-
Shambulio la kigaidi nchini Burkina Faso
Aug 14, 2017 07:00Serikali ya Burkina Fasso imetangaza kuwa, zaidi ya watu 18 wameuawa na wengine 8 kujeruhiwa katika shambulio la kigaidi lililotokea katika mji mkuu wa nchi hiyo Ouagadougou.
-
Niger yatoa mwito kwa jamii ya kimataifa kusaidia mapambano dhidi ya ugaidi
Aug 05, 2017 22:41Rais wa Niger ametoa mwito kwa jamii ya kimataifa akitaka kuungwa mkono haraka iwezekanavyo mapambano dhidi ya ugaidi katika eneo la Sahel barani Afrika. Rais wa Niger ametoa ombi hilo katika maadhimisho ya mwaka 57 wa uhuru wa nchi hiyo.
-
Utawala wa Kifalme wa Saudi Arabia, susu la ugaidi
Aug 03, 2017 02:56Ugaidi si jambo jipya duniani na wala halikuanza katika siku na miaka ya hivi karibuni. Hata hivyo inatupasa kusema kuwa, katika miaka ya hivi karibuni ugaidi umekuwa tishio kubwa na la kimataifa.
-
60 wauawa, kujeruhiwa katika mapigano ya makundi hasimu ya kigaidi Somalia
Jul 23, 2017 09:19Kwa akali watu 20 wameuawa na makumi ya wengine kujeruhiwa baada ya makundi hasimu ya wanamgambo kutandikana yenyewe kwa yenyewe katikati mwa Somalia.
-
Marekani yajaribu kupotosha dunia kuhusu inavyounga mkono ugaidi
Jul 20, 2017 09:20Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema Marekani imetoa ripoti kuhusu hali ya ugaidi duniani ili kwa njia hiyo ipotoshe fikra za waliowengi kuhusu nafasi yake katika kuibua, kueneza na kuunga mkono makundi ya kigaidi.
-
Dahlan: Vitendo vya Israel Masjidul Aqswa ni ugaidi ulio wazi
Jul 20, 2017 03:24Mjumbe wa zamani wa Kamati Kuu ya harakati ya Fat'h ya Palestina amesema kuwa, vitendo vya utawala wa Kizayuni wa Israel katika mji mtakatifu wa Quds na Msikiti wa al Aqsa ni ugaidi ulio wazi.
-
Syria yapongeza mchango wa Iran, Russia, Hizbullah katika vita dhidi ya ugaidi
Jul 14, 2017 03:14Waziri wa Ulinzi wa Syria amepongeza msaada inaopata nchi yake kutoka Iran, Russia, na Harakati ya Hizbullah ya Lebanon katika vita dhidi ya makundi ya kigaidi nchini humo.
-
Rouhani: Misimamo mikali na ugaidi ni hatari kwa dunia
Jul 12, 2017 10:14Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema misimamo mikali na ugaidi ni hatari kubwa kwa eneo la Mashariki ya Kati na dunia nzima.
-
Watu 19 wauawa katika hujuma ya kigaidi Nigeria
Jul 12, 2017 09:58Watu 19 wamepoteza maisha na wengine wengi kujeruhiwa kufuatilia milipuko kadhaa ya mabomu iliyotokea kaskazini mashariki mwa Nigeria.
-
Algeria: Mitandao ya magendo ya binaadamu inatishia usalama wa nchi zote za Afrika
Jul 11, 2017 03:36Waziri wa Mambo ya Nje wa Algeria amesema kuwa, mitandao ya magendo ya binaadamu inatishia usalama na amani ya nchi zote duniani.