-
Sisitizo juu ya ulazima wa kuundwa haraka iwezekanavyo serikali ya umoja wa kitaifa Libya
Mar 03, 2016 09:42Mjumbe Maalumu wa Umoja wa Mataifa katika Masuala ya Libya amesisitiza juu ya ulazima wa kuundwa haraka serikali ya umoja wa kitaifa huko Libya.
-
UN: 50,000 wameuawa katika mapigano ya Sudan Kusini tangu 2013
Mar 03, 2016 09:39Umoja wa Mataifa umesema watu zaidi ya 50,000 wameuawa katika mapigano ya wenyewe kwa wenyewe nchini Sudan Kusini katika kipindi cha miaka miwili iliyopita.
-
Askari wa UN waanza tena kushirikiana na askari wa Congo
Mar 03, 2016 04:52Askari wa kulinda amani na Umoja wa Mataifa wataanza tena kushirikiana na jeshi la Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo katika maenero yenye ghasia na machafuko mashariki mwa nchi hiyo.
-
Mwanadiplomasia wa UN akosoa idadi ndogo ya wanawake katika bunge la Liberia
Mar 02, 2016 10:41Mkuu wa shirika la Umoja wa Mataifa la kuwashughulikia wanawake (UN Women) amekosoa idadi ndogo ya wanawake katika bunge la Liberia na kusema ni muhali kwa sauti za wanawake kusikika vyema kutokana na uwakilishi wao mdogo bungeni.
-
Wasiwasi kuhusiana na kutiwa nguvuni wapinzani wa serikali ya DRC
Feb 26, 2016 23:33Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Ban Ki-moon amesema anatiwa wasiwasi na kutiwa nguvuni baadhi ya wapinzani wa kisiasa nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo na mbinyo wa kisiasa unaoshuhudiwa nchini humo.
-
UN: Kuna ushahidi wa jinai za kivita Libya
Feb 26, 2016 12:46Umoja wa Mataifa umesema wahusika wote katika mgogoro wa Libya wametenda jina za kivita pamoja na ukiukaji mwingine wa haki za binadamu katika kipindi cha miaka miwili iliyopita.
-
Ban Ki-Moon awasili Burundi, kukutana na Nkurunziza
Feb 23, 2016 04:24Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa amewasili nchini Burundi katika kile kinachoonekana ni kujaribu kuupatia ufumbuzi mzozo wa kisiasa wa nchi hiyo.
-
UN yalaani mauaji ya wakimbizi Sudan Kusini
Feb 19, 2016 00:08Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa amelaani vikali mauaji ya yaliyotokea katika mojawapo ya vituo vya askari wa kulinda amani wa umoja huo huko Sudan Kusini.
-
Askari wa UN waliwanajisi watoto CAR
Feb 17, 2016 03:36Askari wa kulinda amani wa Umoja wa Mataifa kutoka Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo wamekuwa wakiwadhalilisha kijinsia watoto wanne wanaoishi katika kambi ya wakimbizi huko Jamhuri ya Afrika ya Kati.
-
Katibu Mkuu wa zamani wa UN afariki dunia
Feb 17, 2016 00:06Mwanasiasa wa Misri Boutros Boutros-Ghali aliyekuwa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa kuanzia mwaka 1992 hadi 1996 amefariki dunia.