Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

ukame

  • UN: Wasomali milioni mbili wanakabiliwa na hatari ya baa la njaa

    UN: Wasomali milioni mbili wanakabiliwa na hatari ya baa la njaa

    Sep 14, 2019 03:08

    Umoja wa Mataifa umetahadharisha kuwa, zaidi ya Wasomali milioni mbili wanakabiliwa na hatari ya baa la njaa iwapo hawatapata misaada ya haraka wakati huu ambapo nchi za Pembe ya Afrika zinaposumbuliwa na ukame mkubwa ambao haujawahi kushuhudiwa eneo hilo tangu mwaka 2011.

  • Rais wa Malawi awataka wananchi kuombea mvua

    Rais wa Malawi awataka wananchi kuombea mvua

    Jan 20, 2018 04:39

    Rais Peter Mutharika wa Malawi amewataka viongozi wa serikali kuliongoza taifa hilo katika maombi maalumu ya kuomba mvua, katika hali ambayo nchi hiyo inakabiliwa na ukame na uhaba wa chakula.

  • Puntland yatangaza hali ya hatari kutokana na ukame

    Puntland yatangaza hali ya hatari kutokana na ukame

    Dec 06, 2017 07:54

    Eneo lenye mamlaka ya ndani la Puntland nchini Somalia limetangaza hali ya hatari kutokana na kushtadi ukame, huku likiiomba jamii ya kimataifa msaada wa chakula na maji.

  • FAO: Njaa inatishia eneo la mashariki mwa Afrika

    FAO: Njaa inatishia eneo la mashariki mwa Afrika

    Aug 14, 2017 12:16

    Shirika la Chakula na Kilimo la Umoja wa Mataifa (FAO) limetahadharisha kuhusu ongezeko la vifo vya watu kutokana na ukame na njaa katika maeneo ya mashariki mwa Afrika.

  • Msalaba Mwekundu: Wakenya milioni 3 wanahitajia msaada wa chakula

    Msalaba Mwekundu: Wakenya milioni 3 wanahitajia msaada wa chakula

    Mar 28, 2017 16:36

    Shirika la Msalaba Mwekundu limesema Kenya inahitajia msaada wa dharura wa chakula ili kunusuru maisha ya watu milioni 3 wanaokabiliwa na hatari ya kufa njaa kutokana na kushtadi ukame nchini humo.

  • Tahadhari kuhusu hali ya mgogoro katika nchi za mashariki mwa Afrika

    Tahadhari kuhusu hali ya mgogoro katika nchi za mashariki mwa Afrika

    Mar 27, 2017 12:01

    Mgogoro wa ukame katika eneo la mashariki mwa Afrika umeulazimisha Umoja wa Mataifa kutoa onyo kuhusiana na hatari ya janga la wakimbizi kwenye eneo hilo.

  • Katibu Mkuu wa UN kuwasili leo Nairobi, mamilioni ya Wakenya wanasumbuliwa na njaa

    Katibu Mkuu wa UN kuwasili leo Nairobi, mamilioni ya Wakenya wanasumbuliwa na njaa

    Mar 05, 2017 03:54

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa anatarajiwa kuwasili leo nchini Kenya katika safari ya kikazi ya siku mbili.

  • Vikosi vya usalama vya Kenya vyawekwa katika hali ya tahadhari baada ya mauaji ya Baringo

    Vikosi vya usalama vya Kenya vyawekwa katika hali ya tahadhari baada ya mauaji ya Baringo

    Feb 27, 2017 07:49

    Vikosi vya usalama vya Kenya vimewekwa katika hali ya tahadhari kaskazini magharibi mwa nchi hiyo baada ya kuongezeka mauaji katika Kaunti ya Baringo.

  • Kenya yaomba msaada kwa ajili ya kukabiliana na ukame

    Kenya yaomba msaada kwa ajili ya kukabiliana na ukame

    Feb 21, 2017 07:33

    Serikali ya Kenya imeomba msaada wa mashirika ya kimataifa kwa ajili ya kukabiliana na ukame ulioikumba nchi hiyo.

  • Umoja wa Mataifa watahadharisha kuhusu ukame unaoikabili Somalia

    Umoja wa Mataifa watahadharisha kuhusu ukame unaoikabili Somalia

    Feb 03, 2017 04:09

    Umoja wa Mataifa umetangaza kuwa nchi ya Somalia inakabiliwa na ukame na hivyo kuiongezea matatizo nchi hiyo ya Pembe ya Afrika inayokabiliwa pia na tatizo la njaa na ukosefu wa amani na usalama.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS