Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Sudan Kusini

  • UN: Maelfu ya Wasudani Kusini watakimbilia Sudan mwaka huu wa 2018

    UN: Maelfu ya Wasudani Kusini watakimbilia Sudan mwaka huu wa 2018

    Feb 17, 2018 04:45

    Ofisi ya kuratibu masuala ya kibinadamu ya Umoja wa Mataifa imesema katika ripoti yake mpya kwamba karibu wakimbizi laki mbili kutoka Sudan Kusini wataingia nchi jirani ya Sudan mwaka huu wa 2018.

  • Umoja wa Mataifa waonyesha matumaini ya kufikiwa makubaliano ya amani Sudan Kusini

    Umoja wa Mataifa waonyesha matumaini ya kufikiwa makubaliano ya amani Sudan Kusini

    Feb 16, 2018 04:15

    Mjumbe wa Umoja wa Mataifa katika masuala ya Sudan Kusini ameeleza matarajio yake juu ya kufikiwa makubaliano ya amani ya kuhitimisha machafuko nchini humo katika mazungumzo yanayoendelea hivi sasa mjini Addis Abab, Ethiopia.

  • Msemaji wa waasi wa Sudan Kusini ahukumiwa kifo

    Msemaji wa waasi wa Sudan Kusini ahukumiwa kifo

    Feb 13, 2018 04:40

    Msemaji wa waasi nchini Sudan Kusini, James Gatdet Dak amehukumiwa kifo baada ya kupatikana na hatia ya uhaini.

  • Malalamiko dhidi ya Trump Sudan Kusini

    Malalamiko dhidi ya Trump Sudan Kusini

    Feb 07, 2018 08:55

    Watu wa Sudan Kusini wamefanya maandamano nchini humo wakilalamikia amri mpya ya Rais Doland Trump wa Marekani ya kupiga marufuku jeshi la nchi hiyo ya Kiafrika kuuziwa silaha.

  • Mwandishi habari wa Marekani apigwa na waandamanaji Sudan Kusini

    Mwandishi habari wa Marekani apigwa na waandamanaji Sudan Kusini

    Feb 06, 2018 23:05

    Wananchi waliokuwa na hasira Jumanne walimpiga vibaya mwandishi habari wa Marekani katika mji mkuu wa Sudan Kusini, Juba wakati wa maandamano ya kupinga vikwazo vya silaha vya Marekani dhidi ya nchi hiyo.

  • Sudan Kusini yamuita nyumbani balozi wake kutoka Marekani

    Sudan Kusini yamuita nyumbani balozi wake kutoka Marekani

    Feb 05, 2018 01:07

    Sudan Kusini imemuita nyumbani balozi wake wa Marekani, huku mzozo kati ya Washington na Juba kuhusu kuwekewa vikwazo vya silaha nchi hiyo changa zaidi barani Afrika ukipamba moto.

  • Raia wa Sudan Kusini waendelea kuikimbia nchi yao kutokana na machafuko

    Raia wa Sudan Kusini waendelea kuikimbia nchi yao kutokana na machafuko

    Jan 31, 2018 23:09

    Mwakilishi wa Shirika la Kuhudumia Wakimbizi la Umoja wa Mataifa UNHCR ameelezea ongezeko la raia wa Sudan Kusini wanaokimbia nchi yao kuelekea nchi jirani ya Sudan.

  • Umoja wa Afrika kuwawekea vikwazo wanaohatarisha amani Sudan Kusini

    Umoja wa Afrika kuwawekea vikwazo wanaohatarisha amani Sudan Kusini

    Jan 29, 2018 03:00

    Mwenyekiti wa Kamisheni ya Umoja wa Afrika amesema umoja huo utawawekea vikwazo wale wote wanakwaza na kutatiza juhudi za kurejesha amani na usalama nchini Sudan Kusini.

  • Wasimamizi wa usitishaji vita Sudan Kusini: Viongozi wanaokiuka makubaliano ya amani kukabiliwa na vikwazo

    Wasimamizi wa usitishaji vita Sudan Kusini: Viongozi wanaokiuka makubaliano ya amani kukabiliwa na vikwazo

    Jan 25, 2018 10:42

    Timu ya kusimamia usitishaji vita nchini Sudan Kusini inayoungwa mkono kimataifa imesema kuwa imeliomba Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa litamke iwapo viongozi wanaokiuka makubaliano ya amani mali zizuiwe, kuwekewa marufuku ya kusafiri katika nchi za kanda au kuwekewa vikwazo vya silaha.

  • Waasi Sudan Kusini wawashikilia mateka marubani Wakenya, wanataka fidia

    Waasi Sudan Kusini wawashikilia mateka marubani Wakenya, wanataka fidia

    Jan 23, 2018 11:43

    Waasi wa Sudan Kusini wanawashikilia mateka marubani wawili wa ndege kutoka Kenya na wanasema hawatawaachilia huru hadi pale watakapotoa fidia kwa familia ya raia aliyeuawa wakati ndege yao ilipoanguka wakati wa kutua.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS