Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

UNICEF

  • UNICEF yaeleza wasiwasi wake kuhusu ukatili unaofanywa dhidi ya watoto duniani

    UNICEF yaeleza wasiwasi wake kuhusu ukatili unaofanywa dhidi ya watoto duniani

    Nov 02, 2017 17:40

    Afisa wa Shirika la Watoto la Umoja wa Mataifa (UNICEF) ametangaza kuwa, karibu watoto milioni 300 wanakabiliwa na ukatili na manyanyaso kote duniani.

  • UNICEF: Zaidi ya nusu ya skuli katika eneo la ngome kuu ya Boko Haram Nigeria zimefungwa

    UNICEF: Zaidi ya nusu ya skuli katika eneo la ngome kuu ya Boko Haram Nigeria zimefungwa

    Sep 29, 2017 07:37

    Huku hujuma na mashambulio ya kundi la kigaidi na kitakfiri la Boko Haram nchini Nigeria yakiingia katika mwaka wake wa tisa, Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Watoto UNICEF limetangaza kuwa zaidi ya nusu ya skuli za jimbo la Borno ambalo ni kitovu cha hujuma na mashambulio ya kundi hilo zimefungwa.

  • Wafanyakazi wa UNICEF watekwa nyara Sudan Kusini

    Wafanyakazi wa UNICEF watekwa nyara Sudan Kusini

    Jul 12, 2017 14:30

    Mfuko wa Watoto wa Umoja wa Mataifa (UNICEF) umetangaza kuwa, wafanyakazi watatu wa shirika hilo wametekwa nyara nchini Sudan Kusini.

  • UNICEF: Zaidi ya nusu ya wakimbizi barani Afrika ni watoto wadogo

    UNICEF: Zaidi ya nusu ya wakimbizi barani Afrika ni watoto wadogo

    Jul 05, 2017 08:14

    Mfuko wa Kuhudumia Watoto wa Umoja wa Mataifa (Unicef) umesema kuwa, zaidi yawatoto milioni saba wa maeneo ya magharibi na katikati mwa Afrika wanaishi katika mazingira magumu kutokana na matatizo mbalimbali kama vile ukatili, umaskini na kuharibika hali ya hewa na kwamba idadi hiyo inaunda zaidi ya nusu ya wakimbizi barani Afrika.

  • Unicef: Kuna uhaba wa suhula za matibabu nchini Yemen

    Unicef: Kuna uhaba wa suhula za matibabu nchini Yemen

    Jun 29, 2017 04:11

    Mfuko wa Kuhudumia Watoto wa Umoja wa Mataifa (Unicef) umetahadharisha kuhusu taathira mbaya za hatua ya Saudi Arabia ya kuizingira Yemen na uhaba wa suhula za matibabu na dawa unaoikabili nchi hiyo maskini ya Kiarabu.

  • UNICEF: Watoto 1,000 wanakimbia vita Sudan Kusini kila siku

    UNICEF: Watoto 1,000 wanakimbia vita Sudan Kusini kila siku

    Jun 20, 2017 13:43

    Huku ulimwengu leo ukiadhimisha Siku ya Wakimbizi duniani, imebainika kuwa watoto 1,000 kila siku hufurushwa makwao nchini Sudani Kusini.

  • Unicef: Asilimia 20 ya watoto katika nchi tajiri wanasumbuliwa na umaskini

    Unicef: Asilimia 20 ya watoto katika nchi tajiri wanasumbuliwa na umaskini

    Jun 16, 2017 04:25

    Mfuko wa Kuhudumia Watoto wa Umoja wa Mataifa (Unicef) umetangaza katika ripoti yake kwamba mtoto mmoja kati ya watano katika nchi tajiri au zilizostawi anaishi katika katika hali ya umaskini.

  • Unicef yatahadharisha kuenea kipindupindu Mashariki ya Kati, Kaskazini mwa Afrika

    Unicef yatahadharisha kuenea kipindupindu Mashariki ya Kati, Kaskazini mwa Afrika

    May 24, 2017 14:22

    Mfuko wa Watoto wa Umoja wa Mataifa UNICEF umetahadharisha kuwa, mamilioni ya watoto wa maeneo ya Mashariki ya Kati na kaskazini mwa Afrika wamo hatarini kutokana na uwezekano wa kuenea janga hatari la kipindupindu katika maeneo hayo.

  • Sababu za kimsingi za umasikini wa watoto katika Mashariki ya Kati

    Sababu za kimsingi za umasikini wa watoto katika Mashariki ya Kati

    May 19, 2017 02:49

    Utafiti uliofanywa na Mfuko wa Watoto wa Umoja wa Mataifa UNICEF katika nchi 11 za Mashariki ya Kati unaonyesha kuwa, kwa akali watoto milioni 29 ambao ni robo ya watoto wote wa eneo hili wanaishi katika umasikini.

  • Sababu za kimsingi za umasikini wa watoto katika Mashariki ya Kati

    Sababu za kimsingi za umasikini wa watoto katika Mashariki ya Kati

    May 19, 2017 02:48

    Utafiti uliofanywa na Mfuko wa Watoto wa Umoja wa Mataifa UNICEF katika nchi 11 za Mashariki ya Kati unaonyesha kuwa, kwa akali watoto milioni 29 ambao ni robo ya watoto wote wa eneo hili wanaishi katika umasikini.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS