Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

uhusiano

  • Marais Rouhani na Museveni wataka kuimarishwa uhusiano wa Iran na Uganda

    Marais Rouhani na Museveni wataka kuimarishwa uhusiano wa Iran na Uganda

    Apr 22, 2020 13:08

    Rais Hassan Rouhani ameutaja uhusiano wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Uganda kuwa mzuri na uliojengeka katika misingi ya heshima, na kusisitiza kuwa Iran iko tayari kuboresha uhusiano wa pande mbili na nchi hiyo ya Afrika Mashariki katika nyuga zote.

  • Sababu zinazoifanya ziara ya Amir wa Qatar nchini Iran kuwa na umuhimu mkubwa

    Sababu zinazoifanya ziara ya Amir wa Qatar nchini Iran kuwa na umuhimu mkubwa

    Jan 15, 2020 06:13

    Amir wa Qatar, Sheikh Tamim bin Hamad Aal Thani, Jumapili iliyopita ya tarehe 12 Januari 2020, alifanya ziara rasmi hapa mjini Tehran. Katika ziara hiyo, Sheikh Tamim alionana na viongozi wa ngazi za juu kabisa wa Iran akiwemo Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Sayyid Ali Khamenei na Rais Hassan Rouhani.

  • Mousavi: Iran haitawasahau marafiki wake katika kipindi kigumu

    Mousavi: Iran haitawasahau marafiki wake katika kipindi kigumu

    Dec 24, 2019 08:20

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema kuwa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kamwe haitawasahau marafiki zake wa kipindi kigumu.

  • Onyo kali la Russia juu ya kuharibika uhusiano wa nchi hiyo na Shirika la Kijeshi la NATO

    Onyo kali la Russia juu ya kuharibika uhusiano wa nchi hiyo na Shirika la Kijeshi la NATO

    Dec 10, 2019 02:53

    Katika miaka ya hivi karibuni uhusiano wa Russia na Muungano wa Kijeshi wa Nchi za Magharibi (NATO) hususan baada ya kuzuka mgogoro wa Ukraine mwaka 2014, umekuwa ni wa mzozo ambapo kiwango cha migogoro na makabiliano baina ya pande hizo mbili kimeendelea kukua mwaka baada ya mwaka.

  • Badala ya ubabe na unyonyaji wa Magharibi, Russia yataka kuamiliana na Afrika kwa msingi wa maslahi ya pande mbili

    Badala ya ubabe na unyonyaji wa Magharibi, Russia yataka kuamiliana na Afrika kwa msingi wa maslahi ya pande mbili

    Oct 23, 2019 06:44

    Russia, ambayo ni moja ya madola makubwa duniani imeukosoa muelekeo na muamala wa Magharibi kwa bara la Afrika ambao siku zote huwa ni wa unyonyaji na utumiaji mabavu na badala yake inataka kustawisha uhusiano wake na nchi za bara hilo kwa msingi wa kuzingatia manufaa na maslahi ya pande zote mbili.

  • Larijani: Iran imeandaa mazingira kwa ajili ya Afrika Kusini kuwekeza nchini

    Larijani: Iran imeandaa mazingira kwa ajili ya Afrika Kusini kuwekeza nchini

    Oct 22, 2019 04:08

    Spika wa Majilisi ya Ushauri ya Kiislamu (Bunge la Iran) amesema mchakato wa kuandaa mazingira kwa ajili ya Afrika Kusini kuwekeza hapa nchini umekamilika na kusisitiza kwamba, uhusiano wa pande mbili unahitaji kupigwa jeki katika ushirikiano wa kiuchumi.

  • Malengo na umuhimu wa safari ya Amir wa Kuwait nchini Iraq

    Malengo na umuhimu wa safari ya Amir wa Kuwait nchini Iraq

    Jun 21, 2019 07:10

    Swabah al-Ahmad al-Jabir as-Swabah Amir wa Kuwait siku ya Jumatano alifanya safari nchini Iraq ambapo alilakiwa na kufanya mazungumzo na Rais Barham Swaleh wa nchini hiyo.

  • Iran na Afrika Kusini kuimarisha ushirikiano wao wa kiulinzi

    Iran na Afrika Kusini kuimarisha ushirikiano wao wa kiulinzi

    May 06, 2019 11:05

    Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Afrika Kusini zimetoa mwito wa kuimarishwa ushirikiano wa muda mrefu wa kiulinzi na kijeshi baina yao.

  • Larijan: Iran na Nigeria kuimarisha ushirikiano wao wa kibiashara

    Larijan: Iran na Nigeria kuimarisha ushirikiano wao wa kibiashara

    May 06, 2019 03:46

    Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu (Bunge la Iran) amesema mazingira yameandaliwa kwa ajili ya kuimarisha na kupanua ushirikiano wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Nigeria katika uga wa biashara.

  • Afrika Kusini ina hamu ya kuimarisha ushirikiano wa kiuchumi na Iran

    Afrika Kusini ina hamu ya kuimarisha ushirikiano wa kiuchumi na Iran

    Mar 08, 2019 08:02

    Spika wa Bunge la Kitaifa la Afrika Kusini ameeleza juu ya utayarifu wa nchi yake wa kuimarisha ushirikiano wa kiuchumi na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS