Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

UNICEF

  • UNICEF yatoa indhari ya watoto kubaki bila ya walezi Magharibi mwa Afrika

    UNICEF yatoa indhari ya watoto kubaki bila ya walezi Magharibi mwa Afrika

    May 18, 2017 15:04

    Mfuko wa Umoja wa Mataifa wa Kushughulikia Watoto UNICEF umetangaza kuwa kati ya kila watoto watano, mmoja amepoteza wazazi wake wote wawili kutokana na ugonjwa wa Ukimwi magharibi mwa Afrika.

  • UNICEF: Maradhi ya ukimwi yangali ni tishio duniani

    UNICEF: Maradhi ya ukimwi yangali ni tishio duniani

    May 07, 2017 13:26

    Mfuko wa Watoto wa Umoja wa Mataifa UNICEF umetangaza kuwa, bado maradhi ya ukimwi yangali ni tishio ulimwenguni.

  • UNICEF yatahadharisha kuhusiana na kuzidi kuwa mbaya hali ya watoto katika Jamhuri ya Afrika ya Kati

    UNICEF yatahadharisha kuhusiana na kuzidi kuwa mbaya hali ya watoto katika Jamhuri ya Afrika ya Kati

    May 06, 2017 04:09

    Mfuko wa Watoto wa Umoja wa Mataifa UNICEF umetoa indhari na onyo kuhusiana na kuzidi kuwa mbaya hali ya watoto na kubakia bila makazi raia katika Jamhuri ya Afrika ya Kati.

  • UNICEF: Watoto elfu 30 wanahitaji chanjo ya haraka nchini Somalia

    UNICEF: Watoto elfu 30 wanahitaji chanjo ya haraka nchini Somalia

    Apr 26, 2017 02:32

    Mjumbe wa Mfuko wa Kuhudumia Watoto wa Umoja wa Mataifa (UNICEF) nchini Somalia amesisitizia udharura wa kupatiwa chanjo maelfu ya watoto kusini mwa nchi hiyo.

  • Unicef yafikia maeneo yanakojiri mapigano huko Sudan

    Unicef yafikia maeneo yanakojiri mapigano huko Sudan

    Apr 23, 2017 13:56

    Serikali ya Sudan imeruhusu kuingia wataalamu wa Mfuko wa Kuhudumia Watoto wa Umoja wa Mataifa (Unicef) katika maeneo yanayojiri mapigano.

  • Watoto wahajiri 150 waaga dunia katika bahari ya Mediterania

    Watoto wahajiri 150 waaga dunia katika bahari ya Mediterania

    Apr 21, 2017 16:08

    Watoto wahajiri zaidi ya 150 waliokuwa wakielekea Ulaya wameaga dunia katika bahari ya Mediterania.

  • Unicef na Wfp zatoa msaada wa chakula kwa Sudan Kusini

    Unicef na Wfp zatoa msaada wa chakula kwa Sudan Kusini

    Mar 29, 2017 02:56

    Mfuko wa Kuhudumia Watoto wa Umoja wa Mataifa (UNICEF) na Mpango wa Chakula Duniani (WFP) kwa pamoja zimegawa misaada mbalimbali kwa raia 145,000 wa Sudan Kuisni wakiwemo watoto elfu 33 walio na umri wa chini ya miaka mitano.

  • UNICEF: Watoto Waafrika wavukao Mediteranea kuelekea Ulaya wanateswa vibaya

    UNICEF: Watoto Waafrika wavukao Mediteranea kuelekea Ulaya wanateswa vibaya

    Mar 01, 2017 03:57

    Safari ya watoto wanaokimbia mizozo na mateso Afrika kwenda Ulaya kupitia bahari ya Mediteranea imegubikwa na mateso ikiwemo ukatili wa kingono na kulazimishwa kufanya kazi.

  • UNICEF: Hali ya watoto barani Afrika inasikitisha

    UNICEF: Hali ya watoto barani Afrika inasikitisha

    Feb 23, 2017 03:04

    Mfuko wa Watoto wa Umoja wa Mataifa (UNICEF) umetahadharisha kuhusu hali mbaya ya watoto barani Afrika.

  • Unicef: Kuuliwa watoto wa Yemen ni jinai

    Unicef: Kuuliwa watoto wa Yemen ni jinai

    Feb 19, 2017 14:18

    Shirika la Kuhudumia Watoto la Umoja wa Mataifa (Unicef) limesema kuwa mshambulizi yanayofanywa na Saudi Arabia dhidi ya watoto wa Yemen ni jinai za wazi na zisizosameheka.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS