Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Utawala wa Kizayuni

  • Hamas: Utawala wa Kizayuni ndio uliomuuwa Fadi al Batsh

    Hamas: Utawala wa Kizayuni ndio uliomuuwa Fadi al Batsh

    Apr 27, 2018 03:19

    Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) imeutaja utawala wa kizayuni wa Israel kuwa ndio uliomuua Fadi al Batsh msomi na mwanasayansi wa Kipalestina huko Malaysia.

  • Wahandisi wa Kipalestina wazalisha umeme kwa mawimbi ya bahari kukabiliana na mzingiro

    Wahandisi wa Kipalestina wazalisha umeme kwa mawimbi ya bahari kukabiliana na mzingiro

    Apr 23, 2018 22:46

    Wahandisi wanne wa Kipalestina waliohitimu katika fani ya uhandisi mitambo wanatumia mawimbi ya bahari kuzalisha nishati ya umeme kwa ajili ya eneo la Ukanda wa Gaza lililowekewa mzingiro wa utawala wa Kizayuni wa Israel.

  • Umoja wa Ulaya waitaka Israel ikomeshe unyama wake dhidi ya Wapalestina

    Umoja wa Ulaya waitaka Israel ikomeshe unyama wake dhidi ya Wapalestina

    Apr 21, 2018 23:18

    Umoja wa Ulaya umeutaka utawala ghasibu wa Israel ukomeshe vitendo vyake vya utumiaji mabavu dhidi ya Wapalestina.

  • Shirika la Kizayuni linawafanyia ujasusi mahujaji kwa amri ya Bin Salman wa Saudia

    Shirika la Kizayuni linawafanyia ujasusi mahujaji kwa amri ya Bin Salman wa Saudia

    Apr 21, 2018 09:35

    Duru za habari zimefichua kwamba, shirika moja la kijasusi la utawala haramu wa Israel limekuwa likiwapeleleza mahujaji wa nyumba ya Mwenyezi Mungu nchini Saudi Arabia.

  • Amnesty yataka kufanyike uchunguzi wa mauaji ya Wapalestina

    Amnesty yataka kufanyike uchunguzi wa mauaji ya Wapalestina

    Apr 16, 2018 09:50

    Shirika la kutetea haki za binadamu la Amnesty International limetoa wito wa kukomeshwa ukandamizaji unaofanywa na maafisa wa utawala haramu wa Israel dhidi ya raia wa Palestina na kuanzishwa uchunguzi wa mauaji yaliyofanywa na askari wa utawala huo dhidi ya waandamanaji wa Kipalestina.

  • Velayati: Mashambulizi ya Israel dhidi ya Syria yatajibiwa

    Velayati: Mashambulizi ya Israel dhidi ya Syria yatajibiwa

    Apr 11, 2018 09:13

    Mshauri wa Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran katika Masuala ya Kimataifa amesema kuwa jinai iliyofanywa na utawala haramu wa Israel dhidi ya kituo cha anga cha T-4 nchini Syria hayatapita hivihivi bila ya kujibiwa.

  • Gazeti la Haaretz la Kizayuni laitaja Israel kuwa ndio gaidi na sio vijana wa Palestina

    Gazeti la Haaretz la Kizayuni laitaja Israel kuwa ndio gaidi na sio vijana wa Palestina

    Apr 09, 2018 22:19

    Gazeti mashuhuri la utawala haramu wa Kizayuni la Haaretz, sambamba na kukosoa siasa mbovu za Tel Abviv dhidi ya raia wa Palestina limeandika kuwa, Israel ndio gaidi na sio vijana wa Kipalestina.

  • Israel yaanza tena kujenga ukuta wa kibaguzi katika mpaka wa Lebanon

    Israel yaanza tena kujenga ukuta wa kibaguzi katika mpaka wa Lebanon

    Apr 09, 2018 02:27

    Utawala wa Kizayuni jana Jumapili ulianza tena kujenga ukuta wake wa kibaguzi kati ya mpaka wa Palestina inayokaliwa kwa mabavu na Lebanon.

  • Spika wa Bunge la Morocco alaani ukatili wa Israel Ukanda wa Gaza

    Spika wa Bunge la Morocco alaani ukatili wa Israel Ukanda wa Gaza

    Apr 06, 2018 00:05

    Spika wa Bunge la Morocco amesema kuwa vitendo vya utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Wapalestina ni ukiukaji wa sheria za kimataifa.

  • Wapalestina wamlaani Mrithi wa Ufalme Saudia kwa kutumikia Israel

    Wapalestina wamlaani Mrithi wa Ufalme Saudia kwa kutumikia Israel

    Apr 03, 2018 22:00

    Makundi ya kupigania ukombozi wa Wapalestina yamelaani vikali matamshi ya Mrithi wa Ufalme wa Saudia Mohammad bin Salman kufuatia hatua yake ya kutangaza kuwa anautambua utawala haramu wa Israel na kusema tamko hilo linakiuka wazi malengo matukufu ya Wapalestina.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS