Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Uislamu

  • Umewahi Kusoma Hotuba ya Sha'baniyyah ya Mtume Muhammad (saw)?

    Umewahi Kusoma Hotuba ya Sha'baniyyah ya Mtume Muhammad (saw)?

    Feb 27, 2025 13:22

    Kwa mujibu wa kitabu cha “Kanzul-Maram fi A'mal Shahr al-Siyam”, Sheikh al-Saduq anamnukuu Imam Ridha (AS) akisema kwamba, katika moja ya siku za mwisho za mwezi wa Shaaban, kabla ya kuingia Mwezi Mtukufu wa Ramadhani, Mtume Muhammad (SAW) alitoa hotuba inayojulikana kama al Khutbatu Al-Sha'baniyyah.

  • Rais wa Iran ataka kuimarishwa uhusiano wa mataifa ya Waislamu

    Rais wa Iran ataka kuimarishwa uhusiano wa mataifa ya Waislamu

    Feb 27, 2025 11:03

    Rais wa Iran, Masoud Pezeshkian amesema kuimarisha maelewano na uhusiano miongoni mwa nchi za Kiislamu zikiwemo Iran na Malaysia ni miongoni mwa mambo ya lazima katika hali ya sasa ya kimataifa.

  • Waislamu wanasherekea siku ya kupewa Utume Nabii Muhammad (saw)

    Waislamu wanasherekea siku ya kupewa Utume Nabii Muhammad (saw)

    Jan 28, 2025 03:05

    Waislamu katika pembe mbalimbali za dunia leo wanaadhimisha kumbukumbu ya kubaathiwa na kupewa Utume, Nabii Muhammad (saw).

  • Qur'ani ndio sababu ya istiqama ya watu wa Gaza; Ujumbe mpya wa ukurasa wa Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu

    Qur'ani ndio sababu ya istiqama ya watu wa Gaza; Ujumbe mpya wa ukurasa wa Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu

    Jan 21, 2025 07:18

    Akaunti ya khamenei.ir katika mtandao wa kijamii wa X imechapisha ujumbe kwa lugha kadhaa za Ulaya kwa mnasaba wa kuadhimisha mwaka wa kumi wa barua ya Imam Ali Khamenei kwa vijana wa Ulaya na Amerika Kaskazini.

  • Iran leo inaadhimisha kuzaliwa Imam Ali (as) na Siku ya Baba

    Iran leo inaadhimisha kuzaliwa Imam Ali (as) na Siku ya Baba

    Jan 14, 2025 07:48

    Iran, leo tarehe 13 mwezi Rajab, inaadhimisha Siku ya Baba katika sherehe zinazofungamanishwa na kumbukumbu ya siku ya kuzaliwa Amirul Muuminina, Imam Ali bin Abi Twalib (as).

  • Erdogan: Nchi za Magharibi zimekuwa mateka wa mtu kichaa kama Netanyahu

    Erdogan: Nchi za Magharibi zimekuwa mateka wa mtu kichaa kama Netanyahu

    Jun 27, 2024 02:58

    Rais wa Uturuki, Recep Tayyip Erdogan alisema jana Jumatano kwamba nchi yake inasimama bega kwa bega na Lebanon kutokana na mvutano unaozidi kuongezeka na utawala wa Kizayuni wa Israel, na amezitaka pande za kikanda kumuunga mkono katika msimamo huo.

  • Raisi awahimiza Waislamu kushikamana na mafundisho ya Uislamu na kukabiliana na Israel

    Raisi awahimiza Waislamu kushikamana na mafundisho ya Uislamu na kukabiliana na Israel

    Feb 22, 2024 08:00

    Rais Ebrahim Raisi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa lau nchi zote za Kiislamu zingeongozwa na Qur’ani na kuwa adui wa madhalimu, utawala wa Kizayuni wa Israel usingethubutu kuwaua kwa umati Wapalestina huko Ukanda wa Gaza.

  • Mkutano wa Kimataifa wataka hatua zichukuliwe kukabiliana na chuki dhidi ya Uislamu

    Mkutano wa Kimataifa wataka hatua zichukuliwe kukabiliana na chuki dhidi ya Uislamu

    Oct 03, 2023 02:45

    Mkutano wa kimataifa kuhusu chuki dhidi ya Uislamu (Islamophobia) umefanyika nchini Qatar huku mmoja wa waandalizi wake akitoa wito wa kufanyika juhudi za pamoja za kukabiliana na ongezeko la chuki dhidi ya Uislamu na athari zake "haribifu".

  • Ushuhuda kwa Al Jazeera: Sweden imekuwa nchi ya chuki na ubaguzi dhidi ya wageni na Waislamu

    Ushuhuda kwa Al Jazeera: Sweden imekuwa nchi ya chuki na ubaguzi dhidi ya wageni na Waislamu

    Sep 05, 2023 07:45

    Sweden ambayo imekuwa ikijulikana kama mfano wa ustahamilivu tangu miaka ya 1970, imebadilika sana katika miongo michache iliyopita na kuwa nchi ya ubaguzi wa rangi, kuongezeka kwa vitendo vya chuki dhidi ya wageni na wahamiaji, na kushamiri harakati zenye misimamo mikali za mrengo wa kulia.

  • Spika wa Bunge la Iran: Waislamu duniani watajibu kitendo cha kuvunjiwa hesima Qur'ani nchini Sweden

    Spika wa Bunge la Iran: Waislamu duniani watajibu kitendo cha kuvunjiwa hesima Qur'ani nchini Sweden

    Jul 01, 2023 04:50

    Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu (Bunge la Iran) amesema: Waislamu duniani wanapaswa kufuata misimamo ya viongozi wakuu wa dini na mipaka ya sheria tukufu za Kiislamu, kujibu ipasavyo matusi ya kuchukiza na kuvunjiwa heshima Qur'ani Tukufu.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS