusiano wala mafungamano yoyote na dini ya Kiislamu.

  • Baraza la Usalama lalaani kuuawa askari wa UNAMID huko Darfur, Sudan

    Baraza la Usalama lalaani kuuawa askari wa UNAMID huko Darfur, Sudan

    Jun 02, 2017 09:35

    Baraza la usalama la Umoja wa Mataifa limelaani shambulizi dhidi ya operesheni ya kikosi cha pamoja cha Umoja wa Afrika na Umoja wa Mataifa huko Darfur UNAMID.

  • Sudan na Chad zaafikiana kuhusu kurejea kwa hiari wakimbizi

    Sudan na Chad zaafikiana kuhusu kurejea kwa hiari wakimbizi

    Jun 01, 2017 09:23

    Serikali za Sudan na Chad zimetiliana saini makubaliano maalumu kuhusiana na kurejea nyumbani kwa hiari wakimbizi wa nchi hizo mbili.

  • Uhusiano wa Sudan na Misri wazidi kuvurugika

    Uhusiano wa Sudan na Misri wazidi kuvurugika

    May 31, 2017 10:09

    Katika hali inayoonesha ni kuzidi kuharibika uhusiano wa nchi mbili jirani za Misri na Sudan, serikali ya Khartoum imepiga marufuku kuingizwa nchini Sudan bidhaa zote za kilimo na mifugo kutoka Misri.

  • Juhudi za viongozi wa Umoja wa Afrika kuhusu mazungumzo ya kitaifa Sudan

    Juhudi za viongozi wa Umoja wa Afrika kuhusu mazungumzo ya kitaifa Sudan

    May 29, 2017 09:31

    Viongozi wa Umoja wa Afrika AU wameanzisha juhudi za kufufua mazungumzo ya kitaifa nchini Sudan ambayo yamekuwa na mwendo wa kusuasua.

  • Misri yakanusha kuingilia masuala ya ndani ya Sudan

    Misri yakanusha kuingilia masuala ya ndani ya Sudan

    May 24, 2017 23:57

    Rais Abdel Fattah el Sisi wa Misri amekanusha madai kwamba Cairo inaingilia masuala ya ndani ya Sudan.

  • Sudan yaituhumu Misri kuwa inaunga mkono magenge ya waasi

    Sudan yaituhumu Misri kuwa inaunga mkono magenge ya waasi

    May 24, 2017 03:21

    Rais wa Sudan, Omar Hassan al-Bashir ameituhumu serikali ya Misri kuwa inaunga mkono magenge ya waasi yanayoipiga vita serikali ya Khartoum.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS