Feb 19, 2018 03:04
Mwanafunzi wa skuli ya sekondari ya Stoneman Douglas huko Parkland, katika jimbo la Florida nchini Marekani ambayo hivi karibuni ilishuhudia bahari ya damu baada ya kijana wa miaka 19 kuivamia skuli hiyo na kufanya mauaji ya kutisha, amemtaka rais wa Marekani, Donald Trump, aone haya na ajiheshimu.