-
Papa azikosoa nchi zinazouza silaha na kuwafukuza wakimbizi
Sep 30, 2019 04:15Kiongozi wa Kanisa Katoliki duniani Papa Francis amesema mashindano ya kuuza silaha yanayofanywa na nchi fulani duniani ndiyo sababu ya ghasia na mauaji ya watu wakiwemo watoto wadogo katika nchi zinazoshuhudia vita katika kona mbalimbali duniani.
-
Nchi za Ulaya zatishia kujiondoa kwenye makubaliano ya JCPOA
Sep 28, 2019 08:06Nchi za Ulaya zimetishia kujiondoa kwenye makubaliano ya nyuklia ya JCPOA iwapo Iran eti haitafungamana kikamilifu na mapatano hayo.
-
Nchi za EU zatiwa wasiwasi na ukiukaji wa haki za binadamu Saudia
Sep 24, 2019 04:34Nchi 15 wanachama wa Umoja wa Ulaya zimeeleza wasiwasi mkubwa zilionao kutokana na rekodi mbaya ya ukiukwaji wa haki za binadamu nchini Saudi Arabia.
-
Zarif na Mogherini wajadili njia za kuinusuru JCPOA
Sep 24, 2019 04:29Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, Mohammad Javaad Zarif amekutana na kufanya mazungumzo na Mkuu wa Sera za Kigeni wa Umoja wa Ulaya, Federica Mogherini na wawili hao wamejadili njia za kulinda na kudumisha makubaliano ya JCPOA.
-
Salehi: JCPOA sio mkataba wa upande mmoja, EU imefeli
Sep 08, 2019 07:43Mkuu wa Taasisi ya Nishati ya Atomiki ya Iran (AEOI) amesema kuwa makubaliano ya nyuklia ya JCPOA sio mapatano ya upande mmoja, na kwamba nchi za Ulaya zimefeli kutekeleza wajibu wao wa kuyalinda mapatano hayo ya kimataifa.
-
Kushindwa tena Johnson katika bunge la Uingereza na mustkabali usiojulikana wa Brexit
Sep 06, 2019 07:47Suala la kujitoa Uingereza katika Umoja wa Ulaya, Brexit, sasa limebadilika na kuwa maudhui muhimu zaidi katika siasa za ndani na nje za nchi hiyo.
-
Kushadidi makabiliano baina ya Boris Johnson na wapinzani wake kuhusiana na Brexit
Sep 03, 2019 22:08Kujitoa Uingereza katika Umoja wa Ulaya (Brexit) limegeuka na kuwa suala muhimu hivi sasa katika siasa za ndani na za nje za London.
-
Sisitizo la Mawaziri wa Mambo ya Nje wa EU juu ya kulinda makubaliano ya JCPOA na kuimarisha usalama wa Ghuba ya Uajemi
Aug 31, 2019 07:40Umoja wa Ulaya pamoja na Troika ya Ulaya zikiwa wanachama wa kundi la 4+1 mara kadhaa zimesisitiza kuwa kuna udharura wa kuyalinda makubaliano ya nyuklia ya JCPOA na wakati huo huo kurejesha uthabiti na usalama katika Ghuba ya Uajemi kwa kuzingatia chokochoko za Marekani katika eneo hilo la maji lenye umuhimu wa kijio-stratejia.
-
EU yasisitiza kupatiwa ufumbuzi mzozo wa Kashmir kwa njia ya kisiasa
Aug 28, 2019 08:04Umoja wa Ulaya (EU) umetangaza kuwa utatuzi wa kisiasa ndio njia pekee inayoweza kumalizika hitilafu katika eneo la Kashmir kati ya India na Pakistan.
-
Nchi za Ulaya zaanza kuchunguza hatua za kupambana na Trump
Aug 23, 2019 03:14Umoja wa Ulaya umeanza kujadili mpango wa kupambana na rais wa Marekani, Donald Trump anayeendesha siasa chafu za kibiashara dhidi ya nchi za Ulaya.