Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Umoja wa Mataifa

  • Sherehe za Nairuzi katika Umoja wa Mataifa

    Sherehe za Nairuzi katika Umoja wa Mataifa

    Mar 22, 2016 02:32

    Sherehe za kuadhimisha siku kuu ya Nairuzi (Nowruz) zimefanyika katika makao makuu ya Umoja wa Mataifa na kuhudhuriwa na Katibu Mkuu wa umoja huo.

  • Afisa mkuu wa UN ajiuzulu kutokana na jinai za Israel

    Afisa mkuu wa UN ajiuzulu kutokana na jinai za Israel

    Mar 21, 2016 11:42

    Ripota maalumu wa Umoja wa Mataifa wa masuala ya haki za binadamu huko Palestina inayokaliwa kwa mabavu ametangaza kujiuzulu wadhifa wake huo, kutokana na kile alichokitaja kuwa ukosefu wa ushirikiano wa utawala wa kizayuni wa Israel.

  • UN yapasisha azimio la kuwarejesha nyumbani askari wake ‘wabakaji’

    UN yapasisha azimio la kuwarejesha nyumbani askari wake ‘wabakaji’

    Mar 12, 2016 11:49

    Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa limepasisha azimio linalotaka kurejeshwa nyumbani kikosi cha kulinda amani cha umoja huo, ambacho askari wake wanatuhumiwa kuhusika na vitendo vya ubakaji.

  • Ripoti ya Ahmad Shahidi; ni ripoti yenye malengo ya kisiasa

    Ripoti ya Ahmad Shahidi; ni ripoti yenye malengo ya kisiasa

    Mar 12, 2016 10:15

    Ahmad Shahid Ripota Maalumu wa Haki za Binadamu wa Umoja wa Mataifa amekariri tena ripoti yake ya kila mwaka kuhusu Iran.

  • UN yaitaka Guinea-Bissau kuheshimu sheria

    UN yaitaka Guinea-Bissau kuheshimu sheria

    Mar 08, 2016 11:04

    Ujumbe wa Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa umewataka viongozi wa kisiasa nchini Guinea-Bissau kuheshimu sheria.

  • Maelfu ya raia wa Sudan Kusini wakimbilia nchini Kongo

    Maelfu ya raia wa Sudan Kusini wakimbilia nchini Kongo

    Mar 05, 2016 22:24

    Maelfu ya raia wa Sudan Kusini wamekimbilia nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo kufuatia kujiri machafuko kupita kiasi nchini humo.

  • Ripoti: Walinda amani wa UN kutoka nchi 21 wahusishwa na kashfa ya ngono

    Ripoti: Walinda amani wa UN kutoka nchi 21 wahusishwa na kashfa ya ngono

    Mar 04, 2016 04:20

    Umoja wa Mataifa unakabiliwa na hali ngumu inayotishia kuondoa imani ya watu duniani kwa walinda amani wa umoja huo.

  • Sisitizo juu ya ulazima wa kuundwa haraka iwezekanavyo serikali ya umoja wa kitaifa Libya

    Sisitizo juu ya ulazima wa kuundwa haraka iwezekanavyo serikali ya umoja wa kitaifa Libya

    Mar 03, 2016 09:42

    Mjumbe Maalumu wa Umoja wa Mataifa katika Masuala ya Libya amesisitiza juu ya ulazima wa kuundwa haraka serikali ya umoja wa kitaifa huko Libya.

  • UN: 50,000 wameuawa katika mapigano ya Sudan Kusini tangu 2013

    UN: 50,000 wameuawa katika mapigano ya Sudan Kusini tangu 2013

    Mar 03, 2016 09:39

    Umoja wa Mataifa umesema watu zaidi ya 50,000 wameuawa katika mapigano ya wenyewe kwa wenyewe nchini Sudan Kusini katika kipindi cha miaka miwili iliyopita.

  • Askari wa UN waanza tena kushirikiana na askari wa Congo

    Askari wa UN waanza tena kushirikiana na askari wa Congo

    Mar 03, 2016 04:52

    Askari wa kulinda amani na Umoja wa Mataifa wataanza tena kushirikiana na jeshi la Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo katika maenero yenye ghasia na machafuko mashariki mwa nchi hiyo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS