-
Venezuela: Marekani inafanya 'ugaidi wa kisaikolojia' dhidi yetu
Sep 26, 2017 04:12Venezuela imesema Marekani inaendeleza kile ilichokitaja 'ugaidi wa kisaikolojia' dhidi ya nchi hiyo ya Amerika ya Latini.
-
Umoja wa Mataifa wataka kustawishwa eneo la Ziwa Chad
Sep 23, 2017 08:50Naibu Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa ametaka kuzingatiwa ustawi wa eneo la ziwa Chad kwa ajili ya kupambana vyema na vitendo vya uchupaji mipaka na ugaidi kufuatia kuzidi kuwa mbaya hali ya mambo katika eneo hilo.
-
Italia yasisitiza ulazima wa Libya kuwa na amani ili kupambana na ugaidi katika eneo
Sep 05, 2017 02:31Italia imesema kuna ulazima kwa nchi ya Libya kuwa na uthabiti ili kuzuia ugaidi na kuendesha mapambano dhidi ya tishio hilo.
-
Hizbullah: Tutaendelea kuweko Syria hadi hatari ya magaidi itakapoondoka
Sep 04, 2017 22:05Naibu Katibu Mkuu wa Hizbullah ya Lebanon amesema kuwa, harakati hiyo ya mapambano ya Kiislamu ambayo iko Syria kwa ombi la serikali ya nchi hiyo, itabakia nchini humo hadi pale hatari ya ugaidi itakapoondoka.
-
Maficho kadhaa ya magaidi yasambaratishwa nchini Algeria
Aug 26, 2017 22:10Wizara ya Ulinzi ya Algeria imetangaza habari ya kuangamizwa maficho kadhaa ya magaidi kaskazini mwa nchi hiyo.
-
Russia: Ugaidi ni hatari kwa dunia nzima
Aug 25, 2017 09:14Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Russia amesema kuwa, hatari ya ugaidi nchini Syria ni tishio kwa ulimwengu mzima na kuongeza kwamba, hali ya sasa haihusiani na nchi hiyo ya Kiarabu pekee, bali inajumuisha dunia nzima.
-
Mshukiwa mkuu wa mashambulizi ya kigaidi Barcelona auawa
Aug 21, 2017 22:52Polisi ya Uhispania imemuua Younes Abouyaaqoub aliyetekeza shambulio la kigaidi la Alkhamisi wiki iliyopita katika mji wa Barcelona.
-
Matukio ya kigaidi ya Uhispania, kisingizio cha kuzidishwa hatua za kiusalama kukabiliana na wahajiri
Aug 20, 2017 21:50Ripoti mpya ya Shirika la Wahajiri Duniani (IOM) imesema kwamba, idadi ya wahajiri wanaoingia nchini Uhispania imeongezeka.
-
Rais wa Algeria: Dunia nzima ishikamane kung'oa mizizi ya ugaidi
Aug 19, 2017 10:21Rais Abdelaziz Bouteflika wa Algeria ametoa wito kwa nchi zote duniani kushikamana kwa ajili ya kung'oa mizizi ya ugaidi.
-
Dakta Zarif: Ugaidi si nembo ya dini wala kaumu yoyote ile
Aug 19, 2017 02:29Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amekosoa vikali utendaji wa kindumakuwili wa baadhi ya mataifa kuhusiana na ugaidi.