Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

ugaidi

  • Undumakuwili wa Wamarekani kuhusu ugaidi; bahari ya damu Stoneman Douglas, ni ufyatuaji risasi au ni ugaidi?

    Undumakuwili wa Wamarekani kuhusu ugaidi; bahari ya damu Stoneman Douglas, ni ufyatuaji risasi au ni ugaidi?

    Feb 17, 2018 02:33

    The Anti-Defamation League ambayo ni taasisi ya kulinda haki za raia wa Marekani imesema kuwa, kijana katili aliyefanya mauaji ya kutisha katika shule ya Stoneman Douglas huko Parkland, Florida alikuwa mwanachama wa genge moja la Wazungu wenye misimamo mikali.

  • Haniyeh: Hatua ya Marekani ya kuliweka jina langu katika orodha nyeusi ni fakhari kwangu

    Haniyeh: Hatua ya Marekani ya kuliweka jina langu katika orodha nyeusi ni fakhari kwangu

    Feb 02, 2018 11:37

    Ismail Haniyeh, Kiongozi wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (HAMAS) amesema kuwa, uamuzi wa Marekani ya kuliweka jina lake katika orodha nyeusi, ni ishara ya fakhari kwake.

  • Makundi ya kitakfiri yahudumia malengo ya utawala wa Kizayuni

    Makundi ya kitakfiri yahudumia malengo ya utawala wa Kizayuni

    Jan 27, 2018 00:44

    Duru za habari zimefichua sura mpya na pana zaidi ya ushirikiano wa utawala wa Kizayuni wa Israel na makundi ya kitakfiri na kigaidi huko Syria na kutangaza kwamba, utawala huo umeunda kundi la kigaidi kwa ajili ya kuusaidia utawala huo katika maeneo unayoyakalia kwa mabavu ya Golan.

  • Hassan Nasrullah: Inasikitisha kuona bado kuna nchi zinaendeleza uhusiano na Israel

    Hassan Nasrullah: Inasikitisha kuona bado kuna nchi zinaendeleza uhusiano na Israel

    Jan 20, 2018 01:12

    Sayyid Hassan Nasrullah, Katibu Mkuu wa Harakati ya Hizbullah nchini Lebanon sambamba na kuzitaka nchi zote za dunia kujiepusha kufanya uhusiano na utawala katili wa Israel, ameonyesha masikitiko kwamba bado kuna nchi zinaendeleza uhusiano na utawala huo.

  • Juhudi za Ulaya kuzidisha uingiliaji wa kijeshi barani Afrika

    Juhudi za Ulaya kuzidisha uingiliaji wa kijeshi barani Afrika

    Jan 19, 2018 09:51

    Ikiwa ni katika mkondo wa kudumisha uingiliaji wa nchi za Magharibi barani Afrika, serikali za Italia na Uingereza zimeazimia kuimarisha uwepo wao wa kijeshi katika baadhi ya nchi za bara hilo.

  • Maulamaa wa Pakistan watoa fatua ya kuharamisha kujiripua

    Maulamaa wa Pakistan watoa fatua ya kuharamisha kujiripua

    Jan 17, 2018 00:47

    Mamia ya maulamaa wa Kiislamu nchini Pakistan wametoa fatua ya kuharamisha mashambulizi ya kujitoa muhanga, katika hali ambayo nchi hiyo inaendelea kukabiliwa na hujuma za magenge ya kigaidi.

  • Larijani: Iran na Pakistan zimesimama kidete kukabiliana na matatizo ya ugaidi kwa busara

    Larijani: Iran na Pakistan zimesimama kidete kukabiliana na matatizo ya ugaidi kwa busara

    Jan 16, 2018 01:05

    Spika wa Bunge la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, Iran na Pakistan zikitumia busara na werevu zimeweza kusimama kidete na kukabiliana vyema na matatizo mbalimbali yanayosababishwa na ugaidi.

  • Uturuki yawaonya raia wake dhidi ya kusafiri Marekani, kisa usalama

    Uturuki yawaonya raia wake dhidi ya kusafiri Marekani, kisa usalama

    Jan 13, 2018 00:15

    Uturuki imewapa tahadhari raia wake dhidi ya kusafiri nchini Marekani kutokana na kile inachokitaja kuwa sababu za kiusalama.

  • Sheria ya

    Sheria ya "adhabu ya kifo" dhidi ya Wapalestina walioshiriki katika operesheni dhidi ya Israel; ugaidi wa kiserikali

    Jan 06, 2018 04:12

    Hatua ya Bunge la Israel ya kupasisha sheria ya "adhabu ya kifo" dhidi ya Wapalestina walioshiriki katika mashambulizi dhidi ya malengo ya Israel ambayo yamepelekea kuuawa Wazayuni, imekabiliwa na upinzani mkali wa maafisa wa Palestina na Umoja wa Ulaya.

  • Makumi ya Wanyarwanda wafunguliwa mashitaka ya ugaidi Uganda

    Makumi ya Wanyarwanda wafunguliwa mashitaka ya ugaidi Uganda

    Dec 29, 2017 04:35

    Habari kutoka Kampala, mji mkuu wa Uganda zinasema raia 45 wa Rwanda wanaozuiliwa katika kituo cha polisi cha Nalufenya wilayani Jinja wamefunguliwa mashitaka ya ugaidi.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS