-
Mbunge wa Palestina: Utawala wa Kizayuni unaendelea kuiyahudisha Quds
Oct 11, 2019 04:19Mbunge anayeuwakilisha mji wa Quds katika bunge la Palestina amesema kuwa utawala wa Kizayuni unaendelea kutekeleza mipango yake iliyoikusudia kwa malengo maalumu na inastafidi na kushughulishwa Umma wa Kiislamu na Kiarabu na masuala yake ya ndani ili kusogeza mbele mipango yake hiyo.
-
Hizbullah: Hatutosalimu amri mbele ya mashinikizo ya Marekani
Oct 10, 2019 08:37Naibu Mkuu wa Baraza la Utendaji la Harakati ya Hizbullah ya Lebanon amesisitiza kuwa vikwazo vya Marekani haviwezi kudhoofisha imani na ahadi yake ya kulinda nchi na raia.
-
HAMAS: Dunia ikabiliane na uvunjiaji heshima yanayofanyiwa matukufu ya Kiislamu na Kikristo Palestina
Oct 10, 2019 04:20Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina (HAMAS) imetoa taarifa ya kuitaka Jamii ya Kimataifa ichukue hatua kukabiliana na uvunjaji heshima unaofanywa na utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya matukufu ya Kiislamu na Kikristo katika ardhi ya Palestina.
-
Aoun atetea oparesheni ya Hizbullah dhidi ya utawala wa Kizayuni
Oct 02, 2019 04:35Rais wa Lebanon amekutana na Mjumbe wa Umoja wa Mataifa katika masuala ya Lebanon na kutetea oparesheni iliyofanywa na harakati ya Hizbullah ya nchi hiyo dhidi ya chokochoko za utawala wa Kizayuni.
-
Walowezi 200 wa Kizayuni wavamia Msikiti Mtakatifu wa al-Aqswa
Sep 29, 2019 09:49Walowezi wapatao 200 leo wamevamia Msikiti Mtakatifu wa al-Aqswa wakiitikia wito wa makuhani wa utawala ghasibu wa Israel huko Palestina inayokaliwa kwa mabavu.
-
Hizbullah: Muqawama una haki ya kujibu uchokozi wa utawala wa Kizayuni wa Israel
Sep 27, 2019 08:55Naibu Katibu Mkuu wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Hizbullah ya Lebanon amesisitiza kuwa, ni haki ya wanamapambano na wanamuqawama kutoa jibu dhidi ya uchokozi wa aina yoyote ile wa adui Mzayuni.
-
Hizbullah: Tawala za nchi za Kiarabu ndizo zinazobeba dhima ya matatizo ya umma wa Kiislamu
Sep 25, 2019 04:18Katibu Mkuu wa Hizbullah ya Lebanon amesema kuwa, kushindwa tawala za nchi za Kiarabu kutekeleza majukumu yao ndiyo sababu ya kupata matatizo umma wa Kiislamu na kuendelea kuwepo utawala pandikizi wa Israel katika eneo hili.
-
Wamorocco wakasirishwa na kupeperushwa bendera ya Israel nchini kwao
Sep 24, 2019 08:42Safari ya ujumbe wa utawala haramu wa Israel ukiongozwa na mmoja wa viongozi wa chama cha Likud nchini Morocco na kupeperushwa bendera ya utawala huo kusini mashariki mwa nchi hiyo, kumezua malalamiko ya Wamorocco.
-
Rais Rouhani: Kuweko mifarakano katika eneo, ndilo takwa la Marekani na Uzayuni
Sep 22, 2019 09:27Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, kuweko mifarakano baina ya mataifa ya Mashariki ya Kati ndilo takwa la Marekani na Uzayuni.
-
Mayahudi wa Afrika Kusini waususia kitaaluma utawala wa Kizayuni
Sep 18, 2019 20:55Karibu wasomi 70 wa Kiyahudi wa nchini Afrika Kusini wameususia kitaaluma utawala ghasibu wa Kizayuni.