-
Magaidi waendeleza ukatili Syria, makumi wauawa Aleppo
May 03, 2016 12:00Makundi ya kigaidi yanayoungwa mkono na nchi za kigeni yameshambulia hospitali na maeneo kadhaa ambayo yako chini ya udhibiti wa serikali katika mji wa Aleppo, kaskazini mwa Syria na kusababisha mauaji ya watu wasiopungua 19.
-
Velayati: Wamagharibi wanapanga kuzigawa vipande vipande Iraq, Syria
May 01, 2016 23:22Afisa mwandamizi wa Iran amelaani vikali njama za nchi za Magharibi na waitifaki wao kieneo za kutaka kuzigawa vipande vipande Iraq na Syria.
-
Syria yalaani hatua ya Marekani kutuma askari zaidi nchini humo
Apr 28, 2016 23:38Serikali ya Syria imekosoa vikali hatua ya Marekani kutuma askari zaidi nchini humo na kutaja hatua hiyo kama uvamizi dhidi ya uhuru wa kujitawala wa nchi hiyo ya Kiarabu.
-
Hatima ya Syria iko mikononi mwa wananchi wake
Apr 27, 2016 23:22Mshauri wa Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu katika masuala ya kimataifa amesema kuwa, wananchi wa Syria tu ndio wanaopaswa kuainisha mustakbali wa nchi yao na kwamba, hakuna mtu kutoka nje mwenye haki ya kuingilia masuala ya ndani ya nchi hiyo.
-
Obama kutuma askari zaidi nchini Syria eti kupambana na ugaidi
Apr 26, 2016 03:51Rais Barack Obama wa Marekani ametangaza kuwa serikali ya Washington karibuni hivi itatuma askari 250 wa nchi kavu kwenda Syria kwa kisingizio cha kupambana na makundi ya kigaidi.
-
Spika wa Bunge la Syria azitaka nchi za Ulaya kushirikiana na nchi yake katika vita dhidi ya ugaidi
Apr 25, 2016 03:36Soika wa Bunge la Syria amesisitiza juu ya udharura wa kuweko ushirikiano wa kweli na wa dhati wa nchi za Ulaya na serikali ya nchi hiyo katika vita dhidi ya ugaidi.
-
Gaidi mwandamizi wa al-Qaeda auawa nchini Syria
Apr 24, 2016 02:59Kamanda mwandamizi wa kundi la kigaidi la Ahrar al-Sham lenye mafungamano na mtandao wa kimataifa wa al-Qaeda ameuawa katika hujuma ya bomu iliyolenga ngome za kundi hilo katika mkoa wa Idlib, kaskazini magharibi mwa Syria.
-
Arab League: Kuundwe mahakama maalumu ya jinai za Israel
Apr 21, 2016 10:52Jumuiya ya Nchi za Kiarabu imetoa mwito wa kuundwa mahakama maalumu ya jinai kwa ajili ya kuwapandisha kizimbani Wazayuni kutokana na hatua yao ya kukiuka haki za Wapalestina.
-
Umoja wa Mataifa yazitaka pande zote nchini Syria kufungamana na mazungumzo ya amani
Apr 20, 2016 09:57Msemaji wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa amezitaka pande zote hasimu nchini Syria kufungamana na mazungumzo ya amani ya Syria ya Geneva Uswisi.
-
Miqdad: Tutaikomboa miiinuko ya Golan kwa gharama yoyote
Apr 18, 2016 02:52Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Syria amesema kuwa kwa gharama yoyote ile Syria itaikomboa miinuko ya Golan inayokaliwa kwa mabavu na Israel.