Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

ufyatuaji risasi

  • Watu 54 wauawa au kujeruhiwa kwa kufyatuliwa risasi Marekani

    Watu 54 wauawa au kujeruhiwa kwa kufyatuliwa risasi Marekani

    Dec 02, 2019 04:43

    Idara ya Takwimu za Utumiaji Silaha kwa Mabavu Marekani imesema watu 54 wameuawa au kujeruhiwa katika vitendo vya ufatulianaji risasi nchini humo katika kipindi cha masaa 24 yaliyopita.

  • Majeruhi wanane wa shambulio la ufyatuaji risasi la El Paso, wakataa kuonana na Trump

    Majeruhi wanane wa shambulio la ufyatuaji risasi la El Paso, wakataa kuonana na Trump

    Aug 10, 2019 01:19

    Vyombo vya habari nchini Marekani vimeripoti kuwa, baadhi ya majeruhi wa shambulio la ufyatuaji risasi lililotokea hivi karibuni katika mji wa El Paso jimboni Texas, wamekataa kuonana na rais wa nchi hiyo Donald Trump.

  • UN yatilia mkazo udharura wa kujiepusha na matamshi yanayochochea chuki duniani

    UN yatilia mkazo udharura wa kujiepusha na matamshi yanayochochea chuki duniani

    Aug 07, 2019 07:06

    Msemaji wa Kamisheni Kuu ya Haki za Binadamu ya Umoja wa Mataifa amekemea mauaji ya ufatuaji risasi wa hivi karibuni nchini Marekani na kuwataka viongozi wa nchi mbalimbali kujiepusha kutoa matamshi yanayochochea chuki dhidi ya jamii za waliowachache.

  • Tahadhari ya kuenea ugaidi wa ndani nchini Marekani

    Tahadhari ya kuenea ugaidi wa ndani nchini Marekani

    Aug 06, 2019 03:00

    Hata kama kufuatia mashambulio ya Septemba 11, 2001 Marekani ilijitangaza kuwa mbeba bendera wa mapambano dhidi ya ugaidi ulimwenguni na kufanya uvamizi wa kijeshi katika nchi kadhaa kwa kisingizio hicho, lakini kuongezeka kwa kesi za mashambulio ya silaha nchini humo na hasa katika siku chache zilizopita, kumepelekea kutolewa tahadhari kali juu ya kuongezeka ugaidi wa ndani katika nchi hiyo ya Magharibi.

  • Viongozi wa Democrat katika Kongresi ya Marekani: Sheria ya ubebaji silaha inabidi irekebishwe

    Viongozi wa Democrat katika Kongresi ya Marekani: Sheria ya ubebaji silaha inabidi irekebishwe

    Aug 05, 2019 01:25

    Spika wa Baraza la Wawakilishi la Marekani na kiongozi wa maseneta wa chama cha Democrat katika Seneti ya nchi hiyo wametaka sheria ya ubebaji silaha moto ifanyiwe marekebisho.

  • Baada ya Wamarekani 20 kuuliwa Texas, wengine 10 wauawa Ohio katika ufyatuaji mwengine wa risasi

    Baada ya Wamarekani 20 kuuliwa Texas, wengine 10 wauawa Ohio katika ufyatuaji mwengine wa risasi

    Aug 04, 2019 13:52

    Watu wasiopungua 10 wameuawatisa na wengine 24 wamejeruhiwa katika shambulio la ufyatuaji risasi lililotokea katika mji wa Dayton, jimboni Ohio nchini Marekani.

  • Wamarekani katika dimbwi la mauaji, watu 89 wauawa na kujeruhiwa kwa kupigwa risasi

    Wamarekani katika dimbwi la mauaji, watu 89 wauawa na kujeruhiwa kwa kupigwa risasi

    Jun 09, 2019 13:54

    Jumla ya watu 89 wameuawa na kujeruhiwa katika maeneo tofauti ya Marekani ndani ya kipindi cha masaa 24 yaliyopita.

  • Ufyatuaji risasi wajiri mbele ya ikulu ya Marekani White House

    Ufyatuaji risasi wajiri mbele ya ikulu ya Marekani White House

    Jun 03, 2019 04:29

    Vyombo vya habari nchini Marekani vimeripoti kujiri ufyatuaji risasi mbele ya ikulu ya nchi hiyo White House.

  • 27 waua katika ufyatuaji risasi Marekani

    27 waua katika ufyatuaji risasi Marekani

    Apr 29, 2019 14:29

    Watu wasiopungua 91 wameuawa au kujeruhiwa katika matukio 72 ya ufyatuaji risasi katika masaa 24 yaliyopita katika maeneo tofauti ya Marekani

  • Watu wanne wauawa katika hujuma ya wapinzani dhidi ya kituo cha polisi Saudi Arabia

    Watu wanne wauawa katika hujuma ya wapinzani dhidi ya kituo cha polisi Saudi Arabia

    Apr 21, 2019 14:11

    Kufuatia ufyatulianaji risasi baina ya maafisa wa polisi nchini Saudia na wapinzani wa utawala wa ufalme wa Aal Saud, watu wanne wameuawa.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS