Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Syria

  • Chama tawala cha Baath chashinda viti vingi uchaguzi wa bunge Syria

    Chama tawala cha Baath chashinda viti vingi uchaguzi wa bunge Syria

    Apr 17, 2016 10:48

    Chama tawala cha Baath kimeshinda aghalabu ya viti katika uchaguzi wa bunge uliofanyika nchini Syria hivi karibuni.

  • Syria yakataa mpango wa kuundwa serikali ya mpito

    Syria yakataa mpango wa kuundwa serikali ya mpito

    Apr 14, 2016 02:25

    Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Syria Faisal al-Miqdad amesema serikali ya Damascus inapinga pendekezo la wapinzani la kuundwa serikali ya mpito nchini humo.

  • Wananchi wa Syria wajitokeza kushiriki uchaguzi wa Bunge

    Wananchi wa Syria wajitokeza kushiriki uchaguzi wa Bunge

    Apr 13, 2016 02:46

    Wananchi wa Syria waliotimiza mashari ya kupiga kura wameelekea kwenye masanduku ya kupigia kura mapema leo, kushiriki uchaguzi wa Bunge la nchi hiyo.

  • Wakimbizi zaidi ya milioni moja warejea makwao nchini Syria

    Wakimbizi zaidi ya milioni moja warejea makwao nchini Syria

    Apr 12, 2016 12:01

    Wakimbizi wa Syria zaidi ya milioni moja wamerejea majumbani mwao baada ya amani na utulivu kurejea katika baadhi ya maeneo ya nchi hiyo.

  • Operesheni za kuikomboa Halab Syria zinaendelea

    Operesheni za kuikomboa Halab Syria zinaendelea

    Apr 10, 2016 10:41

    Waziri wa Habari wa Syria amesema kuwa, opereseheni za jeshi la nchi hiyo na vikosi vya wananchi dhidi ya magenge ya kigaidi, zingali zinaendelea.

  • Marekani imewakabidhi silaha magaidi Syria

    Marekani imewakabidhi silaha magaidi Syria

    Apr 09, 2016 22:35

    Tovuti moja ya habari imefichua kuwa Marekani hadi sasa imeshatoa msaada wa tani elfu tatu za silaha kwa magaidi wa Al Qaeda na washirika wao nchini Syria.

  • Mjumbe wa UN kuitembelea Tehran kuhusu mgogoro wa Syria

    Mjumbe wa UN kuitembelea Tehran kuhusu mgogoro wa Syria

    Apr 08, 2016 03:47

    Staffan de Mistura mjumbe maalumu wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa katika masuala ya Syria anatazamiwa kuitembelea Iran karibuni hivi.

  • Daesh yaua makumi kwa gesi ya sumu huko Sheikh Maqsood

    Daesh yaua makumi kwa gesi ya sumu huko Sheikh Maqsood

    Apr 08, 2016 00:16

    Watu wasiopungua 23 wameuawa na wengine zaidi ya 100 kujeruhiwa katika shambulio la silaha za kemikali lililofanywa na magaidi wa kundi la Daesh dhidi ya wapiganaji a Kikurdi wa People's Protection Units (YPG) karibu na mji wa Aleppo nchini Syria.

  • Kerry aiomba Iran isaidie kuhatimisha vita Syria na Yemen

    Kerry aiomba Iran isaidie kuhatimisha vita Syria na Yemen

    Apr 07, 2016 11:50

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani John Kerry, ameomba msaada wa Iran ili kuhatimisha vita katika nchi za Syria na Yemen.

  • Daesh watumia silaha za kemikali dhidi ya uwanja wa ndege Syria

    Daesh watumia silaha za kemikali dhidi ya uwanja wa ndege Syria

    Apr 05, 2016 02:57

    Kundi la kigaidi na kitakfiri la Daesh limeshambulia uwanja wa ndege wa kijeshi mashariki mwa Syia, kwa silaha za kemikali.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS