• Waziri: Ukimwi unaua Waganda 46 kila siku

    Waziri: Ukimwi unaua Waganda 46 kila siku

    Nov 30, 2022 10:58

    Waziri katika Ofisi ya Rais nchini Uganda ameashiria ongezeko la maambukizi ya virusi vya HIV vinavyosababisha ugonjwa wa Ukimwi miongoni mwa tabaka la vijana wanaobaleghe nchini humo na kusema kuwa, maradhi hayo yanaua Waganda 46 kwa siku.

  • Wenye UKIMWI hatarini maradufu kufa kwa Corona

    Wenye UKIMWI hatarini maradufu kufa kwa Corona

    Jul 15, 2021 07:47

    Ripoti mpya ya Umoja wa Mataifa kuhusu UKIMWI inaonyesha kuwa watu wanaoishi na Virusi Vya Ukimwi au VVU wako katika hatari zaidi ya kuugua ugonjwa wa Corona au COVID-19 na hata kufariki dunia lakini bado wananyimwa haki ya kupata chanjo dhidi ya Corona.

  • UN: Vifo vya Ukimwi kuongezeka maradufu Afrika kutokana na janga la corona

    UN: Vifo vya Ukimwi kuongezeka maradufu Afrika kutokana na janga la corona

    May 12, 2020 14:43

    Umoja wa Mataifa umetahadharisha kuwa, huenda vifo vinavyotokana na ugonjwa wa Ukimwi katika nchi za chini ya Jangwa la Sahara barani Afrika vikaongezeka mara mbili, iwapo jitihada za kiafya za kuwashughulikia wenye virusi vya HIV zitakatizwa na janga la kimataifa la corona.

  • UN: Watu milioni 38 wanaishi na HIV, Ukimwi umeua 770,000, 2018

    UN: Watu milioni 38 wanaishi na HIV, Ukimwi umeua 770,000, 2018

    Dec 01, 2019 07:39

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa amesema watu milioni 38 kote duniani wanaishi na virusi hatari vya HIV, huku ugonjwa wa Ukimwi unaosababishwa na virusi hivyo ukiua watu 770,000 mwaka jana 2018.

  • Ukimwi unaua Waethiopia 16,000 kila mwaka

    Ukimwi unaua Waethiopia 16,000 kila mwaka

    Mar 28, 2019 07:59

    Serikali ya Ethiopia imetangaza kuwa Waethiopia zaidi ya elfu 16 wanafariki kila mwaka kutokana na ugonjwa wa Ukimwi.

  • Unicef: Katika kila dakika 3, binti mmoja anaambukizwa virusi vya HIV

    Unicef: Katika kila dakika 3, binti mmoja anaambukizwa virusi vya HIV

    Jul 26, 2018 07:41

    Mfuko wa Watoto wa Umoja wa Mataifa Unicef umesema mabinti na wanawake wenye umri kati ya miaka 15 na 19 wanajenga thuluthi mbili ya watu walioambukizwa virusi hatari vya HIV mwaka jana 2017.

  • UNICEF: Watoto 18 wanaambukizwa HIV/Ukimwi kwa kila saa moja

    UNICEF: Watoto 18 wanaambukizwa HIV/Ukimwi kwa kila saa moja

    Dec 01, 2017 07:52

    Mfuko wa Watoto wa Umoja wa Mataifa UNICEF umesema watoto 18 huambukizwa virusi vya HIV katika kila saa moja kote duniani, ishara kwamba jitihada za makusudi zingali zinahitajika kuzuia maambukizi ya virusi hivyo vinavyosababisha ugonjwa hatari wa Ukimwi miongoni mwa vijana na watoto wadogo.

  • Rais Lungu asema ni lazima kupimwa HIV/UKIMWI nchini Zambia

    Rais Lungu asema ni lazima kupimwa HIV/UKIMWI nchini Zambia

    Aug 17, 2017 04:11

    Rais Edgar Lungu wa Zambia amesema sasa ni lazima wananchi wa nchi hiyo ya kusini mwa Afrika kufanyiwa vipimo vya virusi vya HIV vinavyosababisha ugonjwa hatari wa Ukimwi, ikiwa ni katika jitihada za taifa hilo kulitokomeza jinamizi hilo kikamilifu kufikia mwaka 2030.

  • Wataalamu watangaza dawa ya kukinga Ukimwi, Mkutano wa Kimataifa wa Ukimwi, Paris

    Wataalamu watangaza dawa ya kukinga Ukimwi, Mkutano wa Kimataifa wa Ukimwi, Paris

    Jul 27, 2017 15:59

    Wataalamu walioshiriki katika Mkutano wa Kimataifa wa Ukimwi uliofanyika Paris nchini Ufaransa wametangaza mbinu mpya ya kuzuia maambukizi ya virusi vya HIV na kutibu maradhi ya Ukimwi.

  • UN: Ukimwi uliua watu milioni 1 mwaka 2016

    UN: Ukimwi uliua watu milioni 1 mwaka 2016

    Jul 20, 2017 14:04

    Ugonjwa hatari wa ukimwi uliua watu milioni 1 mwaka uliopita wa 2016, ikiwa ni karibu nusu ya idadi ya watu walipoteza maisha kutokana na ugonjwa huo mwaka 2005 wakati wa kilele chake.