Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Umoja wa Mataifa

  • UNICEF: Mtoto mmoja wa Yemen hufariki dunia kila baada ya dakika 10

    UNICEF: Mtoto mmoja wa Yemen hufariki dunia kila baada ya dakika 10

    Nov 17, 2018 03:06

    Mfuko wa Watoto wa Umoja wa Mataifa (UNICEF) umetangaza kuwa, watoto sita wa Yemen hufariki dunia kila baada ya saa moja nchini Yemen.

  • UN yalaani mauaji ya askari wake 8 wa kulinda amani Kongo DR

    UN yalaani mauaji ya askari wake 8 wa kulinda amani Kongo DR

    Nov 16, 2018 11:19

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Antonio Guterres amelaani mauaji ya askari 8 wa kikosi cha kulinda amani cha umoja huo katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.

  • Mwakilishi wa Iran katika UN: Marekani na Canada zinatumia vibaya haki za binadamu

    Mwakilishi wa Iran katika UN: Marekani na Canada zinatumia vibaya haki za binadamu

    Nov 16, 2018 04:31

    Balozi na mwakilishi wa kudumu wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika Umoja wa Mataifa amesema kuwa, Marekani na Canada zinaliangalia suala la haki za binaadamu kama wenzo tu kufanikishia malengo yao.

  • UN: Waislamu wa Rohingya wanakabiliwa na hatari kubwa wakirejeshwa Myanmar

    UN: Waislamu wa Rohingya wanakabiliwa na hatari kubwa wakirejeshwa Myanmar

    Nov 13, 2018 23:09

    Kamishna Mkuu wa Haki za Binadamu wa Umoja wa Mataifa ameitaka serikali ya Bangladesh kusimamisha mpango wake wa kuwarejesha kwa nguvu nchini Myanmar maelfu ya wakimbizi Waislamu wa Rohingya akisisitiza kuwa maisha yao yatakuwa hatarini.

  • Watu 3 wauawa katika shambulizi la magaidi wa al-Qaeda Mali

    Watu 3 wauawa katika shambulizi la magaidi wa al-Qaeda Mali

    Nov 13, 2018 10:43

    Kwa akali raia watatu wa Mali wameuawa huku wanne wa kigeni wakijeruhiwa katika shambulizi la kigaidi lililolenga kituo cha kusafisha madini katika mji wa Gao kaskazini mwa nchi hiyo ya Kiafrika.

  • Mahasimu wa Libya kuzungumzia uchaguzi katika kikao cha Italia

    Mahasimu wa Libya kuzungumzia uchaguzi katika kikao cha Italia

    Nov 11, 2018 10:43

    Makundi hasimu ya kisiasa ya Libya yanatazamiwa kukutana kesho Jumatatu katika mkutano wa kujadili masuala ya uchaguzi, utakaofanyika katika mji wa Palermo nchini Italia.

  • Umoja wa Mataifa walaani mashambulio ya kigaidi ya Somalia yaliyoua makumi ya watu

    Umoja wa Mataifa walaani mashambulio ya kigaidi ya Somalia yaliyoua makumi ya watu

    Nov 10, 2018 11:05

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa amelaani mashambulio ya kigaidi yaliyotokea jana katika mji mkuu wa Somalia Mogadishu na kuua makumi ya watu na kujeruhi wengine wengi.

  • UN: Watu milioni 2 wanahitaji msaada wa dharura wa chakula CAR

    UN: Watu milioni 2 wanahitaji msaada wa dharura wa chakula CAR

    Nov 08, 2018 12:19

    Mpango wa Chakula Duniani WFP umesema watu milioni mbili wapo katika hatari ya kupoteza maisha iwapo hawatafikishiwa msaada wa dharura wa chakula huko Jamhuri ya Afrika ya Kati.

  • Umoja wa Mataifa: Wanahabari 88 wameuawa mwaka huu 2018

    Umoja wa Mataifa: Wanahabari 88 wameuawa mwaka huu 2018

    Nov 02, 2018 04:02

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa amesema jumla ya waandishi wa habari na wafanyakazi wengine katika sekta ya upashanaji habari 85 wameuawa tokea mwanzoni mwa mwaka huu 2018 hadi sasa katika sehemu mbalimbali duniani.

  • Umoja wa Mataifa kuzingatia zaidi ulinzi wa amani barani Afrika

    Umoja wa Mataifa kuzingatia zaidi ulinzi wa amani barani Afrika

    Nov 02, 2018 02:30

    Mwakilishi wa kudumu wa China katika Umoja wa Mataifa Balozi Ma Zhaoxu amesema, Baraza la Usalama la umoja huo litatilia maanani kazi za mijadala kuhusu ushirikiano wa pande kadhaa na ulinzi wa amani barani Afrika mwezi huu, ambao China inashika uenyekiti wa zamu wa baraza hilo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS