Sep 30, 2017 16:26
Polisi ya Afrika Kusini imeripoti kuwa, watu karibu 11 wameaga dunia katika mlolongo wa vitendo vya kufyatuana risasi vilivyotokea usiku wa kuamkia leo katika mji wa Cape Town wakiwemo watu wanne waliouliwa kwa kupigwa risasi kwenye baa moja.