-
Wazayuni waendelea kujenga vitongoji vya Wazayuni katika ardhi za Wapalestina
Apr 19, 2017 21:56Licha ya dunia nzima kulalamikia vikali jinai za utawala wa Kizayuni wa Israel za kupora ardhi za Wapalestina na ujenzi wa vitongoji vya walowezi wa Kizayuni, lakini viongozi wa Israel wamepasisha mradi wa kujenga nyumba 212 za walowezi wa Kizayuni katika mji unaokaliwa kwa mabavu wa Baytul Muqaddas.
-
Wazayuni waendelea kuwanyanyasa Wapalestina
Apr 18, 2017 03:40Wimbi la unyanyasaji dhidi ya viongozi wa mateka wa Kipalestina katika jela za kutisha za Israel limeendelea kwa wanajeshi wa utawala huo dhalimu kuwahamishia mateka wa Palestina wanaogoma kula katika jela ya kuogofya ya Jalama ya Kizayuni.
-
Hatua za Wazayuni za kuyavunjia heshima maeneo ya Kiislamu, Palestina
Apr 14, 2017 10:17Walowezi wa Kizayuni wakisaidiwa na kupewa ulinzi na askari polisi wa utawala haramu wa Kizayuni wa Israel wamevamia tena na kuuvunjia heshima msikiti wa Al-Aqsa na wa Haram ya Nabii Ibrahim (as).
-
Israel yaamuru kubomolewa Msikiti Ukingo wa Magharibi
Apr 14, 2017 03:17Utawala haramu wa Israel umetoa amri ya kubomolewa msikiti katika eneo linalokaliwa kwa mabavu la Quds Mashariki kwa madai kwamba msikiti huo ulijengwa bila ya kupata vibali.
-
Israel iliteka nyara Wapalestina 500 mwezi Machi
Apr 11, 2017 02:01Utawala wa Kizayuni wa Israel uliwateka nyara Wapalestina 509 katika Ukanda wa Ghaza, Ukingo wa Magharibi na Quds Tukufu mwezi uliopita wa Machi.
-
Hamma Hammami: Rais wa zamani wa Tunisia, alikula njama za kumuondoa Rais Assad
Apr 05, 2017 09:40Msemaji wa Harakati ya Wananchi 'The Popular Front' ya nchini Tunisia amesema kuwa, Moncef Marzouki rais wa zamani wa Tunisia, alikula njama za kutaka kuiondoa madarakani serikali halali ya Syria.
-
OIC yalaani ujenzi wa vitongoji vya walowezi wa Kizayuni Ukingo wa Magharibi
Apr 03, 2017 00:09Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiisalmu (OIC) amelaani uamuzi uliopasishwa na baraza la mawaziri la utawala wa Kizayuni wa Israel wa kupasisha ujenzi wa vitongoji vipya vya walowezi wa Kiyahudi katika Ukingo wa Magharibi mwa Mto Jordan, Palestina inayokaliwa kwa mabavu.
-
Umoja wa Mataifa wapinga tena ujenzi wa vitongoji vya walowezi, Palestina
Mar 31, 2017 23:37Msemaji wa Umoja wa Mataifa amesema taasisi hiyo ya kimataifa ina wasiwasi juu ya kuendelezwa ujenzi wa vitongoji vya walowezi wa kizayuni katika ardhi inayokaliwa kwa mabavu ya Palestina.
-
Umoja wa Mataifa wawashutumu wanaoeneza uongo kuhusu Uislamu
Mar 29, 2017 09:48Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa amewashutumu watu wanaoeneza propaganda chafu dhidi ya Uislamu ambao wanajaribu kuihusisha dini hiyo na vitendo vya kigaidi.
-
Israel: Kombora jipya la HAMAS litaishinda ngao yetu ya chuma ya makombora
Mar 29, 2017 03:24Utawala haramu wa Kizayuni wa Israel umekiri kwamba, kombora jipya la Harakati ya Muqawama wa Kiislamu wa Palestina HAMAS, lenye uzito wa kilo 200, litaweza kuishinda ngao ya chuma ya utawala huo.