-
Nicaragua yazishtaki ICJ Ujerumani, UK, Uholanzi na Canada kwa kuisaidia Israel katika mauaji ya kimbari ya Wapalestina
Feb 07, 2024 03:49Serikali ya Nicaragua imezishitaki Ujerumani, Uingereza, Uholanzi na Canada katika Mahakama ya Kimataifa ya Haki ICJ kwa kuunga mkono utawala wa Kizayuni katika mauaji ya kimbari ya Wapalestina.
-
Wanafunzi wa Chuo Kikuu Poland waandamana kupinga uungaji mkono wa Ujerumani kwa Israel
Jan 26, 2024 03:18Wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Warsaw nchini Polanda wameandamana kupinga uungaji mkono wa serikali ya Ujerumani kwa utawala wa Kizayuni.
-
Hujuma dhidi ya Waislamu, misikiti Ujerumani zimeongezeka tokea Oktoba 7
Jan 19, 2024 07:35Hisia za chuki dhidi ya Uislamu, Waislamu na matukufu yao zimeripotiwa kuongezeka kwa kiwango cha kutisha nchini Ujerumani, tangu utawala haramu wa Israel ulipoanzisha mashambulio yake ya kinyama dhidi ya Wapalestina wa Ukanda wa Gaza mnamo Oktoba 7 mwaka uliopita 2023.
-
Namibia yaikumbusha Ujerumani kwamba ilifanya mauaji ya kwanza ya kimbari ya karne ya 20
Jan 14, 2024 13:13Namibia imepinga uungaji mkono wa Ujerumani kwa msimamo wa Israel katika Mahakama ya Kimataifa ya Haki, (ICJ) ambapo inakabiliwa na mashtaka ya mauaji ya kimbari dhidi ya Wapalestina katika Ukanda wa Gaza.
-
Polisi ya Ujerumani yavamia vituo 54 vya Kiislamu
Nov 18, 2023 03:49Jeshi la polisi la Ujerumani juzi Alkhamisi lilishambulia vituo zaidi ya 50 vya Waislamu kikiwemo Kituo cha Kiislamu cha Hamburg (IZH); huku mashambulio ya kibaguzi dhidi ya Waislamu yakiripotiwa kukithiri katika nchi hiyo ya bara Ulaya.
-
40% ya wanaume Waislamu Ujerumani wanakabiliwa na ubaguzi
Nov 08, 2023 06:09Utafiti mpya umefichua kuwa, asilimia 40 ya wanaume Waislamu nchini Ujerumani wanakabiliwa na vitendo vya ubaguzi katika maisha yao ya kila siku, huku hujuma na mashambulio ya kibaguzi dhidi ya Waislamu yakiripotiwa kukithiri katika nchi hiyo ya bara Ulaya.
-
Maandamano ya kuwaunga mkono Wapalestina yafanyika Ujerumani, Italia
Nov 05, 2023 13:41Maelfu ya watu wamejitokeza mabarabarani katika mji mkuu wa Ujerumani, Berlin kushiriki maandamano ya kulaani jinai zinazoendelea kufanywa na utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya wananchi wa Palestina, huku idadi ya Wapalestina waliouawa shahidi hadi sasa katika mashambulizi dhidi ya Ukanda wa Gaza ikipindukia 10,000.
-
Ujerumani yapiga marufuku kuvaa skafu za Palestina maskulini
Oct 14, 2023 13:36Viongozi wa Ujerumani wamepiga marufuku rasmi kuvaa leso na skafu za Palestina maskulini ikiwa ni kuendelea kuunga mkono waziwazi jinai na mauaji ya watoto wadogo na wanawake wa Palestina yanafanywa hivi sasa na utawala wa Kizayuni huko Ghaza.
-
Ujerumani yapinga usitishawaji vita huko Gaza
Oct 14, 2023 08:00Ujerumani haikuunga mkono mpango wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Watoto UNICEF kwa ajili ya kusimamishwa vita huko Gaza.
-
Maelfu waandamana Ujerumani kupinga kupewa silaha Ukraine
Oct 05, 2023 03:15Maelfu ya watu wamefanya maandamano katika mji wa Munich, kusini mwa Ujerumani kupinga vita na kupewa silaha Ukraine.