Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Sudan Kusini

  • Kinara wa waasi Sudan Kusini atarejea Juba kwa ajili ya mazungumzo

    Kinara wa waasi Sudan Kusini atarejea Juba kwa ajili ya mazungumzo

    Oct 18, 2019 07:31

    Kiongozi wa waasi wa Sudan Kusini Riek Machar anatarajiwa kurejea Juba kwa ajili ya duru nyingine ya mazungumzo na Rais Salva Kiir.

  • Kiongozi wa waasi Sudan Kusini kukutana na Rais Kiir, wawili hao wanajadili mpango wa amani

    Kiongozi wa waasi Sudan Kusini kukutana na Rais Kiir, wawili hao wanajadili mpango wa amani

    Sep 09, 2019 13:14

    Kiongozi wa zamani wa waasi wa Sudan Kusini, Riek Machar alitazamiwa kufanya safari katika mji mkuu wa nchi hiyo, Juba hii leo kwa shabaha ya kukutana na kufanya mazungumzo na Rais Salva Kiir.

  • Kuendelea vitendo vya utumiaji mabavu nchini Sudan Kusini

    Kuendelea vitendo vya utumiaji mabavu nchini Sudan Kusini

    Aug 27, 2019 11:16

    Licha ya kutiwa saini makubaliano ya amani huko Sudan Kusini, lakini machafuko na vitendo vya utumiaji mabavu vingali vinaendelea kushuhudiwa katika nchi hiyo.

  • Machar atoa masharti mapya ya kurejea Sudan Kusini

    Machar atoa masharti mapya ya kurejea Sudan Kusini

    Jul 14, 2019 07:24

    Kiongozi wa upinzani wa Sudan Kusini, Riek Machar ametoa mwito wa kuondolewa adhabu ya kifungo cha nyumbani, kama moja ya masharti yake ya kurejea mjini Juba.

  • Jeshi la Sudan Kusini lakanusha madai ya UN kuwa limeua raia

    Jeshi la Sudan Kusini lakanusha madai ya UN kuwa limeua raia

    Jul 05, 2019 02:26

    Jeshi la Sudan Kusini limekanusha vikali madai ya Umoja wa Mataifa kwamba limeua makumi ya raia wa nchi hiyo katika eneo la Central Equatoria.

  • Umoja wa Mataifa: Zaidi ya watu 100 wameuawa katika machafuko ya Sudan Kusini

    Umoja wa Mataifa: Zaidi ya watu 100 wameuawa katika machafuko ya Sudan Kusini

    Jul 04, 2019 04:43

    Umoja wa Mataifa umetangaza kuuwa, zaidi ya watu 100 wameuawa katika mapigano ya hivi karibuni katika nchi ya Sudan Kusini

  • UN: 60% ya wananchi wa Sudan Kusini wanakabiliwa na baa la njaa

    UN: 60% ya wananchi wa Sudan Kusini wanakabiliwa na baa la njaa

    Jun 15, 2019 07:58

    Mashirika ya Umoja wa Mataifa yamesema jumla ya watu milioni 7 sawa na asilimia 60 ya jamii nzima ya Sudan Kusini wanakabiliwa na baa la njaa.

  • Mapigano yaibuka upya jimboni Yei nchini Sudan Kusini

    Mapigano yaibuka upya jimboni Yei nchini Sudan Kusini

    May 29, 2019 08:06

    Mapigano kati ya vikosi vya serikali na wapiganaji wa kundi la waasi la National Salvation Front (NAS) linaloongozwa na Jenerali Thomas Cirillo yameibuka upya katika mkoa wa Yei nchini Sudan Kusini.

  • Mkuu wa Baraza la Mpito la Sudan aonana na rais wa Sudan Kusini

    Mkuu wa Baraza la Mpito la Sudan aonana na rais wa Sudan Kusini

    May 28, 2019 07:59

    Mkuu wa Baraza la Kijeshi la Mpito la Sudan ameonana na Rais Salva Kiir wa Sudan Kusini katika kikao cha faragha.

  • Amnesty yaikosoa Israel kwa kuziuzia silaha nchi zinazokiuka haki za binadamu

    Amnesty yaikosoa Israel kwa kuziuzia silaha nchi zinazokiuka haki za binadamu

    May 20, 2019 11:03

    Shirika la kutetea Haki za Binadamu la Amnesty International limeukosoa vikali utawala wa Kizayuni wa Israel kwa kuendelea kuziuzia silaha na suhula za kiintelijensia nchi ambazo zinatambulikwa kwa ukiukakaji wa haki za binadamu.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS