Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Ulaya

  • Takwa la Ujerumani la kuasisiwa Baraza la Usalama la Umoja wa Ulaya

    Takwa la Ujerumani la kuasisiwa Baraza la Usalama la Umoja wa Ulaya

    Oct 10, 2018 04:29

    Kuibuka hitilafu na mizozo mikubwa baina ya Marekani na Umoja wa Ulaya baada ya kuingia madarakani Rais Donald Trump hususan katika masuala ya kiulinzi, nafasi na umuhimu wa Shirika la Kijeshi la NATO sambamba na kujitoa Uingereza katika Umoja wa Ulaya (Brics) ni mambo ambayo yamezifanya nchi wanachama wa EU zichukue hatua za kuimarisha mipango na mikakati ya kujitegemea katika uga wa ulinzi na usalama.

  • Ufaransa: Marekani haina haki ya kuchukua maamuzi kwa niaba ya Ulaya

    Ufaransa: Marekani haina haki ya kuchukua maamuzi kwa niaba ya Ulaya

    Oct 06, 2018 03:46

    Waziri wa Fedha wa Ufaransa amesema kuwa, Marekani haiwezi kuchukua maamuzi kuhusiana na ushirikiano wa kibiashara wa nchi za Ulaya na Iran na kuongeza kuwa, vikwazo vya serikali ya Washington dhidi ya Iran ni fursa kwa Ulaya kwa ajili ya kuanzisha taasisi zinazojitegemea za kifedha.

  • Qassemi: Msimamo wa Ulaya unakidhi maslahi ya Iran katika JCPOA

    Qassemi: Msimamo wa Ulaya unakidhi maslahi ya Iran katika JCPOA

    Oct 01, 2018 11:17

    Msemaji wa Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, kumekuwa na hali ya kukaribiana misimamo ya Iran na Ulaya kuhusiana na kukidhiwa maslahi ya Tehran baada ya Marekani kujiondoa katika makubaliano ya nyuklia ya Mpango Kamili wa Pamoja wa Utekelezaji JCPOA kwa kifupi.

  • Zarif: Ikiwa utaratibu uliowekwa na Ulaya hautotekelezeka, Iran itajitoa kwenye JCPOA

    Zarif: Ikiwa utaratibu uliowekwa na Ulaya hautotekelezeka, Iran itajitoa kwenye JCPOA

    Sep 30, 2018 04:34

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema, ikiwa utaratibu maalumu ulioratibiwa na Ulaya kwa ajili ya kuyalinda makubaliano ya nyuklia ya JCPOA hautakuwa na ufanisi wa utekelezaji, Iran itajitoa kwenye makubaliano hayo.

  • Ushauri wa Trump kwa Ulaya: Jengeni ukuta wa kizuizi eneo la Afrika la Jangwa la Sahara

    Ushauri wa Trump kwa Ulaya: Jengeni ukuta wa kizuizi eneo la Afrika la Jangwa la Sahara

    Sep 21, 2018 02:58

    Vyombo vya habari vya Uhispania vimefichua kuwa rais wa Marekani amezishauri nchi za Ulaya zitumie mbinu ya kujenga ukuta wa kizuizi kukabiliana na wahajiri kutoka Afrika.

  • Indhari  kuhusu safari za wahajiri kuelekea Ulaya zenye kuhatarisha maisha

    Indhari kuhusu safari za wahajiri kuelekea Ulaya zenye kuhatarisha maisha

    Sep 03, 2018 09:01

    Mjumbe Maalumu wa Kamisheni Kuu ya Wakimbizi ya Umoja wa Mataifa katika kituo cha Mediterania ametahadharisha kuwa wahajiri hukabiliana na hatari chungu nzima wakati wakijaribu kuvuka bahari ya Mediterania ili kufika Ulaya.

  • Qassemi: Hatua hasimu za Marekani dhidi ya Iran zinakiuka sheria za kimataifa

    Qassemi: Hatua hasimu za Marekani dhidi ya Iran zinakiuka sheria za kimataifa

    Aug 20, 2018 09:24

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema kuundwa 'jopo kazi la hatua dhidi ya Iran' nchini Marekani ni katika fremu ya sera hasimu za Washington na kinyume cha sheria za kimataifa.

  • Dakta Kharrazi: Vitendo vya kibabe vya Marekani vimesababisha ukosefu wa usalama Mashariki ya Kati

    Dakta Kharrazi: Vitendo vya kibabe vya Marekani vimesababisha ukosefu wa usalama Mashariki ya Kati

    Jul 11, 2018 03:43

    Mkuu wa Baraza la Kistratijia la Uhusiano wa Nje wa Iran amesema kuwa, uingiliaji wa madola ya kigeni katika masuala ya ndani ya nchi nyingine na miamala ya kibabe ya Marekani na utawala haramu wa Israel kuhusiana na Wapalestina ni mambo muhimu ambayo yamechangia mno kukosekana amani na uthabiti katika eneo la magharibi mwa Asia (Mashariki ya Kati)

  • Panetta: Trump anaelekea kuiangamiza Ulaya

    Panetta: Trump anaelekea kuiangamiza Ulaya

    Jul 08, 2018 23:56

    Waziri wa zamani wa ulinzi wa Marekani amemkosoa vikali Rais Donald Trump wa nchi hiyo na kusema kuwa siasa zisizotabirika za Trump zinakaribia kuiangamiza Ulaya.

  • UN: Wahajiri 1,400 wamekufa maji tangu Januari mwaka huu

    UN: Wahajiri 1,400 wamekufa maji tangu Januari mwaka huu

    Jul 06, 2018 22:57

    Shirika la Kuhudumia Wakimbizi la Umoja wa Mataifa UNHCR limesema zaidi ya wahajiri 1,400 wamefariki dunia katika Bahari ya Mediterania tangu ulipoanza mwaka huu wa 2018 hadi sasa.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS