Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Sudan Kusini

  • Sudan Kusini yaamua kufunga balozi zake kadhaa nje ya nchi

    Sudan Kusini yaamua kufunga balozi zake kadhaa nje ya nchi

    May 20, 2019 01:21

    Sudan Kusini imesema kuwa inapamga kufunga balozi zake katika miji mikuu sita duniani zikiwemo balozi zake zilizoko Saudi Arabia, Imarati na Norway.

  • Rais Salva Kiir wa Sudan Kusini: Niko tayari kuachia ngazi

    Rais Salva Kiir wa Sudan Kusini: Niko tayari kuachia ngazi

    May 15, 2019 06:25

    Rais Salva Kiir wa Sudan Kusini amesema yuko tayari kuachia ngazi na kukabidhi madaraka iwapo kutakuwa na haja ya msingi ya yeye kuchukua hatua hiyo.

  • IEA: Kenya na Uganda zinatakatisha 'fedha chafu' za Sudan Kusini

    IEA: Kenya na Uganda zinatakatisha 'fedha chafu' za Sudan Kusini

    Apr 22, 2019 03:30

    Ripoti ya Taasisi ya Masuala ya Uchumi IEA imefichua kuwa, Kenya na Uganda zimefeli kuzuia mzunguko wa pesa haramu zinazotoka katika nchi changa zaidi barani Afrika, Sudan Kusini.

  • Rais Kiir wa Sudan Kusini amuomba Machar ajiunge na serikali ya umoja wa kitaifa

    Rais Kiir wa Sudan Kusini amuomba Machar ajiunge na serikali ya umoja wa kitaifa

    Apr 21, 2019 02:39

    Rais Salva Kiir wa Sudan Kusini amemhimiza kiongozi wa upinzani Riek Machar kurejea nyumbani haraka ili kusaidia kuunda serikali ya umoja wa kitaifa.

  • Machar: Siko tayari kurejea nchini Sudan Kusini kwa sasa

    Machar: Siko tayari kurejea nchini Sudan Kusini kwa sasa

    Apr 19, 2019 03:02

    Kiongozi wa upinzani wa Sudan Kusini, Riek Machar amesema hayuko tayari kurejea nchini mwake kwa sasa, huku akitoa mwito wa kuakhirishwa mchakato wa kuundwa serikali ya umoja wa kitaifa katika nchi hiyo changa zaidi barani Afrika.

  • Sudan Kusini inataka uanachama wa WTO kustawisha uchumi wake

    Sudan Kusini inataka uanachama wa WTO kustawisha uchumi wake

    Apr 18, 2019 03:41

    Serikali ya Sudan Kusini imetangaza azma yake ya kujiunga na Shirika la Biashara Duniani ,WTO, ili kuimarisha uchumi wake baada ya kumalizika vita vya muda mrefu nchini humo.

  • Machar asema ni muhali kuunda serikali ya umoja wa kitaifa Sudan Kusini

    Machar asema ni muhali kuunda serikali ya umoja wa kitaifa Sudan Kusini

    Apr 13, 2019 07:34

    Kiongozi wa upinzani wa Sudan Kusini, Riek Machar amesema ni vigumu kuunda serikali ya umoja wa kitaifa katika nchi hiyo changa zaidi barani Afrika kufikia Mei 12 kama ilivyopangwa chini ya makubaliano ya amani ya Addis Ababa kati yake na Rais Salva Kiir.

  • Kinara wa upinzani wa Sudan Kusini 'azuiwa' kushiriki mkutano wa Vatican

    Kinara wa upinzani wa Sudan Kusini 'azuiwa' kushiriki mkutano wa Vatican

    Apr 10, 2019 07:53

    Kiongozi wa upinzani wa Sudan Kusini, Riek Machar ameripotiwa kuzuiwa kwenda Vatican, Makao Makuu ya Kanisa Katoliki Duniani nchini Italia kushiriki mkutano wa amani kati yake na Rais Salva Kiir wa nchi hiyo changa zaidi barani Afrika.

  • Sudan Kusini yaandaa mkutano wa kuwavutia  wawekezaji baada ya vita kumalizika

    Sudan Kusini yaandaa mkutano wa kuwavutia wawekezaji baada ya vita kumalizika

    Mar 30, 2019 02:18

    Sudan Kusini imeandaa mkutano wa uwekezaji, ukiwa ni wa kwanza kufanyika baada ya kumalizika rasmi kwa vita vya wenyewe kwa wenyewe, viliyodumu kwa miaka mitano.

  • Sudan na Sudan Kusini zakubaliana kufungua tena kivuko cha mpakani

    Sudan na Sudan Kusini zakubaliana kufungua tena kivuko cha mpakani

    Mar 19, 2019 06:43

    Kamati ya usalama wa kisiasa ya pamoja kati ya Sudan na Sudan Kusini imeafiki suala la kufungua tena kivuko cha mpakani kati ya nchi mbili hizo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS