-
Besigye: Uchaguzi ujao hautakuwa huru na wa amani
Feb 16, 2016 11:32Mgombea urais katika uchaguzi ujao nchini Uganda na mwanasiasa ambaye anahesabiwa kuwa mpinzani mkuu wa Rais Yoweri Museveni, amelaani ukandamizaji wa jeshi la polisi dhidi ya wafuasi wa kambi ya upinzani na kusema kuwa, mwenendo huo haufai.
-
Kuongezeka mivutano ya kisiasa nchini Uganda sambamba na kukaribia kufanyika uchaguzi
Feb 16, 2016 09:25Sambamba na kukaribia kufanyika uchaguzi mkuu nchini Uganda hapo keshokutwa Alkhamisi, nchi hiyo inashuhudia kuongezeka mivutano ya kisiasa.
-
Serikali yazidi kuwabana wapinzani nchini Uganda
Feb 15, 2016 11:56Huku siku chache tu zikiwa zimebakia hadi kufanyika uchaguzi mkuu wa Februari 18 nchini Uganda, polisi ya nchi hiyo leo imemtia mbaroni na baadaye kuwachia Daktari Kizza Besigye, kiongozi wa chama cha upinzani cha cha FDC. Besigye amekamatwa na polisi wakati alipokuwa anakwenda kwenye mkutano wa hadhara katika wilaya yenye shughuli nyingi, jijini Kampala.
-
Rais Yoweri Museveni: Kuna haja kwa Uganda kujitoa katika mahakama ya ICC
Feb 14, 2016 10:20Rais Yoweri Kaguta Museveni wa Uganda amesema kuwa, Mahakama ya Kimataifa ya Jinai ICC imegeuka na kuwa silaha iliyo dhidi ya bara la Afrika.
-
Rais wa Liberia yuko nchini Uganda kwa ajili ya uchaguzi
Feb 13, 2016 22:22Rais Ellien Johnson Sirleaf wa Liberia yuko nchini Uganda kufuatilia uchaguzi mkuu wa nchi hiyo ya Afrika Mashariki unliopangwa kufanyika wiki ijayo Februari 18.
-
Mjadala wa ukomo wa urais nchini Uganda wapamba moto
Feb 13, 2016 03:02Kampeni za Uchaguzi Mkuu nchini Uganda zimepamba moto, huku kila mgomea akizidi kunadi sera zake.
-
Kamanda wa waasi wa LRA akamatwa CAR
Feb 11, 2016 00:06Polisi ya Jamhuri ya Afrika ya Kati imetangaza kuwa kamanda wa kundi la waasi kutoka Uganda la Lord's Resistance Army (LRA) aliyetiwa nguvuni nchini humo ametambuliwa kuwa ni Okot Odek ambaye ni miongoni mwa viongozi waandamizi wa genge hilo hatari.
-
Mwinyi kuongoza timu ya waangalizi wa uchaguzi UG
Feb 09, 2016 11:35Rais mstaafu wa Awamu ya Pili wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Ali Hassan Mwinyi ameteuliwa kuongoza timu ya waangalizi wa Jumuiya ya Afrika Mashariki kwenye uchaguzi mkuu wa Uganda wa Februari 18.
-
AU kutuma waangalizi wa uchaguzi nchini Uganda
Feb 09, 2016 04:54Umoja wa Afrika umetangaza kuwa utatuma waangalizi wa uchaguzi kufuatilia zoezi la upigaji kura nchini Uganda.
-
Museveni: Hakuna machafuko yatakayotokea Uganda wakati wa uchaguzi
Feb 06, 2016 08:03Rais Yoweri Museveni wa Uganda amewatoa hofu wananchi wa nchi hiyo akisema hakuna fujo zitakazotokea wakati au baada ya uchaguzi kama inavyodaiwa na baadhi ya wanasiasa