-
Umewahi Kusoma Hotuba ya Sha'baniyyah ya Mtume Muhammad (saw)?
Feb 27, 2025 13:22Kwa mujibu wa kitabu cha “Kanzul-Maram fi A'mal Shahr al-Siyam”, Sheikh al-Saduq anamnukuu Imam Ridha (AS) akisema kwamba, katika moja ya siku za mwisho za mwezi wa Shaaban, kabla ya kuingia Mwezi Mtukufu wa Ramadhani, Mtume Muhammad (SAW) alitoa hotuba inayojulikana kama al Khutbatu Al-Sha'baniyyah.
-
Rais wa Iran ataka kuimarishwa uhusiano wa mataifa ya Waislamu
Feb 27, 2025 11:03Rais wa Iran, Masoud Pezeshkian amesema kuimarisha maelewano na uhusiano miongoni mwa nchi za Kiislamu zikiwemo Iran na Malaysia ni miongoni mwa mambo ya lazima katika hali ya sasa ya kimataifa.
-
Waislamu wanasherekea siku ya kupewa Utume Nabii Muhammad (saw)
Jan 28, 2025 03:05Waislamu katika pembe mbalimbali za dunia leo wanaadhimisha kumbukumbu ya kubaathiwa na kupewa Utume, Nabii Muhammad (saw).
-
Qur'ani ndio sababu ya istiqama ya watu wa Gaza; Ujumbe mpya wa ukurasa wa Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu
Jan 21, 2025 07:18Akaunti ya khamenei.ir katika mtandao wa kijamii wa X imechapisha ujumbe kwa lugha kadhaa za Ulaya kwa mnasaba wa kuadhimisha mwaka wa kumi wa barua ya Imam Ali Khamenei kwa vijana wa Ulaya na Amerika Kaskazini.
-
Iran leo inaadhimisha kuzaliwa Imam Ali (as) na Siku ya Baba
Jan 14, 2025 07:48Iran, leo tarehe 13 mwezi Rajab, inaadhimisha Siku ya Baba katika sherehe zinazofungamanishwa na kumbukumbu ya siku ya kuzaliwa Amirul Muuminina, Imam Ali bin Abi Twalib (as).
-
Erdogan: Nchi za Magharibi zimekuwa mateka wa mtu kichaa kama Netanyahu
Jun 27, 2024 02:58Rais wa Uturuki, Recep Tayyip Erdogan alisema jana Jumatano kwamba nchi yake inasimama bega kwa bega na Lebanon kutokana na mvutano unaozidi kuongezeka na utawala wa Kizayuni wa Israel, na amezitaka pande za kikanda kumuunga mkono katika msimamo huo.
-
Raisi awahimiza Waislamu kushikamana na mafundisho ya Uislamu na kukabiliana na Israel
Feb 22, 2024 08:00Rais Ebrahim Raisi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa lau nchi zote za Kiislamu zingeongozwa na Qur’ani na kuwa adui wa madhalimu, utawala wa Kizayuni wa Israel usingethubutu kuwaua kwa umati Wapalestina huko Ukanda wa Gaza.
-
Mkutano wa Kimataifa wataka hatua zichukuliwe kukabiliana na chuki dhidi ya Uislamu
Oct 03, 2023 02:45Mkutano wa kimataifa kuhusu chuki dhidi ya Uislamu (Islamophobia) umefanyika nchini Qatar huku mmoja wa waandalizi wake akitoa wito wa kufanyika juhudi za pamoja za kukabiliana na ongezeko la chuki dhidi ya Uislamu na athari zake "haribifu".
-
Ushuhuda kwa Al Jazeera: Sweden imekuwa nchi ya chuki na ubaguzi dhidi ya wageni na Waislamu
Sep 05, 2023 07:45Sweden ambayo imekuwa ikijulikana kama mfano wa ustahamilivu tangu miaka ya 1970, imebadilika sana katika miongo michache iliyopita na kuwa nchi ya ubaguzi wa rangi, kuongezeka kwa vitendo vya chuki dhidi ya wageni na wahamiaji, na kushamiri harakati zenye misimamo mikali za mrengo wa kulia.
-
Spika wa Bunge la Iran: Waislamu duniani watajibu kitendo cha kuvunjiwa hesima Qur'ani nchini Sweden
Jul 01, 2023 04:50Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu (Bunge la Iran) amesema: Waislamu duniani wanapaswa kufuata misimamo ya viongozi wakuu wa dini na mipaka ya sheria tukufu za Kiislamu, kujibu ipasavyo matusi ya kuchukiza na kuvunjiwa heshima Qur'ani Tukufu.