Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Syria

  • Iraq yaonya dhidi ya kuibuka upya ISIS nchini Syria

    Iraq yaonya dhidi ya kuibuka upya ISIS nchini Syria

    Apr 14, 2025 13:06

    Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Mambo ya Nje wa Iraq, Fuad Hussein ameonya kuhusu kushadidi harakati za kundi la kigaidi na kitakfiri la Daesh (ISIS) katika nchi jirani ya Syria, kufuatia kuanguka kwa serikali ya Rais Bashar al-Assad mwishoni mwa mwaka jana.

  • China yaitaka Syria iunde serikali shirikishi na ipambane na ugaidi

    China yaitaka Syria iunde serikali shirikishi na ipambane na ugaidi

    Mar 26, 2025 07:41

    Mwakilishi wa Kudumu wa China katika Umoja wa Mataifa amewataka viongozi wa mpito wa Syria waandae mchakato wa kuasisi serikali shirikishi na wachukua hatua madhubuti za kupabana na ugaidi nchini humo.

  • UN: Wakati umefika wa kuunda serikali ya shirikishi nchini Syria

    UN: Wakati umefika wa kuunda serikali ya shirikishi nchini Syria

    Mar 15, 2025 02:25

    Mwakilishi Maalumu wa Umoja wa Mataifa katika masuala ya Syria amesisitiza kuwa, wakati umefika sasa wa kuchukua hatua za dhati na za kijasiri za kuunda serikali ya mpito na ya kuaminika nchini Syria.

  • Ansarullah: Matakfiri Syria ni vikaragosi vya madola ajinabi

    Ansarullah: Matakfiri Syria ni vikaragosi vya madola ajinabi

    Mar 10, 2025 11:25

    Kiongozi wa Harakati ya Muqawama ya Ansarullah ya Yemen amelaani vikali machafuko mabaya yaliyotokea hivi karibuni katika eneo la pwani ya magharibi mwa Syria na kusisitiza kuwa, mbali na kuwa ghasia hizo ni tishio kwa wahusika wa jinai hizo na walezi wao, lakini pia ni somo kwa mataifa ya Kiarabu na Kiislamu.

  • UN yatoa wito wa kukomeshwa mauaji ya raia nchini Syria

    UN yatoa wito wa kukomeshwa mauaji ya raia nchini Syria

    Mar 10, 2025 06:59

    Kamishna Mkuu wa Haki za Binadamu wa Umoja wa Mataifa, Volker Turk ameonya katika taarifa yake kuhusu ghasia za hivi karibuni magharibi mwa Syria na kutoa wito wa kukomeshwa mauaji ya raia nchini humo.

  • 70 wauawa katika mapigano baina ya pande kinzani Syria

    70 wauawa katika mapigano baina ya pande kinzani Syria

    Mar 07, 2025 10:58

    Zaidi ya watu 70 wameripotiwa kuuawa na makumi ya wengine kujeruhiwa nchini Syria kutokana na mapigano makali kati ya wanamgambo wa kundi la kigaidi linalotawala la Hay’at Tahrir al-Sham (HTS) na makundi ya Muqawama ya wananchi huko magharibi mwa nchi hiyo.

  • Baqaei: Kuna haja ya kuchukuliwa hatua za haraka kukomesha uvunjaji sheria wa Israel nchini Syria

    Baqaei: Kuna haja ya kuchukuliwa hatua za haraka kukomesha uvunjaji sheria wa Israel nchini Syria

    Feb 27, 2025 11:47

    Msemaji wa Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ametoa mwito wa kuchukuliwa hatua za haraka kukomesha uvunjaji sheria wa utawala haramu wa Israel nchini Syria

  • Israel inakusudia nini kwa mashambulizi yake ya mara kwa mara dhidi ya Syria?

    Israel inakusudia nini kwa mashambulizi yake ya mara kwa mara dhidi ya Syria?

    Feb 27, 2025 09:58

    Utawala wa Kizayuni wa Israel Jumatano Februari 26 ulishambulia mara kadhaa maeneo mbalimbali ya Syria na kuua na kujeruhi watu kadhaa.

  • Kufichuka nia halisi ya utawala wa Kizayuni nchini Syria

    Kufichuka nia halisi ya utawala wa Kizayuni nchini Syria

    Feb 23, 2025 02:41

    Kimya na kutochukua hatua yoyote watawala wapya wa Syria vimeufanya utawala wa Kizayuni wa Israel ufikirie kuyatwaa kabisa maeneo mapya yaliyokaliwa kwa mabavu nchini Syria.

  • Ripoti: Marekani na Ufaransa zinataka askari mamluki wapelekwe kusini mwa Lebanon

    Ripoti: Marekani na Ufaransa zinataka askari mamluki wapelekwe kusini mwa Lebanon

    Feb 19, 2025 06:54

    Marekani na Ufaransa zimeripotiwa kuwa zimependekeza mamluki wanaoitwa wakandarasi binafsi wapelekwe kusini mwa Lebanon katika jitihada za kuushawishi utawala wa Kizayuni wa Israel uondoe kikamilifu majeshi yake nchini humo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS