Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

ukame

  • Umoja wa Mataifa watahadharisha kuhusiana na ukame nchini Somalia

    Umoja wa Mataifa watahadharisha kuhusiana na ukame nchini Somalia

    Jan 18, 2017 16:39

    Umoja wa Mataifa umetahadharisha kuhusiana na kuongezeka matatizo ya Somalia kutokana na ukame unaoikabili nchi hiyo ya Pembe ya Afrika.

  • Ripoti ya Umoja wa Mataifa kuhusu uhaba wa chakula barani Afrika

    Ripoti ya Umoja wa Mataifa kuhusu uhaba wa chakula barani Afrika

    Jan 02, 2017 04:18

    Maeneo mengi ya bara la Afrika mwaka huu mpya wa 2017 yataendelea kusumbuliwa na uhaba wa chakula na hatari ya baa la njaa na ukame kwa kadiri kwamba, Umoja wa Mataifa umeeleza wasiwasi kwamba karibu watu milioni 20 hawatakuwa na usalama wa chakula katika nchi za kaskazini na mashariki mwa Afrika.

  • UN yatoa wito wa kusaidiwa nchi ya Somalia

    UN yatoa wito wa kusaidiwa nchi ya Somalia

    Dec 03, 2016 04:44

    Umoja wa Mataifa umetoa wito kwa jumuiya za kitaifa kutoa misaada ya kibinadamu kwa Somalia.

  • Rais wa Somalia: Maeneo mengi ya nchi yanakabiliwa na ukame

    Rais wa Somalia: Maeneo mengi ya nchi yanakabiliwa na ukame

    Nov 14, 2016 04:07

    Rais Hassan Sheikh Mohamoud wa Somalia ameitaka jamii ya kimataifa kutuma misaada ya dharura katika maeneo yanayokabiliwa na ukame na baa la njaa nchini humo.

  • Taarifa ya jumuiya ya SADC kuhusiana na kukabiliana na ukame

    Taarifa ya jumuiya ya SADC kuhusiana na kukabiliana na ukame

    Oct 06, 2016 13:25

    Jumuiya ya Ustawi ya Nchi za Kusini mwa Afrika SADC imetangaza kuwa, taathira za ukame kwa wananchi wa eneo la kusini mwa Afrika ni mbaya sana.

  • Msaada unatakiwa  kuzisaidia nchi za Kusini mwa Afrika zilizoathiriwa na ukame

    Msaada unatakiwa kuzisaidia nchi za Kusini mwa Afrika zilizoathiriwa na ukame

    Aug 01, 2016 07:25

    Mashirika ya utoaji misaada ya kibinadamu kusini mwa Afrika yameomba kusaidiwa kiasi cha dola bilioni moja ili kukabiliana na janga la ukame lililoziathiri baadhi ya nchi za kusini mwa Afrika.

  • UN: Wakulima milioni 23 wanahitajia msaada kusini mwa Afrika

    UN: Wakulima milioni 23 wanahitajia msaada kusini mwa Afrika

    Jul 29, 2016 04:16

    Umoja wa Mataifa umesema wakulima milioni 23 katika nchi za kusini mwa Afrika wanahitajia msaada wa dharura kwa ajili ya kujiandaa na msimu ujao wa upaliliaji.

  • Watu karibu laki sita wanakabiliwa na baa la njaa Angola

    Watu karibu laki sita wanakabiliwa na baa la njaa Angola

    Jun 03, 2016 03:53

    Umoja wa Mataifa umeonya kuwa watu laki tano na elfu 80 wako katika hatari ya kupoteza maisha kutokana na baa la njaa nchini Angola.

  • Watu milioni 8 wanahitajia msaada wa chakula Malawi

    Watu milioni 8 wanahitajia msaada wa chakula Malawi

    May 26, 2016 04:26

    Serikali ya Malawi imesema kuwa, zaidi ya watu milioni 8 wanahitajia msaada wa chakula nchni humo.

  • Msalaba Mwekundu: Watu milioni 31 wanahitaji misaada ya dharura kusini mwa Afrika

    Msalaba Mwekundu: Watu milioni 31 wanahitaji misaada ya dharura kusini mwa Afrika

    May 18, 2016 03:33

    Mashirika ya Msalaba Mwekundu na Hilali Nyekundu yamesema yanahitaji dola milioni 110 za Marekani ili kuzisaidia nchi za kusini mwa Afrika, zinazokabiliwa na hali mbaya ya ukosefu wa chakula na lishe duni iliyosababishwa na ukame.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS