Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Umoja wa Mataifa

  • UN yachunguza tuhuma za ubakaji za askari wake CAR

    UN yachunguza tuhuma za ubakaji za askari wake CAR

    Feb 16, 2016 11:30

    Maafisa wa Umoja wa Mataifa wamesema kuwa wameanza uchunguzi kuhusu tuhuma mpya zinazowakabili askari wa kulinda amani wa umoja huo katika Jamhuri ya Afrika ya Kati.

  • Saudi Arabia yasisitiza kuondolewa haraka Yemen  misaada ya kimataifa

    Saudi Arabia yasisitiza kuondolewa haraka Yemen misaada ya kimataifa

    Feb 14, 2016 09:53

    Saudi Arabia imewataka wafanyakazi wa huduma za misaada ya kimataifa kuondoka haraka iwezekakavyo huko Yemen lengo likiwa ni kuzidisha mgogoro wa kibinadamu nchini humo.

  • Walinda amani wawili wa UN wauawa Mali

    Walinda amani wawili wa UN wauawa Mali

    Feb 12, 2016 11:50

    Askari wawili wa kulinda amani wa Umoja wa Mataifa wameuawa katika hujuma ya kigaidi kaskazini mwa Mali.

  • Pendekezo la Ufaransa kwa Baraza la Usalama kuhusu utatuzi wa mgogoro wa Burundi

    Pendekezo la Ufaransa kwa Baraza la Usalama kuhusu utatuzi wa mgogoro wa Burundi

    Feb 11, 2016 11:38

    Mwakilishi wa Kudumu wa Ufaransa katika Umoja wa Mataifa amewataka wanachama wa Baraza la Usalama la umoja huo kubuni mbinu mpya za kutatua mgogoro wa Burundi.

  • UN: Wahutu 21 wameuawa katika mapigano nchini DRC

    UN: Wahutu 21 wameuawa katika mapigano nchini DRC

    Feb 09, 2016 11:28

    Umoja wa Mataifa umesema kwa akali watu 21 wameuawa na wengine zaidi ya 40 wamejeruhiwa katika mapigano yaliyolenga waasi wa Kihutu mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo mwishoni mwa wiki iliyopita.

  • Israel yatiwa kiwewe na msimamo wa UN kuwatetea Wapalestina

    Israel yatiwa kiwewe na msimamo wa UN kuwatetea Wapalestina

    Feb 09, 2016 11:24

    Utawala wa kizayuni wa Israel umetiwa kiwewe na matamshi yaliyotolewa hivi karibuni ya Ban Ki-moon, Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa ya kuwatetea Wapalestina ambao ardhi zao zinakaliwa kwa mabavu na Wazayuni maghasibu.

  • UN: Hali ya watu wa Darfur inatia wasiwasi

    UN: Hali ya watu wa Darfur inatia wasiwasi

    Feb 08, 2016 04:04

    Umoja wa Mataifa umetangaza kuwa makumi ya maelfu ya raia waliokimbia mapigano makali yanayoendelea kati ya jeshi la serikali ya Sudan na waasi wa eneo la Jabal al Murrah huko magharibi mwa Darfur wanaishi katika hali inayovunja moyo na kuhuzunisha.

  • Umoja wa Mataifa watahadharisha kuhusu hali hatari ya Ukanda wa Ghaza

    Umoja wa Mataifa watahadharisha kuhusu hali hatari ya Ukanda wa Ghaza

    Feb 07, 2016 00:11

    Ripoti mbalimbali kuhusu Ghaza zinabainisha kuwa eneo hilo linakabiliwa na hali mbaya kutokana na kusuasua zoezi la kukarabati uharibifu uliosababishwa na jinai kubwa za utawala wa Kizayuni hususan katika vita vitatu vilivyoanzishwa na utawala wa Kizayuni huko Ghaza.

  • Tuhuma mpya dhidi ya askari wa kulinda amani katika Jamhuri ya Afrika ya Kati

    Tuhuma mpya dhidi ya askari wa kulinda amani katika Jamhuri ya Afrika ya Kati

    Feb 05, 2016 10:37

    Umoja wa Mataifa umetangaza kutolewa tuhuma mpya dhidi ya askari wake wanaohudumu katika Jamhuri ya Afrika ya Kati.

  • Kuendelea mashambulizi dhidi ya Yemen na uwezekano mdogo wa kufanyika mazungumzo ya amani

    Kuendelea mashambulizi dhidi ya Yemen na uwezekano mdogo wa kufanyika mazungumzo ya amani

    Feb 05, 2016 03:41

    Huku mapigano katika maeneo tofauti ya Yemen yakipamba moto, Saudi Arabia imeendelea kukwamisha juhudi za kidiplomasia za kuutatua kisiasa mgogoro huo, suala ambalo limewafanya wanadiplomasia wa Umoja wa Mataifa kusema kuwa, ni jambo lililo mbali kufikiria kufanyika mazungumzo hayo katika siku za hivi karibuni.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS