Kanali ya habari ya Press TV imeripoti kuwa, kwa wastani, kila mwezi hutokea mashambulizi 27 makubwa ya silaha nchini Marekani.
Mauaji ya kiholela na ukatili wa kupigana risasi unaendelea kuitesa jamii ya Marekani kiasi kwamba matukio 61 yaliyotokea masaa 24 yaliyopita yamepelekea watu wasiopungua 15 kuuawa na wengine 40 kujeruhiwa kwa risasi katika majimbo tofauti ya Marekani.
Kituo cha takwimu za vitendo vya ukatili wa utumiaji silaha nchini Marekani kimetangaza kuwa watu 72 wameuliwa katika matukio ya ufyatuaji risasi yaliyotokea kwenye maeneo tofauti ya nchi hiyo.
Watu sita wameuawa katika kipindi cha masaa machache yaliyopita katika vitendo mbali mbali vya ufyatulianaji risasi kote Marekani.
Watu 10 wameuawa na 15 wengine wamejeruhiwa katika mashambulizi ya usiku mmoja yaliyotokea jana usiku katika kona mbalimbali za Marekani.
Kituo cha takwimu za ufyatuaji risasi nchini Marekani kimetangaza kuwa, kwa akali watu 58 wameuawa kwa kupigwa risasi katika maeneo tofauti ya nchi hiyo.
Milio ya risasi imesikika katika mji uliokumbwa na hali ya mchafukoge wa Bouaké, huko kaskazini mwa Côte d’Ivoire.
Hali ya taharuki imeendelea kutanda katika mji mkubwa wa kibiashara wa Abidjan nchini Kodiva kufuatia askari wanaopinga kiwango kidogo cha mshahara kufyatua risasi ovyo mjini humo.
Mwaka mpya wa 2017 umeanza leo sambamba na shambulizi lililofanyika katika klabu moja ya starehe mjini Istanbul huko Uturuki na kuua watu karibu 40 na kujeruhiwa makumi ya wengine.
Polisi ya Marekani imetangaza habari ya kuuawa hivi karibuni watu kumi katika maeeo tofauti ya nchi hiyo