Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Ufaransa

  • Asilimia 72 ya Wafaransa wanaunga mkono maandamano ya upinzani dhidi ya serikali ya Macron

    Asilimia 72 ya Wafaransa wanaunga mkono maandamano ya upinzani dhidi ya serikali ya Macron

    Dec 03, 2018 23:41

    Uchunguzi mpya wa maoni uliofanywa nchini Ufaransa umeonyesha kuwa, zaidi ya theluthi mbili ya raia wa nchi hiyo wanaunga mkono maandamano ya karibuni ya kupinga sera za kiuchumi za serikali ya Rais Emmanuel Macron.

  • Maandamano makubwa ya wananchi Ufaransa, serikali ya Macron katika mgogoro mkubwa + Video

    Maandamano makubwa ya wananchi Ufaransa, serikali ya Macron katika mgogoro mkubwa + Video

    Dec 03, 2018 23:39

    Hali ya Ufaransa ni ya mgogoro hivi sasa kutokana na kushadidi malalamiko ya wananchi na serikali kutumia nguvu kupita kiasi kujaribu kukandamiza maandamano ya wananchi hao. Awali Rais Emmanuel Macron alikuwa ameng'ang'ani msimamo wake wa kutozungumza na waandamanaji, lakini hatimaye amelazimika kuruhusu mazungumzo.

  • Serikali ya Ufaransa yazidi kukandamiza raia wake + Video

    Serikali ya Ufaransa yazidi kukandamiza raia wake + Video

    Dec 02, 2018 04:32

    Polisi nchini Ufaransa wanaendelea kutumia nguvu kupita kiasi kukandamiza wananchi wanaopinga mfumo wa kibepari.

  • Wafaransa wawafundisha magaidi namna ya kutumia silaha za kemikali nchini Syria

    Wafaransa wawafundisha magaidi namna ya kutumia silaha za kemikali nchini Syria

    Nov 22, 2018 11:15

    Shirika la habari la Sputnik limenukuu duru moja ya kuaminika ikisema kuwa wataalamu wa kemikali wa Ufaransa wanawafundisha magaidi mbinu za kutumia silaha za kemikali nchini Syria.

  • Mwanamke auawa katika maandamano ya kulalamikia ughali wa mafuta Ufaransa

    Mwanamke auawa katika maandamano ya kulalamikia ughali wa mafuta Ufaransa

    Nov 18, 2018 03:41

    Mwanamke mmoja ameuawa katika maandamano makubwa ya kulalamikia ughali wa mafuta ya petroli kote Ufaransa siku ya Jumamosi.

  • Ufaransa yataka kusimamishwa vita vya Saudia dhidi ya Yemen

    Ufaransa yataka kusimamishwa vita vya Saudia dhidi ya Yemen

    Nov 13, 2018 03:35

    Katika hatua iliyochukuliwa kwa kuchelewa ya nchi za Magharibi kuhusu mauaji yanayoendelea kufanywa na Saudi Arabia huko Yemen, Waziri wa Mambo ya Nje wa Ufaransa ameitaka jamii ya kimataifa kukomesha vita na mashambulizi ya Saudia dhidi ya watu wa Yemen.

  • Ufaransa yasisitiza kuheshimu makubaliano ya nyuklia ya JCPOA

    Ufaransa yasisitiza kuheshimu makubaliano ya nyuklia ya JCPOA

    Nov 12, 2018 04:07

    Waziri wa Ufaransa anayehusika na masuala ya Ulaya amesisitiza kuwa Paris inaheshimu na kufungamana na Makubaliano ya Nyuklia ya Mpango Kamili wa Pamoja wa Utekelezaji yaani JCPOA.

  • Watu sita watiwa mbaroni Ufaransa kwa kujaribu kumshambulia Rais Emmanuel Macron

    Watu sita watiwa mbaroni Ufaransa kwa kujaribu kumshambulia Rais Emmanuel Macron

    Nov 07, 2018 04:07

    Vyombo vya habari nchini Ufaransa vimetangaza kwamba watu sita wametiwa mbaroni kwa tuhuma za kupanga shambulizi dhidi ya Rais Emmanuel Macron wa nchi hiyo.

  • Seneti ya Ufarasa: Ulaya inapasa kusimama imara kukabiliana na vikwazo dhidi ya Iran

    Seneti ya Ufarasa: Ulaya inapasa kusimama imara kukabiliana na vikwazo dhidi ya Iran

    Nov 01, 2018 04:36

    Kamisheni ya Masuala ya Ulaya katika Seneti ya Ufaransa imesema kuwa vikwazo vya Marekani dhidi ya Iran ni mtihani mkubwa kwa nguvu ya kisheria na kiuchumi ya Ulaya na kusisitiza kuwa nchi za bara hilo zinapasa kukabiliana vilivyo na changamoto hiyo.

  • Vyombo vya habari vyafichua nafasi ya Ufaransa katika mauaji ya kimbari ya Rwanda

    Vyombo vya habari vyafichua nafasi ya Ufaransa katika mauaji ya kimbari ya Rwanda

    Oct 26, 2018 04:45

    Vyombo vya habari vimefichua picha za video zinazoonesha waziwazi nafasi ya Ufaransa katika mauaji ya kimbari yaliyofanyika Rwanda mwaka 1994.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS