-
Magaidi wawili waangamizwa magharibi mwa Tunisia
Feb 18, 2017 07:43Wizara ya Ulinzi ya Tunisia imetangaza kuwa, magaidi wawili wakufurishaji wameangamizwa katika maeneo ya milimani ya jimbo la Kasserine la magharibi mwa nchi hiyo katika operesheni maalumu ya jeshi ya kupambana na magenge ya kigaidi.
-
Serikali ya Tunisia yaongeza muda wa hali ya hatari kwa miezi mitatu mingine
Feb 17, 2017 03:49Serikali ya Tunisia imeongeza muda wa hali ya hatari kwa miezi mitatu mingine nchini humo.
-
Jeshi la Tunisia laungana na jeshi la Syria kupambana na magaidi
Feb 13, 2017 15:10Duru za kuaminika za Tunisia zimesema kuwa, jeshi la nchi hiyo limetumwa nchini Syria kupambana bega kwa bega na serikali ya Syria dhidi ya magenge ya kigaidi katika ardhi ya nchi hiyo.
-
UN hali ya jela nchini Tunisia inatia wasiwasi
Feb 04, 2017 16:22Umoja wa Mataifa umetangaza kuwa, hali ya jela za Tunisia inatia wasiwasi.
-
Kurefushwa muda wa hali ya hatari nchini Tunisia
Jan 20, 2017 15:27Rais Muhammad Al-Baji Qaid As-Ssebsi wa Tunisia jana alitangaza kurefushwa sheria ya hali ya hatari nchini humo kwa muda mwingine wa mwezi mmoja. Baada ya kushauriana na Waziri Mkuu Yusuf Ash-Shahid, Rais As-Ssebsi ametangaza kuwa sheria ya hali ya hatari itaendelea kutekelezwa nchi nzima kuanzia tarehe 17 Januari hadi tarehe 15 Februari.
-
Tunisia na tatizo la kurejea magaidi
Jan 17, 2017 13:11Kurejea katika nchi zao magaidi waliojiunga na makundi ya kigaidi lingali miongoni mwa matatizo na changamoto kubwa ambazo ni gumzo barani Ulaya na Afrika.
-
Watunisia waandamana kuunga mkono mapinduzi
Jan 14, 2017 12:53Maelfu ya wananchi wa Tunisia wamefanya maandamano leo katika maeneo mbalimbali ya nchi hiyo kuadhimisha mwaka wa 6 tangu wafanye mapinduzi yaliyoindoa madarakani serikali ya dikteta wa zamani wa nchi hiyo, Zainul Abidin bin Ali.
-
Tunisia katika mtanziko wa kiusalama; magaidi elfu tatu wapo nje ya nchi
Jan 03, 2017 02:25Rais Beji Caid Essebsi wa Tunisia tarehe 31 mwezi Disemba mwaka jana alieleza kuwa magaidi elfu tatu raia wa Tunisia wametapakaa katika pembe mbalimbali za dunia khususan huko Iraq, Syria na Libya.
-
Rais wa Tunisia: Yamkini Israel ilimuua mhandisi wa drone za Hamas
Jan 02, 2017 15:08Rais wa Tunisia amesema kuna uwezekano mkubwa kuwa utawala haramu wa Israel ulihusika katika mauaji ya mhandisi Mtunisia Mohammad Zaouari ambaye alikuwa mtegenezaji wa ndege zisizo na rubani au drone za harakati ya kupigania ukombozi wa Palestina, Hamas.
-
Mamia ya matakfiri wanaorejea Tunisia wakamatwa
Dec 31, 2016 07:27Msemaji wa serikali ya Tunisia ametangaza habari ya kukamatwa mamia ya matakfiri wanaorejea nchini humo kutoka eneo la Mashariki ya Kati.