Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Syria

  • Sisitizo la Syria la kutokuwa na silaha za kemikali

    Sisitizo la Syria la kutokuwa na silaha za kemikali

    Sep 10, 2017 06:22

    Katika kujibu madai ya kamisheni ya uchunguzi inayosimamiwa na Baraza la Haki za Binaadamu la Umoja wa Mataifa, kuhusiana na utumiwaji wa silaha hizo na serikali ya Syria, Damascus imetangaza kuwa haina silaha za namna hiyo.

  • Makumi ya magaidi wa Daesh waangamizwa Deir ez Zor Syria

    Makumi ya magaidi wa Daesh waangamizwa Deir ez Zor Syria

    Sep 08, 2017 14:23

    Wizara ya Ulinzi ya Russia imetangaza kuwa makumi ya magaidi ya kundi la Daesh wameuawa katika shambulio la ndege za kivita za nchi hiyo katika eneo la Deir ez Zor mashariki mwa Syria.

  • Hamas yalaani shambulizi la anga la Israel nchini Syria

    Hamas yalaani shambulizi la anga la Israel nchini Syria

    Sep 07, 2017 23:57

    Harakati ya Mapambnao ya Kiislamu ya Palestina HAMAS imelaani shambulio la Alkhamisi asubuhi la ndege za utawala wa Kizayuni wa Israel nchini Syria.

  • UN yawataka wapinzani Syria kusalimu amri na kukubali kushindwa

    UN yawataka wapinzani Syria kusalimu amri na kukubali kushindwa

    Sep 07, 2017 09:46

    Mwakilishi Maalumu wa Umoja wa Mataifa katika Masuala ya Syria ameyataka makundi ya wapinzani katika nchi hiyo ya Kiarabu wasalimu amri na kutangaza kuwa yameshindwa katika mapambano yao ya kuiong'oa madarakani serikali ya Rais Bashar al-Assad.

  • Hezbollah: Kundi la kigaidi la ISIS (Daesh) lilianzishwa na Marekani

    Hezbollah: Kundi la kigaidi la ISIS (Daesh) lilianzishwa na Marekani

    Sep 07, 2017 03:22

    Naibu Katibu Mkuu wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon Sheikh Naeem Qassim amesema kundi la kigaidi la ISIS au Daesh liliundwa na Marekani kwa lengo la kutumiwa kuiangusha serikali halali ya Syria inayoongozwa na Rais Bashar al Assad.

  • Kuvunjwa mzingiro wa Deir ez Zor, mwanzo wa kukombolewa Syria yote

    Kuvunjwa mzingiro wa Deir ez Zor, mwanzo wa kukombolewa Syria yote

    Sep 06, 2017 23:50

    Harakati ya Hizbullah ya Lebanon imekutaja kuvunjwa mzingiro wa Deir ez Zor huko Syria kuwa ni mwanzo wa kukombolewa maeneo mengine yanayoshikiliwa na kundi la Daesh.

  • Syria yamiminiwa pongezi kwa ushindi wa kistratajia dhidi ya ISIS, Deir ez-Zor

    Syria yamiminiwa pongezi kwa ushindi wa kistratajia dhidi ya ISIS, Deir ez-Zor

    Sep 06, 2017 02:44

    Duru mbali mbali za kieneo na kimataifa zimeendelea kuipongeza serikali ya Syria baada ya wanajeshi wake kufanikiwa kufika katika mji wa Deir ez-Zor na kuvunja mzingiro wa miaka mitatu uliokuwa umewekwa na kundi la kigaidi la Dash (ISIS).

  • Kamanda wa jeshi la Syria, asema Iran, Syria na Hizbullah hazitashindwa kufelisha njama za adui

    Kamanda wa jeshi la Syria, asema Iran, Syria na Hizbullah hazitashindwa kufelisha njama za adui

    Sep 06, 2017 00:00

    Kamanda wa kikosi cha 104 cha gadi ya rais wa Syria amesema kuwa, harakati ya muqawama inayoundwa na Iran, Syria na Hizullah ya Lebanon, kamwe haitoshindwa, bali pande zote zilizokula njama dhidi ya Syria ndizo zitashindwa na kufeli.

  • Jeshi la Syria lavunja mzingiro wa ISIS Deir ez-Zor

    Jeshi la Syria lavunja mzingiro wa ISIS Deir ez-Zor

    Sep 05, 2017 09:32

    Jeshi la Syria, likipata himaya ya wapiganaji waitifaki, limefanikiwa kufika katika mji wa Deir ez-Zor na kuvunja mzingiro wa miaka mitatu uliokuwa umewekwa na kundi la kigaidi la ISIS katika mji huo.

  • Hizbullah: Tutaendelea kuweko Syria hadi hatari ya magaidi itakapoondoka

    Hizbullah: Tutaendelea kuweko Syria hadi hatari ya magaidi itakapoondoka

    Sep 04, 2017 22:05

    Naibu Katibu Mkuu wa Hizbullah ya Lebanon amesema kuwa, harakati hiyo ya mapambano ya Kiislamu ambayo iko Syria kwa ombi la serikali ya nchi hiyo, itabakia nchini humo hadi pale hatari ya ugaidi itakapoondoka.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS