-
Mfalme wa Morocco aitembelea Sudan Kusini
Feb 02, 2017 03:48Mfalme Mohammed wa VI wa Morocco yuko nchini Sudan Kusini katika ziara ya siku tatu iliyoanza jana Jumatano, siku moja baada ya nchi hiyo kurejea katika Umoja wa Afrika.
-
Kushadidi mgogoro wa Sudan Kusini baada ya kusimamishwa shughuli za mashirika ya kimataifa
Feb 01, 2017 07:23Sambamba na kuendelea mgogoro wa Sudan Kusini na kuongezeka machafuko katika nchi hiyo changa zaidi barani Afrika, shughuli za jumuiya na mashirika ya kimataifa zimesitishwa na kuifanya hali ya wananchi kuwa mbaya zaidi.
-
Mapigano mapya yaibuka eneo la Malakal, Sudan Kusini
Feb 01, 2017 04:12Umoja wa Mataifa umesema mapigano mapya yameibuka katika eneo lenye utajiri wa mafuta la Malakal huko Sudan Kusini.
-
Masuala ya Afrika, ajenda kuu ya kikao cha viongozi wa AU Addis Ababa
Jan 30, 2017 08:44Kikao cha 28 cha viongozi wa nchi wanachama wa Umoja wa Afrika (AU) kimefanyika leo Jumatatu mjini Addis Ababa Ethiopia kwa shabaha ya kujadili masuala na matatizo ya nchi za Afrika hususan migogoro ya Sudan Kusini na uchaguzi wa mkuu wa Kamisheni ya AU.
-
Sudan Kusini yapinga kuweko vikosi ajinabi katika uwanja wa ndege wa Juba
Jan 25, 2017 11:38Rais wa Sudan Kusini kwa mara nyingine tena amesema nchi yake inapinga kutumwa wanajeshi wa nchi za eneo katika uwanja wa kimataifa wa Juba mji mkuu wa nchi hiyo.
-
UN kuchunguza uvunjaji sheria wa maafisa wake Darfur Sudan
Jan 21, 2017 10:18Umoja wa Mataifa umetangaza kuwa, unafanya uchunguzi kuhusu madai kwamba maafisa wake wa kulinda amani katika eneo la Darfur la magharibi mwa Sudan, wamehamisha silaha kinyume cha sheria.
-
António Guterres: Sudan Kusini ishinikizwe kuwakubali askari wa kusimamia amani
Jan 18, 2017 04:08Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, António Guterres ametilia shaka suala la kutumwa askari zaidi wa umoja huo nchini Sudan Kusini akisema kuwa, serikali ya nchi hiyo hairidhii suala hilo.
-
Serikali ya Juba yatoa masharti ya kupelekwa askari wa UN Sudan Kusini
Jan 16, 2017 05:21Serikali ya Sudan Kusini imetoa sharti la kupasishwa azimio jipya kwa ajili ya kupelekwa askari wa kulinda amani wa Umoja Mataifa katika mji mkuu wa nchi hiyo, Juba.
-
Congo DR yataka kufukuzwa waasi wa Rwanda, Sudan Kusini katika ardhi ya nchi hiyo
Jan 12, 2017 23:28Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo imeutaka Umoja wa Mataifa kutayarisha mazingira ya kuwaondoa waasi wa Rwanda na Sudan Kusini katika ardhi ya nchi hiyo.
-
Raia zaidi ya milioni mbili wa Sudan Kusini wakimbilia nchi jirani
Jan 09, 2017 23:20Raia wengi wa Sudan Kusini wamelazimika kuihama nchi hiyo na kukimbilia katika nchi jirani kutokana na mgogoro wa kisiasa na mauaji yanayoendelea nchini humo.