Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Sudan Kusini

  • Sudan: Tuko tayari kupanua ushirikiano wetu na nchi ya Qatar

    Sudan: Tuko tayari kupanua ushirikiano wetu na nchi ya Qatar

    Mar 12, 2018 03:52

    Ibrahim Ghandour, Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Sudan amesema kuwa, nchi yake iko tayari kustawisha ushirikiano wake na nchi ya Qatar.

  • Homa ya uti wa mgongo yaendelea kuaw watu Sudan Kusini

    Homa ya uti wa mgongo yaendelea kuaw watu Sudan Kusini

    Mar 09, 2018 00:20

    Afisa mmoja wa masuala ya kiutaalamu wa Shirika la Afya Duniani WHO ameripoti habari ya kupoteza maisha karibu watu 30 kutokana na homa ya uti wa mgongo nchini Sudan Kusini.

  • Sudan Kusini yaomba uanachama Arab League

    Sudan Kusini yaomba uanachama Arab League

    Mar 06, 2018 23:48

    Sudan Kusini jana Jumanne iliwasilisha ombi rasmi la kuwa mwanachama katika Jumuiya ya Nchi za Kiarabu (Arab League).

  • Sudan Kusini yapinga sera za Magharibi za kuingilia mambo ya ndani ya nchi hiyo

    Sudan Kusini yapinga sera za Magharibi za kuingilia mambo ya ndani ya nchi hiyo

    Mar 06, 2018 13:46

    Serikali ya Sudan Kusini imepinga vikali sera za nchi za Magharibi za kuingilia mambo ya ndani ya nchi hiyo na kutahadharisha kuwa, mashinikizo ya nchi hizo hayawezi kusaidia mwenendo wa kurejesha amani huko Sudan Kusini.

  • IGAD yaunga mkono vikwazo dhidi ya wanaovuruga amani Sudan Kusini

    IGAD yaunga mkono vikwazo dhidi ya wanaovuruga amani Sudan Kusini

    Mar 02, 2018 04:09

    Jumuiya ya Maendeleo ya Kiserikali ya Nchi za Afrika Mashariki IGAD imetangaza kuwa inaunga mkono hatua ya kuwekewa vikwazo viongozi na shakhsia wote wanaokwamisha jitihada za kupatiwa ufumbuzi mgogoro nchini Sudan Kusini.

  • Sudan Kusini yakaribia kukumbwa na baa jingine la njaa

    Sudan Kusini yakaribia kukumbwa na baa jingine la njaa

    Feb 26, 2018 11:05

    Karibu theluthi mbili ya jamii nzima ya watu wa Sudan Kusini wanahitaji misaada ya chakula ili kukabiliana na njaa. Hayo yameelezwa na maafisa wa serikali na Umoja wa Mataifa.

  • Walinda amani Sudan Kusini wakumbwa na kashfa ya kimaadili

    Walinda amani Sudan Kusini wakumbwa na kashfa ya kimaadili

    Feb 26, 2018 03:51

    Baadhi ya walinda amani wa Umoja wa Mataifa wanakabiliwa na tuhuma za kufanya ufisadi wa kimaadili katika mji wa Wau wa Sudan Kusini.

  • UN: Yamkini maafisa wa jeshi la Sudan Kusini wametenda jinai za kivita

    UN: Yamkini maafisa wa jeshi la Sudan Kusini wametenda jinai za kivita

    Feb 24, 2018 23:18

    Wakaguzi wa umoja wa Mataifa wanasema zaidi ya maafisa 40 wa Jeshi la Sudan Kusini wanaaminika kutenda jinai za kivita na jinai dhidi ya binadamu.

  • SAUTI, Rais Salva Kiir aweka wazi kwamba Marekani ndio chanzo cha mzozo na mauaji Sudan Kusini

    SAUTI, Rais Salva Kiir aweka wazi kwamba Marekani ndio chanzo cha mzozo na mauaji Sudan Kusini

    Feb 23, 2018 13:27

    Rais Salva Kiir wa Sudan Kusini ametamka bayana kwamba Marekani ndio ambayo inasababisha ukosefu wa amani ndani ya nchi yake changa zaidi barani Afrika.

  • UN yakosoa ukandamizaji wa waandishi habari Sudan Kusini

    UN yakosoa ukandamizaji wa waandishi habari Sudan Kusini

    Feb 23, 2018 00:22

    Umoja wa Mataifa umekosoa mienendo na hatua zinazochukuliwa na serikali ya Sudan Kusini dhidi ya waandishi wa habari.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS