-
Mkuu wa jeshi la Israel akiri wameshindwa kulinda usalama wa Wazayuni
Dec 24, 2018 04:50Mkuu wa jeshi la utawala wa Kizayuni wa Israel amekiri kuwa utawala huo umeshindwa katika miezi ya hivi karibuni kuwadhaminia usalama wao walowezi wa Kizayuni wanaishi karibu na Ukanda wa Ghaza.
-
Az-Zahar: Muqawama utaendelea mpaka utawala wa Kizayuni uangamizwe kikamilifu
Dec 23, 2018 23:19Mkuu wa mrengo wa Muqawama katika Bunge la Palestina, ameashiria mchango na nafasi ya Palestina katika mhimili wa Muqawama na kusisitiza kwamba: Inapasa uwepo uratibu kati ya muqawama wa Palestina, Syria na Lebanon ili kuangamizwa kwa Israel kuthibiti kikamilifu.
-
Mawaziri sita wa serikali ya Israel washiriki katika maandamano ya kupinga serikali
Dec 17, 2018 11:50Baada ya kupata kipigo kutoka kwa wanamapambano wa Palestina na kulazimika Israel kukomesha uvamizi wake wa Ghaza baada ya siku mbili tu, sasa hivi utawala wa Kizayuni umekumbwa na maandamano ya kuipinga serikali huku mawaziri sita wa serikali hiyo nayo wakishiriki kwenye maandamano ya jana usiku ya kumpinga waziri mkuu wa Israel, Benjamin Netanyahu.
-
Kamanda wa Jeshi la Israel afanya safari ya siri nchini UAE
Dec 15, 2018 23:14Kamada wa Jeshi la Utawala wa Kizayuni wa Israel hivi karibuni amefanya safari ya siri katika Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) na kukutana na Mrithi wa Ufalme wa Abu Dhabi.
-
Wazayuni waendelea kuchimba mashimo kusini mwa Msikiti wa Al-Aqswa
Dec 15, 2018 23:14Wazayuni wamekithirisha njama zao dhidi ya msikiti wa al-Aqswa kwa kuendelea kuchimba mashimo na njia za chini kwa chini kuelekea msikiti huo mtakatifu.
-
Iran yajibu upayukaji wa waziri mkuu wa utawala wa Kizayuni
Dec 14, 2018 01:04Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema kuwa, maneno ya kipuuzi na ya aibu ya waziri mkuu wa utawala wa Kizayuni yanatokana na kuweweseka kwake kuhusu Iran, na kwamba kutoa vitisho vya kijeshi dhidi ya nchi kubwa kama Iran bila ya shaka yoyote hakuwezi kuachwa vivi hivi, bali kutafuatiliwa katika jumuiya na taasisi za kisheria na za kimataifa.
-
PLO yawataka Wapalestina kupambana na wanajeshi wa Israel
Dec 14, 2018 00:53Chama cha Ukombozi wa Palestina PLO kimewataka wananchi wa Palestina kutokubali kudhalilishwa na wasimame imara kupambana na wanajeshi wa utawala wa Kizayuni wa Israel.
-
Wazayuni watoa wito wa kuuliwa kigaidi Mahmoud Abbas
Dec 11, 2018 12:13Watu wasiojulikana wameanza kusambaza matangazo na kutundika makaratasi katika vituo vya upekezi vinavyodhibitiwa na askari wa utawala wa Kizayuni wa Israel katika Ukingo wa Magharibi wakitaka kuuliwa Rais wa Mamlaka ya Ndani ya Palestina, Mahmoud Abbas.
-
HAMAS: Mamlaka ya Ndani ya haipaswi kuwa mtekelezaji wa mipango ya Wazayuni
Dec 06, 2018 10:01Mousa Abu Marzook, kiongozi mwandamizi wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS ameitaka Mamlaka ya Ndani ya Palestina kutokubali kufanywa chombo cha kutekeleza mipango ya Wazayuni.
-
Ushirikiano wa karibu wa Saudia na Israel kwa ajili ya kuwakandamiza wapinzani wa Riyadh
Nov 26, 2018 01:20Gazeti la Haaretz la utawala haramu wa Kizayuni limeelezea kuwepo mazungumzo ya shirika moja la Israel na viongozi wa utawala wa Saudi Arabia kwa ajili ya mauzo ya vyombo vya kisasa vya ujasusi kwa ajili ya nchi hiyo ya Kiarabu.