Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Umoja wa Mataifa

  • Maafisa 2 wa UN huko Israel wasimamishwa kazi kwa ufuska

    Maafisa 2 wa UN huko Israel wasimamishwa kazi kwa ufuska

    Jul 04, 2020 03:39

    Umoja wa Mataifa umewasimamisha kazi maafisa wake wawili wa timu ya operesheni za usalama eneo la Asia Magharibi baada ya kubainika kuwa walijihusisha na vitendo vya ufuska ndani ya utawala haramu wa Israel.

  • UN: Ghasia zasababisha watu milioni moja kuwa wakimbizi DRC ndani ya miezi 6

    UN: Ghasia zasababisha watu milioni moja kuwa wakimbizi DRC ndani ya miezi 6

    Jun 30, 2020 21:56

    Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Wakimbizi UNHCR limesema ghasia, machafuko na mapigano huko mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo yamepelekea watu zaidi ya milioni moja kufurushwa kutoka makwao katika kipindi cha miezi sita iliyopita.

  • Katibu Mkuu wa UN ataka serikali za dunia ziwasaidie wajane

    Katibu Mkuu wa UN ataka serikali za dunia ziwasaidie wajane

    Jun 23, 2020 23:29

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa ametoa mwito kwa serikali za nchi mbali mbali duniani kutowatelekeza wajane na badala yake zitoe kipaumbele kwa maslahi ya tabaka hilo la wanawake katika mipango yao ya kufufua chumi za nchi zao zilizoathiriwa na janga la corona.

  • Kufutwa jina la Marekani katika azimio la kupinga ubaguzi wa rangi la Umoja wa Mataifa

    Kufutwa jina la Marekani katika azimio la kupinga ubaguzi wa rangi la Umoja wa Mataifa

    Jun 20, 2020 22:43

    Wakati maandamano ya kupinga ubaguzi wa rangi uliokita mizizi nchini Marekani yakiendelea kurindima kote duniani na hasira zilizosababishwa na mauaji ya kikatili yaliyofanywa na polisi mzungu dhidi ya Mmarekani mweusi zikiwa bado kali, maafisa wa serikali ya Washington wanafanya jitihada kubwa za kuzima harakati ya kimataifa ya kupinga ubaguzi.

  • Umoja wa Mataifa wakabidhiwa nyaraka za Wairani 17,000 waliouawa shahidi nchini

    Umoja wa Mataifa wakabidhiwa nyaraka za Wairani 17,000 waliouawa shahidi nchini

    Jun 16, 2020 22:13

    Shirika moja la kutetea haki za binadamu nchini Iran limeukabidhi Umoja wa Mataifa nyaraka kuhusu namna Wairani 17,000 waliovyouawa shahidi katika hujuma za kigaidi nchini.

  • Umoja wa Mataifa wakabidhiwa nyaraka za Wairani 17,000 waliouawa shahidi nchini

    Umoja wa Mataifa wakabidhiwa nyaraka za Wairani 17,000 waliouawa shahidi nchini

    Jun 16, 2020 20:46

    Shirika moja la kutetea haki za binadamu nchini Iran limeukabidhi Umoja wa Mataifa nyaraka kuhusu namna Wairani 17,000 waliovyouawa shahidi katika hujuma za kigaidi nchini.

  • Mazungumzo kuhusu ubaguzi wa kizazi; mwito wa nchi za Afrika kwa Baraza la Haki za Binadamu

    Mazungumzo kuhusu ubaguzi wa kizazi; mwito wa nchi za Afrika kwa Baraza la Haki za Binadamu

    Jun 13, 2020 23:14

    Kuuliwa kikatili Mmarekani Mwafrika, Geroge Floyd, kulikofanywa na polisi mzungu tarehe 25 Mei huko Minneapolis, katika jimbo la Minnesota nchini Marekani si tu kumezusha wimbi kubwa la maandamano ndani ya nchi hiyo, bali dunia nzima imeripuka kwa maandamano ya kushinikiza mapambano ya kweli dhidi ya ubaguzi wa rangi na ukatili wa jeshi la polisi la Marekani.

  • Zarif: Madai kuwa mashambulio dhidi ya ARAMCO yalitumia silaha kutoka Iran hayana msingi

    Zarif: Madai kuwa mashambulio dhidi ya ARAMCO yalitumia silaha kutoka Iran hayana msingi

    Jun 13, 2020 22:52

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema kuwa, madai kwamba makombora yaliyotumika kushambulia taasisi za mafuta za Saudi Arabia ARAMCO yana asili ya Iran, hayana msingi wowote na kuongeza kuwa, inasikitisha kuona kwamba sekretarieti ya Umoja wa Mataifa imeonesha kivitendo kuwa inaathiriwa na vitisho vya Marekani.

  • UN yataka kufanyika marekebisho ya haraka katika muundo wa polisi Marekani

    UN yataka kufanyika marekebisho ya haraka katika muundo wa polisi Marekani

    Jun 13, 2020 00:09

    Kamati ya Umoja wa Mataifa ya Kutokomeza Ubaguzi wa Rangi jana Ijumaa iliitaka serikali ya Marekani kutetekeleza marekebisho haraka iwezekanavyo kwa ajili ya kuondoa ubaguzi wa rangi wa kimfumo katika muundo wa polisi ya nchi hiyo.

  • UN yasikitishwa na hatua ya Trump ya kuiwekea vikwazo ICC

    UN yasikitishwa na hatua ya Trump ya kuiwekea vikwazo ICC

    Jun 13, 2020 00:03

    Umoja wa Mataifa umeeleza kusikitishwa kwake na hatua ya Rais Donald Trump wa Marekani ya kuiwekea vikwazo Mahakama ya Kimataifa ya Jinai ICC.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS