Feb 13, 2024 02:28
Viongozi wa makundi mbalimbali ya muqawama wa Palestina wameonana na Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran mjini Damascus Syria na kusisitiza kuwa, mapambano ya taifa la Palestina tangu Wazayuni walipovamia ardhi za taifa hilo zaidi ya miaka 75 iliyopita, vimekuwepo na vitaendelea hadi kila shibri ya ardhi ya Palestina itakapokombolewa.