Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

ugaidi

  • Shambulio la kigaidi nchini Burkina Faso

    Shambulio la kigaidi nchini Burkina Faso

    Aug 14, 2017 07:00

    Serikali ya Burkina Fasso imetangaza kuwa, zaidi ya watu 18 wameuawa na wengine 8 kujeruhiwa katika shambulio la kigaidi lililotokea katika mji mkuu wa nchi hiyo Ouagadougou.

  • Niger yatoa mwito kwa jamii ya kimataifa kusaidia mapambano dhidi ya ugaidi

    Niger yatoa mwito kwa jamii ya kimataifa kusaidia mapambano dhidi ya ugaidi

    Aug 05, 2017 22:41

    Rais wa Niger ametoa mwito kwa jamii ya kimataifa akitaka kuungwa mkono haraka iwezekanavyo mapambano dhidi ya ugaidi katika eneo la Sahel barani Afrika. Rais wa Niger ametoa ombi hilo katika maadhimisho ya mwaka 57 wa uhuru wa nchi hiyo.

  • Utawala wa Kifalme wa Saudi Arabia, susu la ugaidi

    Utawala wa Kifalme wa Saudi Arabia, susu la ugaidi

    Aug 03, 2017 02:56

    Ugaidi si jambo jipya duniani na wala halikuanza katika siku na miaka ya hivi karibuni. Hata hivyo inatupasa kusema kuwa, katika miaka ya hivi karibuni ugaidi umekuwa tishio kubwa na la kimataifa.

  • 60 wauawa, kujeruhiwa katika mapigano ya makundi hasimu ya kigaidi Somalia

    60 wauawa, kujeruhiwa katika mapigano ya makundi hasimu ya kigaidi Somalia

    Jul 23, 2017 09:19

    Kwa akali watu 20 wameuawa na makumi ya wengine kujeruhiwa baada ya makundi hasimu ya wanamgambo kutandikana yenyewe kwa yenyewe katikati mwa Somalia.

  • Marekani yajaribu kupotosha dunia kuhusu inavyounga mkono ugaidi

    Marekani yajaribu kupotosha dunia kuhusu inavyounga mkono ugaidi

    Jul 20, 2017 09:20

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema Marekani imetoa ripoti kuhusu hali ya ugaidi duniani ili kwa njia hiyo ipotoshe fikra za waliowengi kuhusu nafasi yake katika kuibua, kueneza na kuunga mkono makundi ya kigaidi.

  • Dahlan: Vitendo vya Israel Masjidul Aqswa ni ugaidi ulio wazi

    Dahlan: Vitendo vya Israel Masjidul Aqswa ni ugaidi ulio wazi

    Jul 20, 2017 03:24

    Mjumbe wa zamani wa Kamati Kuu ya harakati ya Fat'h ya Palestina amesema kuwa, vitendo vya utawala wa Kizayuni wa Israel katika mji mtakatifu wa Quds na Msikiti wa al Aqsa ni ugaidi ulio wazi.

  • Syria yapongeza mchango wa Iran, Russia, Hizbullah katika vita dhidi ya ugaidi

    Syria yapongeza mchango wa Iran, Russia, Hizbullah katika vita dhidi ya ugaidi

    Jul 14, 2017 03:14

    Waziri wa Ulinzi wa Syria amepongeza msaada inaopata nchi yake kutoka Iran, Russia, na Harakati ya Hizbullah ya Lebanon katika vita dhidi ya makundi ya kigaidi nchini humo.

  • Rouhani: Misimamo mikali na ugaidi ni hatari kwa dunia

    Rouhani: Misimamo mikali na ugaidi ni hatari kwa dunia

    Jul 12, 2017 10:14

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema misimamo mikali na ugaidi ni hatari kubwa kwa eneo la Mashariki ya Kati na dunia nzima.

  • Watu 19 wauawa katika hujuma ya kigaidi Nigeria

    Watu 19 wauawa katika hujuma ya kigaidi Nigeria

    Jul 12, 2017 09:58

    Watu 19 wamepoteza maisha na wengine wengi kujeruhiwa kufuatilia milipuko kadhaa ya mabomu iliyotokea kaskazini mashariki mwa Nigeria.

  • Algeria: Mitandao ya magendo ya binaadamu inatishia usalama wa nchi zote za Afrika

    Algeria: Mitandao ya magendo ya binaadamu inatishia usalama wa nchi zote za Afrika

    Jul 11, 2017 03:36

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Algeria amesema kuwa, mitandao ya magendo ya binaadamu inatishia usalama na amani ya nchi zote duniani.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS