Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Syria

  • Russia yaua zaidi ya magaidi 2300 katika kipindi cha siku 10 nchini Syria

    Russia yaua zaidi ya magaidi 2300 katika kipindi cha siku 10 nchini Syria

    Oct 01, 2017 00:23

    Wizara ya Ulinzi ya Russia imeashiria kushindwa vibaya magaidi wa Daesh (ISIS) na Jabhatunnusra nchini Syria na kusema kuwa, ndege za kivita za Russia zimeua magaidi 2,359 na kujeruhi wengine 2,700 katika kipindi cha siku kumi zilizopita.

  • Marekani yakiri kuua makumi ya raia wa Syria na Iraq mwezi jana

    Marekani yakiri kuua makumi ya raia wa Syria na Iraq mwezi jana

    Sep 30, 2017 04:44

    Muungano wa kijeshi unaoongozwa na Marekani umekiri kuwa mashambulizi yake ya anga yameua raia wasiopungua 50 katika nchi za Iraq na Syria mwezi uliopita pekee wa Agosti.

  • Walid Al-Muallem: Kuwepo kijeshi Marekani nchini Syria ni kinyume cha sheria

    Walid Al-Muallem: Kuwepo kijeshi Marekani nchini Syria ni kinyume cha sheria

    Sep 27, 2017 00:47

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Syria ametoa jibu na radiamali kwa hatua za Marekani za kutaka kupanua wigo wa kuwepo kwake kijeshi kaskazini mwa nchi hiyo ukiwemo mji wa Raqqa na kutamka bayana kwamba hatua hiyo ya Washington ni kinyume cha sheria.

  • Algeria yataka kurejea Syria katika Jumuiya ya Kiarabu

    Algeria yataka kurejea Syria katika Jumuiya ya Kiarabu

    Sep 24, 2017 04:18

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Algeria amesema kuwa uhusiano wa nchi hiyo na Syria ni wa kihistoria na kusisitiza kuwa Algeria inataka Syria irejee katika Jumuiya ya Nchi za Kiarabu (Arab League).

  • Zarif: Iran itaendelea kuwa pamoja na Wasyria kujenga upya nchi yao

    Zarif: Iran itaendelea kuwa pamoja na Wasyria kujenga upya nchi yao

    Sep 22, 2017 00:59

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, Mohammad Javad Zarif amesema kuwa Tehran inaunga mkono uzingatiaji wa kimataifa juu ya umuhimu wa kuendelea kutolewa misaada ya kibinaadamu na ukarabati wa Syria na kwamba katika hilo Iran itaendelea kushirikiana na Wasyria katika kuijenga upya nchi yao.

  • Ripoti yafichua: Marekani imetumia zaidi ya dola bilioni moja kuwanunulia silaha magaidi nchini Syria

    Ripoti yafichua: Marekani imetumia zaidi ya dola bilioni moja kuwanunulia silaha magaidi nchini Syria

    Sep 13, 2017 23:25

    Kituo kimoja cha utafiti katika eneo la Balkan kimefichua kwamba Marekani imechukua hatua kadhaa kwa ajili ya kuwazatiti kwa silaha magaidi nchini Syria.

  • Djibouti yakosoa namna ya ufuatiliaji kadhia ya Syria katika nchi za Kiarabu

    Djibouti yakosoa namna ya ufuatiliaji kadhia ya Syria katika nchi za Kiarabu

    Sep 13, 2017 03:01

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Djibouti amesema kuchunguzwa kadhia ya Syria katika nchi za Ulaya ni ishara ya udhaifu katika nchi za Kiarabu.

  • Aslimia 85 ya ardhi ya Syria imekombolewa toka mikononi mwa magaidi

    Aslimia 85 ya ardhi ya Syria imekombolewa toka mikononi mwa magaidi

    Sep 12, 2017 22:02

    Wizara ya Ulinzi ya Russia imesema jeshi la Syria limefanikiwa kukomboa asilimia 85 ya ardhi yake iliyokuwa ikidhibitiwa na magenge ya kigaidi.

  • Hizbullah: Saudia imekiri yenyewe kwamba imeshindwa nchini Syria

    Hizbullah: Saudia imekiri yenyewe kwamba imeshindwa nchini Syria

    Sep 11, 2017 03:52

    Naibu Katibu Mkuu wa harakati ya Hizbullah ya Lebanon, Sheikh Naim Qassim amesema kuwa, hatua ya Wizara ya Mambo ya Nje ya SaudiArabia ya kukubali kuanzishwa maeneo ya kupunguza mivutano nchini Syria, ina maana ya kukiri wazi Riyadh juu ya kushindwa kwake nchini Syria.

  • Syria: Tunaifahamu Marekani kama adui yetu na muungaji mkono wa magaidi

    Syria: Tunaifahamu Marekani kama adui yetu na muungaji mkono wa magaidi

    Sep 11, 2017 03:48

    Faisal Mekdad, Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Syria amesema kuwa makundi ya kigaidi yanayochafua usalama wa nchi hiyo yanaungwa mkono kikamilifu na kusaidiwa na Marekani na kwamba Washington ni adui mkubwa wa Syria.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS