-
Uhusiano wa Saudia na Sudan, hakika au maslahi ya muda?
Mar 31, 2017 22:02Saudi Arabia inafanya mazoezi ya pamoja ya kijeshi na Sudan yajulikanayo kama 'Ngao ya Samawati -1' huku nchi hizo mbili zikijaribu kuimarisha uhusiano wao kutokana na vizingiti vya ndani ya nchi na kieneo.
-
Sudan yaafiki kuanzishwa njia ya amani kwa ajili ya misaada ya kibinadamu Sudan Kusini
Mar 27, 2017 00:09Serikali ya Sudan imeafiki suala la kuanzishwa njia ya amani kwa ajili ya kutuma misaada ya kibinadamu kwa watu walioathiriwa na ukame na njaa katika nchi jirani ya Sudan Kusini.
-
HRW yataka Rais wa Sudan azuiwe kuingia Jordan au akamatwe
Mar 26, 2017 22:13Shirika la kimataifa la Haki za Binadamu HRW limetaka Rais Omar al Bashir wa Sudan azuiwe kuingia nchini Jordan.
-
Safari ya Waziri Mkuu wa Libya nchini Sudan yaakhirishwa
Mar 15, 2017 13:00Ziara ya Waziri Mkuu wa serikali ya umoja wa kitaifa ya Libya nchini Sudan imeakhirishwa kutokana na matukio ya kiusalama nchini humo.
-
Maelfu ya raia wa Sudan Kusini wakimbilia Sudan
Mar 13, 2017 03:28Maelfu ya raia wa Sudan Kusini wamekimbilia Sudan kutokana na matatizo mengi yanayoikabili nchi yao ukiwemo ukame.
-
Afrika Kusini yatakiwa ifike ICC kujieleza kwa kutomkamata rais Bashir wa Sudan
Mar 08, 2017 12:24Afrika Kusini imetakiwa kufika katika Mahakama ya Kimataifa ya Jinai ICC mwezi Aprili kujieleza baada ya kukataa kumkamata Rais Omar al Bashir wa Sudan alipotembelea nchi hiyo miaka miwili iliyopita.
-
AI: Kufanyike uchunguzi wa mashambulizi ya silaha za kemikali Darfur
Mar 07, 2017 12:11Shirika la kutetea haki za binadamu la Amnesty International limetoa wito wa kufanyika uchunguzi kuhusu mashambulizi ya silaha za kemikali yaliyofanywa na serikali ya Sudan dhidi ya raia katika eneo la Darful lililoko magharibi mwa nchi hiyo.
-
Sudan yawahukumu jela wanaharakati watatu wa haki za binadamu
Mar 06, 2017 04:00Mahakama moja nchini Sudan imewahukumu wanaharakati watatu wa haki za binadamu kifungo cha mwaka mmoja jela kila mmoja baada ya kuwapata na hatia katika kesi iliyohusiana na ripoti za uwongo.
-
Waasi Sudan wawaachia huru wafungwa 127
Mar 06, 2017 00:30Waasi wanaopigana dhidi ya serikali katika maeneo ya kusini mwa Sudan wamewaachia huru mateka 127 huku jeshi la nchi hiyo likikaribisha hatua hiyo.
-
Wanajeshi wa Sudan waachiliwa huru kwa upatanishi wa Rais Museveni
Mar 05, 2017 04:09Waasi wa Harakati ya Wananchi ya Ukombozi wa Sudan wamewaachilia huru wanajeshi kadhaa wa nchi hiyo waliokuwa wanawashikilia mateka.