Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

ufyatuaji risasi

  • Trump angalau ona aibu; mwanafunzi aliyebaki hai Stoneman Douglas amwambia rais wa Marekani

    Trump angalau ona aibu; mwanafunzi aliyebaki hai Stoneman Douglas amwambia rais wa Marekani

    Feb 19, 2018 03:04

    Mwanafunzi wa skuli ya sekondari ya Stoneman Douglas huko Parkland, katika jimbo la Florida nchini Marekani ambayo hivi karibuni ilishuhudia bahari ya damu baada ya kijana wa miaka 19 kuivamia skuli hiyo na kufanya mauaji ya kutisha, amemtaka rais wa Marekani, Donald Trump, aone haya na ajiheshimu.

  • Kijana wa miaka 19 awapiga risasi na kuwaua watu 17 katika skuli ya Florida nchini Marekani

    Kijana wa miaka 19 awapiga risasi na kuwaua watu 17 katika skuli ya Florida nchini Marekani

    Feb 15, 2018 08:16

    Watu wasiopungua 17 wameuawa na makumi ya wengine wamejeruhiwa baada ya kijana mmoja mwenye umri wa miaka 19 kufyatua risasi katika skuli moja ya sekondari ya eneo la Parkland katika jimbo la Florida nchini Marekani.

  • Marekani wazidi kuchinjana, matukio karibu 60 katika kipindi cha masaa 24, makumi wauawa

    Marekani wazidi kuchinjana, matukio karibu 60 katika kipindi cha masaa 24, makumi wauawa

    Feb 04, 2018 16:40

    Kituo cha kurekodi taarifa zinazohusiana na ukatili wa kutumia silaha nchini Marekani kimetangaza habari ya kutokea makumi ya vitendo vya ufyatulianaji risasi na kuawa na kujerumiwa makumi ya watu kwenye kipindi cha masaa 24 tu yaliyopita katika kona mbalimbali za nchi hiyo inayojigamba kuwa ni kiranja wa demokrasia na amani duniani.

  • Askari kadhaa wa Saudia waangamizwa mkoani Jizan kusini mwa nchi hiyo

    Askari kadhaa wa Saudia waangamizwa mkoani Jizan kusini mwa nchi hiyo

    Feb 02, 2018 08:02

    Askari kadhaa wa Saudi Arabia wameangamizwa katika shambulio lililofanywa na mdunguzi mmoja wa Yemen dhidi ya ngome za askari hao huko kusini mwa Saudia.

  • Watu 43 wauawa katika ufyatulianaji risasi Marekani

    Watu 43 wauawa katika ufyatulianaji risasi Marekani

    Jan 15, 2018 07:37

    Watu wasipoungua 43 wameuawa katika kipindi cha masaa 24 nchini Marekani katika matukio ya ufyatulianaji risasi nchini humo.

  • Polisi ya Ethiopia yaua watu 5 katika eneo la Oromiya

    Polisi ya Ethiopia yaua watu 5 katika eneo la Oromiya

    Oct 27, 2017 04:10

    Watu wasiopungua 5 wameuawa baada ya polisi ya Ethiopia kuwafyatulia risasi waandamanaji katika mji mmoja wa eneo lenye ghasia na machafuko ya mara kwa mara la Oromiya.

  • Watu kadhaa wauawa, kujeruhiwa katika ufyatuaji risasi Las Vegas, Marekani

    Watu kadhaa wauawa, kujeruhiwa katika ufyatuaji risasi Las Vegas, Marekani

    Oct 02, 2017 08:11

    Watu kadhaa wameuawa na makumi ya wengine kujeruhiwa katika ufyatuaji risasi uliotokeo katika mji wa Las Vegas nchini Marekani.

  • Watu karibu 11 wauawa katika ufyatuaji risasi Afrika Kusini

    Watu karibu 11 wauawa katika ufyatuaji risasi Afrika Kusini

    Sep 30, 2017 16:26

    Polisi ya Afrika Kusini imeripoti kuwa, watu karibu 11 wameaga dunia katika mlolongo wa vitendo vya kufyatuana risasi vilivyotokea usiku wa kuamkia leo katika mji wa Cape Town wakiwemo watu wanne waliouliwa kwa kupigwa risasi kwenye baa moja.

  • Watu 35 wameuawa katika matukio ya ufyatuaji risasi nchini Marekani

    Watu 35 wameuawa katika matukio ya ufyatuaji risasi nchini Marekani

    Aug 14, 2017 15:17

    Kituo cha takwimu za matukio ya ukatili wa utumiaji silaha moto nchini Marekani kimetangaza kuwa watu 35 wameuliwa kwenye matukio ya ufyatuaji risasi katika maeneo tofauti nchini humo.

  • Wamarekani wazidi kufyatuliana risasi ovyo, 27 wauliwa katika maeneo tofauti

    Wamarekani wazidi kufyatuliana risasi ovyo, 27 wauliwa katika maeneo tofauti

    Jul 13, 2017 15:09

    Kituo cha kusajili takwimu zinazotokana na vitendo vya utumiaji silaha nchini Marekani kimeripoti kuwa, watu 27 wameuawa kwa risasi katika maeneo mbalimbali nchini humo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS