Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Tanzania

  • Waislamu Tanzania wajiandaa kufanya Maulidi ya Mtume Muhammad SAW kwa hamasa kubwa zaidi mwaka huu + Sauti

    Waislamu Tanzania wajiandaa kufanya Maulidi ya Mtume Muhammad SAW kwa hamasa kubwa zaidi mwaka huu + Sauti

    Oct 07, 2019 06:03

    Viongozi wa Baraza Kuu la Waislamu Tanzania (BAKWATA) wametoa ufafanuzi kuhusu maandalizi ya Maulidi ya Kitaifa yanavyoendelea jijini Mwanza na wamejipanga kufanya shughuli mbalimbali za kijamii kuelekea maadhimisho hayo ya kuzaliwa Bwana Mtume Muhammad SAW. Ammar Dachi na taarifa zaidi kutoka Dar es Salaam...

  • Marais wa Tanzania na Zambia wafungua kituo muhimu cha mpakani

    Marais wa Tanzania na Zambia wafungua kituo muhimu cha mpakani

    Oct 05, 2019 10:36

    Rais John Pombe Magufuli wa Tanzania na mwenzake Edgar Lungu wa Zambia leo Jumamosi wamefungua kituo muhimu cha huduma za pamoja katika mpaka wa nchi hizo mbili kilichoko Tunduma upande wa Tanzania na Nakonde upande Zambia.

  • Wakili wa mwandishi Kabendera amuomba Rais wa Tanzania amsamehe mteja wake

    Wakili wa mwandishi Kabendera amuomba Rais wa Tanzania amsamehe mteja wake

    Oct 02, 2019 00:45

    Wakili wa Erick Kabendera, mwandishi hodari wa habari nchini Tanzania aliyetiwa nguvuni zaidi ya miezi miwili iliyopita, amemwomba rais wa nchi hiyo John Magufuli atoe msamaha kwa mteja wake, wakati mahakama ikiakhirisha kwa mara ya sita kusikilizwa kesi ya mwandishi huyo.

  • IGP Simon Sirro: Jeshi la polisi Tanzania linasumbuliwa na unafiki

    IGP Simon Sirro: Jeshi la polisi Tanzania linasumbuliwa na unafiki

    Sep 24, 2019 09:37

    Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini Tanzania, Inspekta Jenerali, Simon Sirro amesema kuwa tatizo linalolisumbua jeshi hilo ni unafiki.

  • Fatma Karume: Hatuwezi kuishi kwenye nchi iliyo na dhuluma kiasi hiki

    Fatma Karume: Hatuwezi kuishi kwenye nchi iliyo na dhuluma kiasi hiki

    Sep 22, 2019 10:16

    Fatma Karume, wakili wa Tanzania aliyevuliwa uwakili na mahkama ya nchi hiyo amesema kuwa hatokata tamaa na kwamba anatafakari kuingia kwenye siasa kwa lengo la kupigania mabadiliko muhimu nchini na kuhakikisha Watanzania wanaheshimiwa na kuzingatiwa misingi ya demokrasia.

  • Edward Lowassa: Tanzania imewaka moto kila sehemu kutokana na utendaji wa Magufuli

    Edward Lowassa: Tanzania imewaka moto kila sehemu kutokana na utendaji wa Magufuli

    Sep 20, 2019 10:30

    Waziri Mkuu wa Zamani wa Tanzania, Edward Lowassa amepongeza utendaji kazi wa Rais John Pombe Magufuli wa nchi hiyo kuwa, umeliwasha moto kila mahali taifa hilo.

  • Membe ahimiza uhuru wa vyombo vya habari Tanzania + Sauti

    Membe ahimiza uhuru wa vyombo vya habari Tanzania + Sauti

    Sep 19, 2019 14:01

    Aliyekuwa waziri wa mambo ya nje na ushirikiano wa Afrika mashariki nchini Tanzania Benard Membe amesema kuwa serikali inaweza kuwa dumavu endapo haitoruhusu uhuru wa vyombo vya habari. Amari Dachi na maelezo zaidi kutoka Dar es Salaam Tanzania

  • Watanzania: Wamarekani ndio waliotengeneza Ebola kuwamaliza Waafrika + Sauti

    Watanzania: Wamarekani ndio waliotengeneza Ebola kuwamaliza Waafrika + Sauti

    Sep 15, 2019 12:14

    Kufuatia uvumi wa kuibuka maradhi ya Ebola nchini Tanzania, Watanzania wengi wamekua wakieneza taarifa kwenye mitandao ya kijamii zinazoeleza kuwa, ugonjwa huo ulitengenezwa na Shirika la Ujasusi la Marekani (CIA) kwa lengo la kupunguza idadi ya Waafrika. Tumtegee sikio mwandishi wetu wa Dar es Salaam kwa taarifa kamili...

  • Serikali ya Tanzania: Hakuna ugonjwa wa Ebola nchini

    Serikali ya Tanzania: Hakuna ugonjwa wa Ebola nchini

    Sep 14, 2019 09:48

    Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imetoa taarifa ikisema kuwa, hakuna mtu aliyethibitika kuwa na ugonjwa wa Ebola ndani ya nchini hiyo, na kuongeza kwamba, watu wawili waliotiliwa shaka na baadaye kupimwa imethibitika kuwa hawana maambukizi ya virusi vya ugonjwa huo.

  • Serikali ya Tanzania: Umasikini umepungua sana nchini

    Serikali ya Tanzania: Umasikini umepungua sana nchini

    Sep 11, 2019 07:58

    Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, imesema kuwa umasikini nchini umepungua kwa kiasi kikubwa ikilinganishwa na miaka ya huko nyuma.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS