-
UN yachunguza tuhuma za ubakaji za askari wake CAR
Feb 16, 2016 11:30Maafisa wa Umoja wa Mataifa wamesema kuwa wameanza uchunguzi kuhusu tuhuma mpya zinazowakabili askari wa kulinda amani wa umoja huo katika Jamhuri ya Afrika ya Kati.
-
Saudi Arabia yasisitiza kuondolewa haraka Yemen misaada ya kimataifa
Feb 14, 2016 09:53Saudi Arabia imewataka wafanyakazi wa huduma za misaada ya kimataifa kuondoka haraka iwezekakavyo huko Yemen lengo likiwa ni kuzidisha mgogoro wa kibinadamu nchini humo.
-
Walinda amani wawili wa UN wauawa Mali
Feb 12, 2016 11:50Askari wawili wa kulinda amani wa Umoja wa Mataifa wameuawa katika hujuma ya kigaidi kaskazini mwa Mali.
-
Pendekezo la Ufaransa kwa Baraza la Usalama kuhusu utatuzi wa mgogoro wa Burundi
Feb 11, 2016 11:38Mwakilishi wa Kudumu wa Ufaransa katika Umoja wa Mataifa amewataka wanachama wa Baraza la Usalama la umoja huo kubuni mbinu mpya za kutatua mgogoro wa Burundi.
-
UN: Wahutu 21 wameuawa katika mapigano nchini DRC
Feb 09, 2016 11:28Umoja wa Mataifa umesema kwa akali watu 21 wameuawa na wengine zaidi ya 40 wamejeruhiwa katika mapigano yaliyolenga waasi wa Kihutu mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo mwishoni mwa wiki iliyopita.
-
Israel yatiwa kiwewe na msimamo wa UN kuwatetea Wapalestina
Feb 09, 2016 11:24Utawala wa kizayuni wa Israel umetiwa kiwewe na matamshi yaliyotolewa hivi karibuni ya Ban Ki-moon, Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa ya kuwatetea Wapalestina ambao ardhi zao zinakaliwa kwa mabavu na Wazayuni maghasibu.
-
UN: Hali ya watu wa Darfur inatia wasiwasi
Feb 08, 2016 04:04Umoja wa Mataifa umetangaza kuwa makumi ya maelfu ya raia waliokimbia mapigano makali yanayoendelea kati ya jeshi la serikali ya Sudan na waasi wa eneo la Jabal al Murrah huko magharibi mwa Darfur wanaishi katika hali inayovunja moyo na kuhuzunisha.
-
Umoja wa Mataifa watahadharisha kuhusu hali hatari ya Ukanda wa Ghaza
Feb 07, 2016 00:11Ripoti mbalimbali kuhusu Ghaza zinabainisha kuwa eneo hilo linakabiliwa na hali mbaya kutokana na kusuasua zoezi la kukarabati uharibifu uliosababishwa na jinai kubwa za utawala wa Kizayuni hususan katika vita vitatu vilivyoanzishwa na utawala wa Kizayuni huko Ghaza.
-
Tuhuma mpya dhidi ya askari wa kulinda amani katika Jamhuri ya Afrika ya Kati
Feb 05, 2016 10:37Umoja wa Mataifa umetangaza kutolewa tuhuma mpya dhidi ya askari wake wanaohudumu katika Jamhuri ya Afrika ya Kati.
-
Kuendelea mashambulizi dhidi ya Yemen na uwezekano mdogo wa kufanyika mazungumzo ya amani
Feb 05, 2016 03:41Huku mapigano katika maeneo tofauti ya Yemen yakipamba moto, Saudi Arabia imeendelea kukwamisha juhudi za kidiplomasia za kuutatua kisiasa mgogoro huo, suala ambalo limewafanya wanadiplomasia wa Umoja wa Mataifa kusema kuwa, ni jambo lililo mbali kufikiria kufanyika mazungumzo hayo katika siku za hivi karibuni.