Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Uganda

  • Besigye: Uchaguzi ujao hautakuwa huru na wa amani

    Besigye: Uchaguzi ujao hautakuwa huru na wa amani

    Feb 16, 2016 11:32

    Mgombea urais katika uchaguzi ujao nchini Uganda na mwanasiasa ambaye anahesabiwa kuwa mpinzani mkuu wa Rais Yoweri Museveni, amelaani ukandamizaji wa jeshi la polisi dhidi ya wafuasi wa kambi ya upinzani na kusema kuwa, mwenendo huo haufai.

  • Kuongezeka mivutano ya kisiasa nchini Uganda sambamba na kukaribia kufanyika uchaguzi

    Kuongezeka mivutano ya kisiasa nchini Uganda sambamba na kukaribia kufanyika uchaguzi

    Feb 16, 2016 09:25

    Sambamba na kukaribia kufanyika uchaguzi mkuu nchini Uganda hapo keshokutwa Alkhamisi, nchi hiyo inashuhudia kuongezeka mivutano ya kisiasa.

  • Serikali yazidi kuwabana wapinzani nchini Uganda

    Serikali yazidi kuwabana wapinzani nchini Uganda

    Feb 15, 2016 11:56

    Huku siku chache tu zikiwa zimebakia hadi kufanyika uchaguzi mkuu wa Februari 18 nchini Uganda, polisi ya nchi hiyo leo imemtia mbaroni na baadaye kuwachia Daktari Kizza Besigye, kiongozi wa chama cha upinzani cha cha FDC. Besigye amekamatwa na polisi wakati alipokuwa anakwenda kwenye mkutano wa hadhara katika wilaya yenye shughuli nyingi, jijini Kampala.

  • Rais Yoweri Museveni: Kuna haja kwa Uganda kujitoa katika mahakama ya ICC

    Rais Yoweri Museveni: Kuna haja kwa Uganda kujitoa katika mahakama ya ICC

    Feb 14, 2016 10:20

    Rais Yoweri Kaguta Museveni wa Uganda amesema kuwa, Mahakama ya Kimataifa ya Jinai ICC imegeuka na kuwa silaha iliyo dhidi ya bara la Afrika.

  • Rais wa Liberia yuko nchini Uganda kwa ajili ya uchaguzi

    Rais wa Liberia yuko nchini Uganda kwa ajili ya uchaguzi

    Feb 13, 2016 22:22

    Rais Ellien Johnson Sirleaf wa Liberia yuko nchini Uganda kufuatilia uchaguzi mkuu wa nchi hiyo ya Afrika Mashariki unliopangwa kufanyika wiki ijayo Februari 18.

  • Mjadala wa ukomo wa urais nchini Uganda wapamba moto

    Mjadala wa ukomo wa urais nchini Uganda wapamba moto

    Feb 13, 2016 03:02

    Kampeni za Uchaguzi Mkuu nchini Uganda zimepamba moto, huku kila mgomea akizidi kunadi sera zake.

  • Kamanda wa waasi wa LRA akamatwa CAR

    Kamanda wa waasi wa LRA akamatwa CAR

    Feb 11, 2016 00:06

    Polisi ya Jamhuri ya Afrika ya Kati imetangaza kuwa kamanda wa kundi la waasi kutoka Uganda la Lord's Resistance Army (LRA) aliyetiwa nguvuni nchini humo ametambuliwa kuwa ni Okot Odek ambaye ni miongoni mwa viongozi waandamizi wa genge hilo hatari.

  • Mwinyi kuongoza timu ya waangalizi wa uchaguzi UG

    Mwinyi kuongoza timu ya waangalizi wa uchaguzi UG

    Feb 09, 2016 11:35

    Rais mstaafu wa Awamu ya Pili wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Ali Hassan Mwinyi ameteuliwa kuongoza timu ya waangalizi wa Jumuiya ya Afrika Mashariki kwenye uchaguzi mkuu wa Uganda wa Februari 18.

  • AU kutuma waangalizi wa uchaguzi nchini Uganda

    AU kutuma waangalizi wa uchaguzi nchini Uganda

    Feb 09, 2016 04:54

    Umoja wa Afrika umetangaza kuwa utatuma waangalizi wa uchaguzi kufuatilia zoezi la upigaji kura nchini Uganda.

  • Museveni: Hakuna machafuko yatakayotokea Uganda wakati wa uchaguzi

    Museveni: Hakuna machafuko yatakayotokea Uganda wakati wa uchaguzi

    Feb 06, 2016 08:03

    Rais Yoweri Museveni wa Uganda amewatoa hofu wananchi wa nchi hiyo akisema hakuna fujo zitakazotokea wakati au baada ya uchaguzi kama inavyodaiwa na baadhi ya wanasiasa

Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS