Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Tunisia - Tunis

  • Watu kadhaa wajeruhiwa katika maandamano ya kulalamikia kuaga dunia wanafunzi 3 Tunisia

    Watu kadhaa wajeruhiwa katika maandamano ya kulalamikia kuaga dunia wanafunzi 3 Tunisia

    Apr 17, 2025 13:49

    Watu kadhaa wamejeruhiwa katika maandamano yaliyofanyika katika mji wa Mezzouna katikati mwa Tunisia kufuatia vifo vya wanafunzi watatu. Wanafunzo hao wamepoteza maisha baada ya kuangukiwa na ukuta wa shule.

  • Pezeshkian: Mataifa ya Kiislamu yanaweza kukomesha jinai za Israel

    Pezeshkian: Mataifa ya Kiislamu yanaweza kukomesha jinai za Israel

    Apr 03, 2025 11:38

    Rais wa Iran, Masoud Pezeshkian amesema umoja na mshikamano miongoni mwa mataifa ya Kiislamu unaweza kuwa chachu ya kukomeshwa jinai za kuogofya za utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya wananchi madhulumu wa Palestina katika Ukanda wa Gaza.

  • Tunisia yalaaniwa kwa kumkamata mwanachuo aliyepeperusha bendera ya Palestina

    Tunisia yalaaniwa kwa kumkamata mwanachuo aliyepeperusha bendera ya Palestina

    Mar 26, 2025 11:12

    Mwanafunzi mmoja wa Tunisia amekamatwa kwa kuingia uwanjani na kupeperusha bendera ya Palestina wakati wa mechi ya kuwania kufuzu kwa Kombe la Dunia la 2026 katika mji mkuu wa nchi hiyo, Tunis.

  • Rais wa Tunisia amfuta kazi Waziri Mkuu, Kamel Maddouri

    Rais wa Tunisia amfuta kazi Waziri Mkuu, Kamel Maddouri

    Mar 21, 2025 11:49

    Rais wa Tunisia, Kais Saied amemfukuza kazi Waziri Mkuu, Kamel Maddouri na kumteua Waziri wa Vifaa na Makazi, Sara Zaafarani kushika nafasi yake.

  • Maonyesho ya

    Maonyesho ya "Qur'ani katika Macho ya Wengine" yafunguliwa Tunisia

    Feb 17, 2025 04:34

    Maonyesho ya "Qur'ani katika Macho ya Wengine" yamefunguliwa katika Maktaba ya Kitaifa ya Tunisia, na yataendelea hadi Aprili 30, kwa ushirikiano wa Taasisi ya Urithi wa Kitaifa na Taasisi ya Utafiti wa Kisasa wa Maghreb.

  • Maelfu ya Watunisia wakaribisha kutolewa hati ya kukamatwa Netanyahu

    Maelfu ya Watunisia wakaribisha kutolewa hati ya kukamatwa Netanyahu

    Nov 23, 2024 07:56

    Maelfu ya wananchi wa Tunisia wamefanya maandamano katika mji mkuu wa nchi hiyo wakipongeza na kukaribisha kutolewa Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu (ICC) hati ya kukamatwa Waziri Mkuu wa utawala wa Kizayuni Benjamin Netanyahu na aliyekuwa Waziri wa Ulinzi wa utawala huo Yoav Gallant.

  • Uhusiano wa Iran na Tunisia wazidi kuimarika, Tunis yataka safari za moja kwa moja za ndege

    Uhusiano wa Iran na Tunisia wazidi kuimarika, Tunis yataka safari za moja kwa moja za ndege

    Nov 07, 2024 09:55

    Balozi wa Tunisia mjini Tehran ametaka kuweko safari za moja kwa moja za ndege baina ya Tehran na Tunis hasa kwa vile uhusiano wa nchi yake na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran unazidi kuimarisha siku baada ya siku.

  • Watunisia wapiga kura kumchagua Rais

    Watunisia wapiga kura kumchagua Rais

    Oct 06, 2024 11:44

    Wananchi wa Tunisia leo Jumapili wameshiriki katika uchaguzi wa rais pasina upinzani mkali dhidi ya rais aliyeko madarakani, Kais Saied, ambaye anatazamiwa kuibuka mshindi.

  • Maiti 13 za wahajiri zapatikana pwani ya kusini mashariki mwa Tunisia

    Maiti 13 za wahajiri zapatikana pwani ya kusini mashariki mwa Tunisia

    Sep 26, 2024 04:00

    Askari wa gadi ya baharini ya Tunisia wameopoa majini miili 13 ya wahamiaji wasio na vibali katika mkoa wa pwani wa Mahdia kusini mashariki mwa Tunisia.

  • Wahamiaji waliotelekezwa waokolewa karibu na mpaka wa Tunisia na Algeria

    Wahamiaji waliotelekezwa waokolewa karibu na mpaka wa Tunisia na Algeria

    Aug 31, 2024 08:07

    Kundi la haki za binadamu nchini Tunisia limesema limewapatia hifadhi wahajiri na wahamiaji 28 mbao waliachwa bila maji na chakula karibu na mpaka wa Tunisia na Algeria.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS